Watanzania tunasubiri kwa hamu baraza kuu kumaliza kazi yake ya kutimua covid-19.Oooh mtetezi wa wanyonge, oooh wananchi wa kipato cha chini, oooh taifa hili ni tajiri 😷!.
Alafu unatumia fedha ya mnyonge kwenda kuchukua non sense remedies.
Hii katiba ndiyo tatizo la haya yote, hata kama siyo sasa but watoto wetu watakuja kufanya yao.
Nani kati yao ambaye ni mwanachama wa chadema hadi sasa ?Watanzania tunasubiri kwa hamu baraza kuu kumaliza kazi yake ya kutimua covid-19.
Mada nyingine hazifai kabisa kabla ya kuwaondoa covid-19 Bungeni
CHADEMA hamtaheshimika tena fanya kweli ili tuwaunge mkono. mbona siku zinasogea??
Si bora wangeenda kufuata vumbi la kongo wakaligawa kwa wananchi kuliko hizo togwa za madagascar
DahWewe ni kubwa j. Utasemaje ndege ya serikali haina gharama. Inaendeshwa kwa mkojo wa bibi yako? Hao walioondoka nayo walikuwa wanakula tembele la shangazi yako? Walilala kwenye hotel ya ungo wa babu yako na walilipwa per diem maembe ya mjomba wako? Hovyo sana wewe babu.
Hawajaanza leoViongozi wa CCM wanakunywa uchafu mwingi wakidhani ni kinga, chanjo na tiba ya korona
Hii ni savanna wine wanakunywa.Mnyika wasikupotezee muda.Majibu Watanzania wote tunayo kuwa,walijigawia wakubwa tu.Ndio maana hawana haja ya chanjo.Kauli hii ya kishujaa imetolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na vyombo vya habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama chake huko Kinondoni Nje ya Jiji la Dar es Salaam , ambapo pamoja na mambo mengine aliyozungumza , suala la Ugonjwa wa Corona lilikuwa na sehemu yake .
Binafsi naunga mkono hoja ya Mnyika kwa vile ndege iliyotumika kwenda kuchukua dawa hiyo ya uongo na uzushi ya corona ilikuwa ndege ya umma , hivyo ni lazima kile kilichoenda kuchukuliwa kifahamike kama kilikuwa dawa kweli ama kilikuwa togwa tu kama hizi togwa zetu za kawaida , na ikibainika kama kilichobebwa hakikuwa dawa ya corona basi wahusika wote wawajibike kwa kuliletea Taifa Hasara na ikibidi washitakiwe kwa uhujumu uchumi .
View attachment 1718042
View attachment 1718044
Mlipewa bure kwani hivi wamadagascar unawajua au unawasikiaWalitupiga kwani walituuzia?
Uliyekosa hoja ni wewe ambaye unakariri ujinga wa CCM na kushangilia.Mnyika kaishiwa hoja!
Kuhusu nini? Wewe mbona huwajibiki kwa propaganda?Ni lazima wahusika wawajibike
Kabudi na genge lake watapike hela za ummaWewe ni kubwa j. Utasemaje ndege ya serikali haina gharama. Inaendeshwa kwa mkojo wa bibi yako? Hao walioondoka nayo walikuwa wanakula tembele la shangazi yako? Walilala kwenye hotel ya ungo wa babu yako na walilipwa per diem maembe ya mjomba wako? Hovyo sana wewe babu.
Mataga leta majibu hapa kuhusu ile alkasusu ya Madagascar mliyoifata kwa ndege ya umma.Mnyika kaishiwa hoja!
😆😆😆😆Mataga leta majibu hapa kuhusu ile alkasusu ya Madagascar mliyoifata kwa ndege ya umma.
Nataka tu kukuuliza kama umekwishakwenda Kwenye 'Sauna ya Bubiji'; na kama bado utakwenda lini? Ni tsh 5000/ tu mkuu Erythro.Bila kukamata hawa watu hii nchi hela zake zitaendelea kuchezewa sana
Bunduki na mabomu ya machozi waliyoyanunua wananchi na kumkabidhi huyo unayetaka awajibike yatakuwa ya kazi gani kama sio kuwakandamizia hao watakaothubutu kuwajibisha?Hii kitu haikutakiwa kuisha kimya kimya. Ilitakiwa watu wawajibishwe. Unachezeaje hela ya umma kijinga hivi halafu unaachwa tu. Hili swala halikubaliki hata kidogo.