Hakuna Vita, unamkabidhi wa mawakili kama 10 and you rest your case! You hàve to fight at all fronts...hili Ni dogo kilishughulia, hakina complications yoyote!Usianzishe vita mpya wakati una vita nyingine tena kubwa.
Kwa hiyo hata ile forensic ya Kingai ilishindwa kutambua mwenye zile risasi na aliyefyatua? CCTV ilikuwaje zikaondolewa?
Hilo ni takataka, sometimes ignore such postsMkuu kama wewe ni muumini wa dini yoyote, mwogepe Mwenyezi Mungu,
Usijitoe ufahamu kwa kiwango kikubwa hivi, huijui kesho yako,
Hii dunia ni mapito tutaondoka, hizi siasa na ushabiki vitabaki,
Lisu apange kujipiga risasi mwenyewe, eneo lenye ulinzi, na baadae arudi kungoa CCTV camera,
Lissu na Chadema walizue jeshi la Polisi kuchunguza tukio kwa miaka yote hiyo,
Soma uelewe nilichoandika acha kujua kusoma na kuandika tu. Nimekwambia leo hii Dr slaa akisema mwangosi aliuwawa na chadema mazezeta mtakubali Kama ulivyokubali Lisu kashambuliwa na chadema kisa kasema slaa
Kwahiyo Mbowe ahangaike kukodi ndefr ili apone wakati amempiga yeye risasiMkuu kama wewe ni muumini wa dini yoyote, mwogepe Mwenyezi Mungu,
Usijitoe ufahamu kwa kiwango kikubwa hivi, huijui kesho yako,
Hii dunia ni mapito tutaondoka, hizi siasa na ushabiki vitabaki,
Lisu apange kujipiga risasi mwenyewe, eneo lenye ulinzi, na baadae arudi kungoa CCTV camera,
Lissu na Chadema walizue jeshi la Polisi kuchunguza tukio kwa miaka yote hiyo,
Ni wapi W.Slaa amesema Mwangosi aliuliwa na chadema ?
Circumstantial evidence irresistibly points to that conclusion....any reasonable man directing his mid correctly, will arrive at that conclusionHuo ushauri ungempa kwanza Tundu Lisu anayesema na kuiambia Dunia kwamba Magufuli kampiga risasi wakati hana ushahidi wowote ule!
UpKuna clip inazunguka Dkt. Wilbrod Slaa akitngaza kuwa Chadema ni watesaji, wanatesa watu na Lissu ndio walimpiga risasi. Hii ni jinai, msikalie kimya mpelekeni Mahakamai athibishe anayo yasema.
Kila mtanzania atalipokea kivyake, wengine wataamini hivyo, hivyo siyo la kunyamazia. Ingelikuwa maneno ambayo hayahusishi jinai, ningelishauri kumpuuza.
Hili la Jinai msilikalie kimya!
Erythrocyte Mwanahabari Huru
Chadema iwachukulie hatua waliompiga risasi Lissu? ndugu tikisa kichwa chako vizuriIsitoshe kama Tundu alipigwa risasi na Serikali ya Magufuli kama ambavyo Tundu Lisu anasema kwa nini hawawachukulii hatua zozote wahusika kwani Tundu Lisu ameshawataja na Tundu Lisu na Samia wote Bosi wao mmoja na wanaelewana ni swala la Action tu, kwa nini hawafanyi ?
Umeona eh!Chadema iwachukulie hatua waliompiga risasi Lissu? ndugu tikisa chako vizuri
Wanakuja?! Jinsi anayeshitaki ni DPP. CDM ni shahidi tuSwali zuri, kwa nini chadema na Tundu Lisu hawamshitaki huyo aliyeondoa hiyo cctv ?
Circumstantial evidence irresistibly points to that conclusion....any reasonable man directing his mid correctly, will arrive at that conclusion
Wanakuja?! Jinsi anayeshitaki ni DPP. CDM ni shahidi tu
nimeona kwenye andiko lako unatumia maneno ya kingereza (inaweza kuwa ni kiashiria umesoma kidogo). Lakini unawezaje kukosa uelewa wa vitu vidogo kama nani mwenye mamlaka ya kushitaki jinai ya mauaji au kudhuru?Yote sawa, swali langu kwa nini hawawashitaki ?
Chadema iwachukulie hatua waliompiga risasi Lissu? ndugu tikisa kichwa chako vizuri
kumbe unatoa ushauri kwa kitu usichokijua?Mimi siyo Mwanasheria, lakini kama nimevamiwa na Majambazi na kushambuliwa kwa risasi anayeshitaki shambulizi langu ni DPP au mimi mwenyewe ?
Wakipatikana watu elfu moja wenye akili kama zako(yaani hawatanii katika kuwaza huko)nchi imekwisha hii.La kumshukuru ni kwamba ndani ya nafsi zenu mnajua ukweli.Mimi naamini kabisa Tundu Lisu alipigwa risasi na chadema na yeye Tundu Lisu mwenyewe ni sehemu ya huo mpango, nia yao ilikuwa washambulie gari halafu wapeleke kwa Mzungu kusema ni assasination attempt lkn Mungu akawalaani mipango yao haikwenda vizuri hawakupanga vizuri hivyo waliofwatua risasi walijua Tundu Lisu hayumo lkn alikuwemo na risasi kummiminikia na ndio maana dereva wanamficha kwa kila hali kwani wanajua akibanwa atasema yote.
Slaa siyo mjinga alikuwa Katibu Mkuu chadema anajua kila kitu, waambieni chadema wamshutaki Mahakamani halafu afunguke.
Tundu Lisu ana laana na alipanga huu mpango wote yeye na chadema ili wamsingizie Magufuli sema ukamrudia na marisasi kuishia mwilini mwake.
Isitoshe kama Tundu alipigwa risasi na Serikali ya Magufuli kama ambavyo Tundu Lisu anasema kwa nini hawawachukulii hatua zozote wahusika kwani Tundu Lisu ameshawataja na Tundu Lisu na Samia wote Bosi wao mmoja na wanaelewana ni swala la Action tu, kwa nini hawafanyi ?
Chadema imshitaki mtu kwa kutenda jinai kwa sheria ipiInaweza kuwashitaki Mahakamani!