Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Baada ya kumsikiliza Rais John Pombe Magufuli akizungumzia jinsi mwanaye alivyojitibia corona nimeamini kweli Mheshimiwa Rais hana upendeleo kwenye hili swala.
Nilitegemea Rais angesema mwanangu alipewa ile dawa ya utafiti niliyomtuma Kabudi kuchukua kule Madagascar lakini kumbe mwanaye naye alitumia hizi hizi nyungu na malimao kama walalahoi wengine tu.
Huu aliofanya Rais ni uzalendo na uungwana wa hali ya juu. Angekuwa Rais mwingine ile dawa ya Madagascar ingeishia kwa mwanaye lakini Magufuli ameacha dawa ya Madagascar itumike kwa ajili ya utafiti na mwanaye ajitibie kwa malimao na nyungu kama watu wengine.
Tumpongezeni Mheshimiwa Rais kwa kutokuwa na upendeleo katika hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitegemea Rais angesema mwanangu alipewa ile dawa ya utafiti niliyomtuma Kabudi kuchukua kule Madagascar lakini kumbe mwanaye naye alitumia hizi hizi nyungu na malimao kama walalahoi wengine tu.
Huu aliofanya Rais ni uzalendo na uungwana wa hali ya juu. Angekuwa Rais mwingine ile dawa ya Madagascar ingeishia kwa mwanaye lakini Magufuli ameacha dawa ya Madagascar itumike kwa ajili ya utafiti na mwanaye ajitibie kwa malimao na nyungu kama watu wengine.
Tumpongezeni Mheshimiwa Rais kwa kutokuwa na upendeleo katika hili.
Sent using Jamii Forums mobile app