John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

Maswali haya akiyajibu Zitto bila kuzunguka, mimi pia nitamuunga mkono. Lakini bila majibu ya maswali haya kutoka kwake mwenyewe, au wale wanaoamini kwamba anachafuliwa, bila uelewa wa haya uliyoyaeleza, basi hiki kitakuwa ni kipimo kingine cha uelewa mfinyu wa watu wetu.

hata mimi nasubiri majibu .
 
Hivi haya yangeongelewa mbele ya waandishi isingekuwa tosha kumaliza huu upepo usio na umuhimu wa maendeleo ya jamii???!!!!


Mkuu haya mambo huwa yanafanywa na CCM tu. Bulembo alitoa kauli ya kuiponda tume ya Warioba akiwa kwenye mkutano rasmi wa chama (jumuiya ya wazazi na yeye akiwa mwenyekiti, the next day Nape akaja kuikanusha kwenye vyombo vya habari. sasa ulitaka Mnyika au Slaa waitishe press conference ili kujithibitisha kuwa tuhuma zilizosambaa kwenye mitandao juu ya Zitto ni za kweli au la? Thats too low kwa kweli. Shutuma zimetolewa na Yericko watu wengine. sasa hawa sio viongozi wa CHADEMA. njia sahihi ni ZItto na Kitila kwenda kwenye vyombo vya sheria ili kujisafisha (kama wanasafishika). ila kumsubiri Mnyika na Slaa wawajibie ni upumbavu mtupu. Zitto and Kitila should know better.
 
John Mnyika hii unayoonyesha ni dharau kubwa sana kwa zito na wanachama wenu. Haiwezekani tuhuma nzito zinazochafua chama kama hizi uzijibu kwa email tena kumjibu mtu aliyoko ujerumani, je vipi hao wasio na hata uwezo wa kupitia mablog watajuaje? Vipi kuhusu kiongozi wa juu wa chama kuchafuliwa hamjaona haja ya kumsafisha tena kwa tuhuma iliyounganishwa na chama chenu? Huu ni mpango mbaya sana dhidi ya viongozi wenzenu wa chama.

Sasa ulitaka hiyo email awajibu jamii formus wakati yeye aliandikiwa na Andrea codes? Kiongozi wa chama kachafuliwa na watu wanaojulikana kwa nini asiende mahakamani kama hahusiki na hizo tuhuma? au ameomba msaada wa wanasheria wa chama (Lissu, Marando, safari) ili kumsaidia mahakamani na chama kimekataa? waliomchafua (kama kweli sio mchafu) Zitto wanajulikana na wote tunajua kuwa sio viongozi wa chama, kwa nini CHADEMA inalazimishwa kujibu tuhuma? kwani Zitto akienda Uswizi anapelekwa na chama au na bunge au yeye binafsi?
Mnyika ana mambo ya muhimu sana ya kushughulikia zaidi ya huu ujinga wa Zitto na PM7 wake ambao wanageukana kila siku.
Waswahili wanasema kuwa mwisho wa ubaya ni aibu, Zitto alianzisha kundi la Masalia, sasa wanamgeuka anataka chama kimteteee. kwani alipokuwa anaanzisha kundi la uasi aliwashirikisha hao wakina Slaa ambao anataka sasa wamtetee?
 
Kwanini watu wanaongelea CHADEMA badala ya kukazia kwenye kutofautiana kwa Zitto na Lema kwenye suala ya Posho? sasa CHADEMA yahusika vipi?

