#COVID19 John Mnyika ataka Majibu ya uchunguzi wa dawa ya Corona iliyoletwa na Kabudi kwa ndege ya ATCL kutoka Madagascar uwekwe hadharani

Oooh mtetezi wa wanyonge, oooh wananchi wa kipato cha chini, oooh taifa hili ni tajiri 😷!.

Alafu unatumia fedha ya mnyonge kwenda kuchukua non sense remedies.

Hii katiba ndiyo tatizo la haya yote, hata kama siyo sasa but watoto wetu watakuja kufanya yao.
Watanzania tunasubiri kwa hamu baraza kuu kumaliza kazi yake ya kutimua covid-19.
Mada nyingine hazifai kabisa kabla ya kuwaondoa covid-19 Bungeni
CHADEMA hamtaheshimika tena fanya kweli ili tuwaunge mkono. mbona siku zinasogea??
 
Watanzania tunasubiri kwa hamu baraza kuu kumaliza kazi yake ya kutimua covid-19.
Mada nyingine hazifai kabisa kabla ya kuwaondoa covid-19 Bungeni
CHADEMA hamtaheshimika tena fanya kweli ili tuwaunge mkono. mbona siku zinasogea??
Nani kati yao ambaye ni mwanachama wa chadema hadi sasa ?
 
Wewe ni kubwa j. Utasemaje ndege ya serikali haina gharama. Inaendeshwa kwa mkojo wa bibi yako? Hao walioondoka nayo walikuwa wanakula tembele la shangazi yako? Walilala kwenye hotel ya ungo wa babu yako na walilipwa per diem maembe ya mjomba wako? Hovyo sana wewe babu.
Dah
 
Viongozi wa CCM wanakunywa uchafu mwingi wakidhani ni kinga, chanjo na tiba ya korona
Hawajaanza leo
tapatalk_1440089816076%20(2).jpg
tapatalk_1440089810954.jpg
YohanaBalelewashykandoro.jpg
tiba.jpg
Maige.JPG
dawa.jpg
dkmagupombe.jpg
 
Kauli hii ya kishujaa imetolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na vyombo vya habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama chake huko Kinondoni Nje ya Jiji la Dar es Salaam , ambapo pamoja na mambo mengine aliyozungumza , suala la Ugonjwa wa Corona lilikuwa na sehemu yake .

Binafsi naunga mkono hoja ya Mnyika kwa vile ndege iliyotumika kwenda kuchukua dawa hiyo ya uongo na uzushi ya corona ilikuwa ndege ya umma , hivyo ni lazima kile kilichoenda kuchukuliwa kifahamike kama kilikuwa dawa kweli ama kilikuwa togwa tu kama hizi togwa zetu za kawaida , na ikibainika kama kilichobebwa hakikuwa dawa ya corona basi wahusika wote wawajibike kwa kuliletea Taifa Hasara na ikibidi washitakiwe kwa uhujumu uchumi .

View attachment 1718042

View attachment 1718044
Hii ni savanna wine wanakunywa.Mnyika wasikupotezee muda.Majibu Watanzania wote tunayo kuwa,walijigawia wakubwa tu.Ndio maana hawana haja ya chanjo.
 
nilijua ataongea kuhusu future ya chama chake, strategies walizonazo kukirudisha chama Chao kwenye taswira ambayo kimsingi imepotea,mpasuko uliopo ndani ya chama chao,namana gani watarudisha Imani ya watz tena kwao hasa baada ya Yule mwenzao kuwasaliti na kukimbilia ughaibuni.n.k,haya yote ameyafunika na kujikika kwenye kitu ambacho kila mtanzania anaujua ukweli.mpaka hapo chadema bado inaendelea kudhibitisha kupoteza mwelekeo na matumaini.
 
Yani press conference ilikuwa ya kuuliza mambo kama hayo? Mi nilidhani labda anakuja kutueleza kuwa chadema wanajiandaa kutoa taarifa ya matumizi ya fedha za ruzuku (kodi zetu) ili wawe mfano wa kuigwa; kumbe ilikuwa kupiga porojo tu!
 
Wewe ni kubwa j. Utasemaje ndege ya serikali haina gharama. Inaendeshwa kwa mkojo wa bibi yako? Hao walioondoka nayo walikuwa wanakula tembele la shangazi yako? Walilala kwenye hotel ya ungo wa babu yako na walilipwa per diem maembe ya mjomba wako? Hovyo sana wewe babu.
Kabudi na genge lake watapike hela za umma
 
Bila kukamata hawa watu hii nchi hela zake zitaendelea kuchezewa sana
Nataka tu kukuuliza kama umekwishakwenda Kwenye 'Sauna ya Bubiji'; na kama bado utakwenda lini? Ni tsh 5000/ tu mkuu Erythro.

Hizo mashine 5 Muhimbili na mbili Iloga kila moja milioni Saba na ushee!

Usisahau kumkumbusha Katibu mkuu kufuatilia au kuuliza maendeleo ya tiba/utafiti huo.
 
Hii kitu haikutakiwa kuisha kimya kimya. Ilitakiwa watu wawajibishwe. Unachezeaje hela ya umma kijinga hivi halafu unaachwa tu. Hili swala halikubaliki hata kidogo.
Bunduki na mabomu ya machozi waliyoyanunua wananchi na kumkabidhi huyo unayetaka awajibike yatakuwa ya kazi gani kama sio kuwakandamizia hao watakaothubutu kuwajibisha?

Tatizo lipo hapo.

Isingekuwa hivyo, wananchi wangekuwa wamekwisha wawajibisha hawa siku nyingi kwa mambo mengine mazito zaidi ya hiyo togwa.
 
Back
Top Bottom