John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

Molemo usjifanye mtoto wewe u mtu mzima lakini unataka kujilinganisha na junior kiakili jambo ambalo ni baya sana.

zito amechafuliwa mara kibao kwenye mitandao hata kwenye vikao vyenu halali na vile vya siri kisa madaraka dhambi hiyo itawatafuna tu.

Mkuu nakushauri pigania maendeleo ya mkoa wa Rukwa kwanza!

Mkisikia majabali ya kisiasa Mbowe na Dr Slaa mnatetemeka mpaka nguo zinawadondoka.
 
Kwakuwa waliochafuliwa sio Wachaga, kwakuwa sio wa Kaskazini basi inaonekana ni jambo dogo.
 
Kweli Mnyika ana kichwa kitupu na kuna kila sababu ya kushinikizwa arudi shule angalau apate hata cheti cha uandishi wa habari...maana hajui lolote kuhusu habari huyo Mnyika.
 
Nimefatilia sana matamko ya Zitto na Mkumbo na nimeona niwashauri wafanye yafatayo ili kujiosha na shutuma hizi juu yao.
1. Zitto weka wazi kama kweli unafahamiana na yule mwanamke raia wa Ujeruman na imekuwaje wachafuzi wako waku connect naye?
2. Zitto hupokei posho na huli rushwa, tueleze unawezaje kumiliki nyumba kubwa ya gorofa na gari expensive aina ya Range Rover New Model?
3. Zitto hivi umewahi kuwatumia pesa washutumiwa wale wote kwa njia ya mitandao ya simu? Kitila, Shibuda, mwampambe, shonza nk.
4. Zitto unafahamu hizi shtuma hazijakilenga chama ila wewe na wenzio indidually; na wala chama hakijatoa shutuma hizo

Mkuu, hapo kwenye red mbona rahisi tu, huyu jamaa amekuwa mbunge muda mrefu na siku hizi wanakula pesa ya mfuko wa maendeleo ya jimbo. Jiandae naye atakuuliza lile jumba kubwa na ghrofa mbili na kiwanja chenye ukubwa wa ekari anachomiliki Mnyika kule mbezi njia ya kuelekea Tegeta, pesa ametoa wapi?
 
Mnyika namweshimu sana na ana busara sana. Naomba nisiseme chochote.

Nimshauri Zitto aende tu mahakaman
 
Molemo usjifanye mtoto wewe u mtu mzima lakini unataka kujilinganisha na junior kiakili jambo ambalo ni baya sana.

zito amechafuliwa mara kibao kwenye mitandao hata kwenye vikao vyenu halali na vile vya siri kisa madaraka dhambi hiyo itawatafuna tu.

kama ni vikao halali yeye huwa wapi kujitetea? na kwa nini wewe gamba ugeuke kuwa mtetezi wa zitto? ili upate nini? au umetumwa na nani na kwa waslahi yapi? acha ufyetere kijana.
 
Kwakuwa waliochafuliwa sio Wachaga, kwakuwa sio wa Kaskazini basi inaonekana ni jambo dogo.

Mkuu Mzee,
Uchaga na ukaskazini unaingiaje hapa?
Kama ishu ni ukaskazini na uchaga CHADEMA isingethubutu kuwafukuza madiwani wake wote wanne wa Arusha kwa sababu ni wachaga na wa kaskazini.

Ukileta usharobaro chadema haiangalii unatoka wapi, sheria zitafuatwa.
Labda utuaminishe kwamba wale wote wanaojaribu kukihujumu chadema wameunda kikosi kazi ndani ya chadema, kwa kuhakikisha kati yao hakuna anayetokea kaskazini, ili watakapobainika kuwa wanakihujumu na wakichukuliwa hatua waseme kwasababu wao siyo wa kaskazini.

Katiba ya CHADEMA haina ukaskazini wala u nini.
 
Last edited by a moderator:
Mnyika ni mhuni, amejibu kihuni kweli kweli, utamlaumuje mlalamikaji badala ya kutoa majibu sahihi wala kuwahoji walalamikiwa waliosambaza hizi taarifa za kihuni
 
chadema ina SARATANI YA UBAGUZI.

nyerere alitibuana na mtei kwa sbb za kibepari.

theory; huwezi kusimamisha ubepari bila kuplant ubaguzi.

kama nyama ya mtu mmesha ila labda afe mtei ndo chama kitapona.
 
Back
Top Bottom