Team Zitto acheni kupotosha, msipoteze lengo ni POSHO
 
Nimefatilia sana matamko ya Zitto na Mkumbo na nimeona niwashauri wafanye yafatayo ili kujiosha na shutuma hizi juu yao.
1. Zitto weka wazi kama kweli unafahamiana na yule mwanamke raia wa Ujeruman na imekuwaje wachafuzi wako waku connect naye?
2. Zitto hupokei posho na huli rushwa, tueleze unawezaje kumiliki nyumba kubwa ya gorofa na gari expensive aina ya Range Rover New Model?
3. Zitto hivi umewahi kuwatumia pesa washutumiwa wale wote kwa njia ya mitandao ya simu? Kitila, Shibuda, mwampambe, shonza nk.
4. Zitto unafahamu hizi shtuma hazijakilenga chama ila wewe na wenzio indidually; na wala chama hakijatoa shutuma hizo bali watu binafsi kama wao. Sasa inakuwaje unadai kumtaka katibu mkuu kutoa tamko? Kwani yeye atoe tamko kwa kukusemea wewe au kuwasemea wale wanaokushutumu ambao naye hawajui pia? Humtendei haki kiongozi yeyote wa chama kutaka akutetee. Kwanini usimtake na kumwomba mtuhumiwa mwenzio Ben Sanane anayeonekana mda wote JF akusaidie kueleza ukweli? Unaogopa anaweza kuharibu zaidi?
5. Zitto wewe ni kiongozi mkubwa Chadema lakini unadai umemwandikia barua katibu mkuu wa chama chako juu ya swala hili hajarespond; je hamna mazoea ya kuwasiliana kwa simu wakat mwingine hata na Mweyekiti wako? Twambie kabla hata ya wao kuja na thibitisho au kanusho unazotaka lakini wanakushaurije au wanakwambije juu ya kashifa hii? Au hamuwasiliani?
6. Zitto mikutano yako ya kichama na ziara zako zote mikoani kwa sasa zinaratibiwa kichama? Ziko kwenye ratiba ya ziara za viongozi wa chama? Huwa unarudisha mrejesho? Unwasilisha wapi mrejesho? (Feedback)
Dr Kitila ntakujia baadae jiandae kujibu tuhuma sio kupanic na kudai huongeki. Wewe bado sana kuridhika kifedha kaka nakufahamu. Jibu tu shutuma tene kwa busara na hekima ujikoshe!!

Hivi, ZITTO hana ofisi ndani ya CDM makao makuu, hakutani Dr. huko amuulize hayo.

Kuna haja ya kuzungumza na media na kusema kuwa nimemwandikia barua Dr. Slaa, wakati wanashare ofc? Mimi simwelewi kabisa huyo mtu.
 
Nimefatilia sana matamko ya Zitto na Mkumbo na nimeona niwashauri wafanye yafatayo ili kujiosha na shutuma hizi juu yao.
1. Zitto weka wazi kama kweli unafahamiana na yule mwanamke raia wa Ujeruman na imekuwaje wachafuzi wako waku connect naye?
2. Zitto hupokei posho na huli rushwa, tueleze unawezaje kumiliki nyumba kubwa ya gorofa na gari expensive aina ya Range Rover New Model?
3. Zitto hivi umewahi kuwatumia pesa washutumiwa wale wote kwa njia ya mitandao ya simu? Kitila, Shibuda, mwampambe, shonza nk.
4. Zitto unafahamu hizi shtuma hazijakilenga chama ila wewe na wenzio indidually; na wala chama hakijatoa shutuma hizo bali watu binafsi kama wao. Sasa inakuwaje unadai kumtaka katibu mkuu kutoa tamko? Kwani yeye atoe tamko kwa kukusemea wewe au kuwasemea wale wanaokushutumu ambao naye hawajui pia? Humtendei haki kiongozi yeyote wa chama kutaka akutetee. Kwanini usimtake na kumwomba mtuhumiwa mwenzio Ben Sanane anayeonekana mda wote JF akusaidie kueleza ukweli? Unaogopa anaweza kuharibu zaidi?
5. Zitto wewe ni kiongozi mkubwa Chadema lakini unadai umemwandikia barua katibu mkuu wa chama chako juu ya swala hili hajarespond; je hamna mazoea ya kuwasiliana kwa simu wakat mwingine hata na Mweyekiti wako? Twambie kabla hata ya wao kuja na thibitisho au kanusho unazotaka lakini wanakushaurije au wanakwambije juu ya kashifa hii? Au hamuwasiliani?
6. Zitto mikutano yako ya kichama na ziara zako zote mikoani kwa sasa zinaratibiwa kichama? Ziko kwenye ratiba ya ziara za viongozi wa chama? Huwa unarudisha mrejesho? Unwasilisha wapi mrejesho? (Feedback)
Dr Kitila ntakujia baadae jiandae kujibu tuhuma sio kupanic na kudai huongeki. Wewe bado sana kuridhika kifedha kaka nakufahamu. Jibu tu shutuma tene kwa busara na hekima ujikoshe!!

