Mwanzo sikuamini kwamba ni wewe ume andika hayo maneno. Imenibidi niangalie tena mwandishi ni nani!Hao jamaa waliokatwa na kuanza kusumbua chadwma ni njaa tu, hawana nia ya kweli ya mageuzi…
This is a killer ya chadema, makapi na mamluki
Halafu, wakati nakuna kichwa kuamini ulicho andika hao juu; nikahakikisha kuwa kumbe ni kweli ni wewe mwandishi wa hayo maneno, baada ya kusoma haya mawazo ya mwisho uliyokuwa nayo akilini mwako:
Nikajiridhisha kwamba asili ya akili mbovu haiachani na ubovu huo huo hata siku moja.Chakandumuz jizaeni upya by texturing youths wasiopenda matusi na vurugu - na wawe wanajiandaa kuwa viongozi kifikra, vitendo na falsafa
"...jizaeni upya by texturing youths wasiopenda matusi na vurugu"...; whatever that means!
Wewe unacho kiona ndani ya CHADEMA ni "matusi na vurugu"?
Kudai HAKI ya waTanzania kuwachagua viongozi wao ni matusi/vurugu?
Samia na GENGE lake kuuwa waTanzania je?
Naona hata akina 'MzeeMwanakijiji' wanashangilia uduni wa fikra kama hizi; sijui wao wanataka CHADEMA iombeje ili waTanzania wapate HAKI yao ya msingi ya kuwachagua viongozi wanaowataka wao! Unafiki ni jambo la kusikitisha sana.