We naye kilaza wa division five, hv umeufatilia vizur huu mjadala? Zitto lazima akiandikie chama kwa sababu report inajipambanua kutoka makao makuu ya cdm hivyo lazima aulize kama ni kweli report ile ina mahusiano na cdm
 
Nimefatilia sana matamko ya Zitto na Mkumbo na nimeona niwashauri wafanye yafatayo ili kujiosha na shutuma hizi juu yao.
1. Zitto weka wazi kama kweli unafahamiana na yule mwanamke raia wa Ujeruman na imekuwaje wachafuzi wako waku connect naye?
2. Zitto hupokei posho na huli rushwa, tueleze unawezaje kumiliki nyumba kubwa ya gorofa na gari expensive aina ya Range Rover New Model?
3. Zitto hivi umewahi kuwatumia pesa washutumiwa wale wote kwa njia ya mitandao ya simu? Kitila, Shibuda, mwampambe, shonza nk.
4. Zitto unafahamu hizi shtuma hazijakilenga chama ila wewe na wenzio indidually; na wala chama hakijatoa shutuma hizo bali watu binafsi kama wao. Sasa inakuwaje unadai kumtaka katibu mkuu kutoa tamko? Kwani yeye atoe tamko kwa kukusemea wewe au kuwasemea wale wanaokushutumu ambao naye hawajui pia? Humtendei haki kiongozi yeyote wa chama kutaka akutetee. Kwanini usimtake na kumwomba mtuhumiwa mwenzio Ben Sanane anayeonekana mda wote JF akusaidie kueleza ukweli? Unaogopa anaweza kuharibu zaidi?
5. Zitto wewe ni kiongozi mkubwa Chadema lakini unadai umemwandikia barua katibu mkuu wa chama chako juu ya swala hili hajarespond; je hamna mazoea ya kuwasiliana kwa simu wakat mwingine hata na Mweyekiti wako? Twambie kabla hata ya wao kuja na thibitisho au kanusho unazotaka lakini wanakushaurije au wanakwambije juu ya kashifa hii? Au hamuwasiliani?
6. Zitto mikutano yako ya kichama na ziara zako zote mikoani kwa sasa zinaratibiwa kichama? Ziko kwenye ratiba ya ziara za viongozi wa chama? Huwa unarudisha mrejesho? Unwasilisha wapi mrejesho? (Feedback)
Dr Kitila ntakujia baadae jiandae kujibu tuhuma sio kupanic na kudai huongeki. Wewe bado sana kuridhika kifedha kaka nakufahamu. Jibu tu shutuma tene kwa busara na hekima ujikoshe!!

Nikisema sina imani na Zitto nipo right kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Nimefatilia sana matamko ya Zitto na Mkumbo na nimeona niwashauri wafanye yafatayo ili kujiosha na shutuma hizi juu yao.
1. Zitto weka wazi kama kweli unafahamiana na yule mwanamke raia wa Ujeruman na imekuwaje wachafuzi wako waku connect naye?
2. Zitto hupokei posho na huli rushwa, tueleze unawezaje kumiliki nyumba kubwa ya gorofa na gari expensive aina ya Range Rover New Model?
3. Zitto hivi umewahi kuwatumia pesa washutumiwa wale wote kwa njia ya mitandao ya simu? Kitila, Shibuda, mwampambe, shonza nk.
4. Zitto unafahamu hizi shtuma hazijakilenga chama ila wewe na wenzio indidually; na wala chama hakijatoa shutuma hizo bali watu binafsi kama wao. Sasa inakuwaje unadai kumtaka katibu mkuu kutoa tamko? Kwani yeye atoe tamko kwa kukusemea wewe au kuwasemea wale wanaokushutumu ambao naye hawajui pia? Humtendei haki kiongozi yeyote wa chama kutaka akutetee. Kwanini usimtake na kumwomba mtuhumiwa mwenzio Ben Sanane anayeonekana mda wote JF akusaidie kueleza ukweli? Unaogopa anaweza kuharibu zaidi?
5. Zitto wewe ni kiongozi mkubwa Chadema lakini unadai umemwandikia barua katibu mkuu wa chama chako juu ya swala hili hajarespond; je hamna mazoea ya kuwasiliana kwa simu wakat mwingine hata na Mweyekiti wako? Twambie kabla hata ya wao kuja na thibitisho au kanusho unazotaka lakini wanakushaurije au wanakwambije juu ya kashifa hii? Au hamuwasiliani?
6. Zitto mikutano yako ya kichama na ziara zako zote mikoani kwa sasa zinaratibiwa kichama? Ziko kwenye ratiba ya ziara za viongozi wa chama? Huwa unarudisha mrejesho? Unwasilisha wapi mrejesho? (Feedback)
Dr Kitila ntakujia baadae jiandae kujibu tuhuma sio kupanic na kudai huongeki. Wewe bado sana kuridhika kifedha kaka nakufahamu. Jibu tu shutuma tene kwa busara na hekima ujikoshe!!

Kwanini asitake kauli ya Katibu Mkuu wakati huu uongo unadaiwa kutoka makao makuu?It just makes sense kwa makao kutoa kauli kujitenga na hili hata kama hawakutakiwa na Zitto kufanya hivyo
 
Naona jambo hili tunalichukulia kirahisi sana, lakin ni zito na si la kuangalia kichama. Ni vyema tukaliangalia kwa sura ya kitaifa, kwan ktk ripoti ile kumeoneshwa fedha nyingi kutoka idara za serkal hasa TISS zikihusishwa. Kwa maana hyo ripoti inaonesha ni jinsi gan fedha za walpa kodi, wengi wao wanamaisha magum, zinavyotumika ktk mambo yasiyokuwa na tja kwa taifa. Tunachotaka ni kujua kama hii rpoti ni ya kwel au la. Walioi-publish ndo wanaoweza kutusaidia, wametaja makampun ya simu, yashilikishwe basi ili kuwe na ushahdi. Ikiwezekana hata bank statements za account walizozitaja wazi-expose. Hatuwez kuwa njia panda kiasi hiki, kwan hata maelezo ya mh. Mnyika hayatoshelez kabisa.
 
Molemo usjifanye mtoto wewe u mtu mzima lakini unataka kujilinganisha na junior kiakili jambo ambalo ni baya sana.

zito amechafuliwa mara kibao kwenye mitandao hata kwenye vikao vyenu halali na vile vya siri kisa madaraka dhambi hiyo itawatafuna tu.

Wewe ni ccm mzuri unaweza kunipa sababu ya kumtetea Zitto?? Kumbuka Zitto ni kiongozi wa CDM??
 
Sii Sii Emm duh! Naivulia kofia. Hamtaki kufa kimya!! Mnataka kuharibu mkombozi wa Mtanganyika kwa pesa za kodi yetu mnayoiba ndiyo mnaitumia kuwahonga viongozi wetu ili wavuruge chama tu.
Nampeni b/up Mh. Mbowe na Dr. Slaa kwa ukimya wenu. Hili ndilo jibu sahihi kabisa kwa sasa. Chonde Mwanetu Zito. Usije kuwa mzito ukawa mzigo. Hayo Maccm yakikupa mshiko kula tu lakini usikiue chama kilichokuosha uso. Kweli CDM si mamako ila ndiyo ngazi uloitumia kufika ulipo.
Usiogope kelele za chura, tulia kabisa upambane na hayo mafisadi ulioyafuatilia huko Uswiss. Matumbo ya uha.ro. yamewashika ndio maana yanaanzisha uzushi utakao kuondoa kwenye huo uchunguzi kwa mfadhaiko. Vaa miwani ya mbao uendelee kuyafunua. Pia jifanye umekosea ndege uende Hongkong ukaulizie meli kutoka kwetu. Angalia dental formula ya ndovu zinavyo vushwa kwenda huko, usisahau ukipanda Emerates ukishuka jnia mkoba wako usiuweke chini kwani watakuwekea sembe yao uivushe. Si unajua tena kina Mwa.so and co.
Mungu akulinde Mungu ailinde CDM mpaka 2015 tufike salama
 
Nimefatilia sana matamko ya Zitto na Mkumbo na nimeona niwashauri wafanye yafatayo ili kujiosha na shutuma hizi juu yao.
1. Zitto weka wazi kama kweli unafahamiana na yule mwanamke raia wa Ujeruman na imekuwaje wachafuzi wako waku connect naye?
2. Zitto hupokei posho na huli rushwa, tueleze unawezaje kumiliki nyumba kubwa ya gorofa na gari expensive aina ya Range Rover New Model?
3. Zitto hivi umewahi kuwatumia pesa washutumiwa wale wote kwa njia ya mitandao ya simu? Kitila, Shibuda, mwampambe, shonza nk.
4. Zitto unafahamu hizi shtuma hazijakilenga chama ila wewe na wenzio indidually; na wala chama hakijatoa shutuma hizo bali watu binafsi kama wao. Sasa inakuwaje unadai kumtaka katibu mkuu kutoa tamko? Kwani yeye atoe tamko kwa kukusemea wewe au kuwasemea wale wanaokushutumu ambao naye hawajui pia? Humtendei haki kiongozi yeyote wa chama kutaka akutetee. Kwanini usimtake na kumwomba mtuhumiwa mwenzio Ben Sanane anayeonekana mda wote JF akusaidie kueleza ukweli? Unaogopa anaweza kuharibu zaidi?
5. Zitto wewe ni kiongozi mkubwa Chadema lakini unadai umemwandikia barua katibu mkuu wa chama chako juu ya swala hili hajarespond; je hamna mazoea ya kuwasiliana kwa simu wakat mwingine hata na Mweyekiti wako? Twambie kabla hata ya wao kuja na thibitisho au kanusho unazotaka lakini wanakushaurije au wanakwambije juu ya kashifa hii? Au hamuwasiliani?
6. Zitto mikutano yako ya kichama na ziara zako zote mikoani kwa sasa zinaratibiwa kichama? Ziko kwenye ratiba ya ziara za viongozi wa chama? Huwa unarudisha mrejesho? Unwasilisha wapi mrejesho? (Feedback)
Dr Kitila ntakujia baadae jiandae kujibu tuhuma sio kupanic na kudai huongeki. Wewe bado sana kuridhika kifedha kaka nakufahamu. Jibu tu shutuma tene kwa busara na hekima ujikoshe!!

Wewe ni GT,ngoja tusubiri majibu haya toka kwa Zitto na wapambe wake. Wakiyajibu haya kwa ufasaha
hata mimi nitarejesha imani yangu kwa Zitto yule wa enzi ya Buzwagi'
 
Ni wazi chadema hahiusiki lakini kuna watu ndani ya chadema ni wahusika wa hizi adithi na wana julikana.

Zitto sue them.
 
Mnyika unachekesha sana! Unadai Zito angefuata taratibu za chama ktk kutoa majibu na malalamiko yake dhidi ya shutuma hizo, je, nyie mlivyomchafua mitandaoni ndio mlifuata taratibu za chama? By the way, chama chenu hakina utaratibu wowote unasthili kufuatwa kwa kweli,kwani utaratibu wa kumchagua mwenyekiti hadi sasa haufuatwi!
 
maskini chadema wanacheza ngoma wasiyoijua tena kwa midundo wanayoitaka akina mwigulu,shonza na wengne wanaofanana.
 
Back
Top Bottom