Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,134
- 2,470
hawawezi kama ambavyo hawakuweza kuwashitaki wale COVID19 wanaowatuhumu kuwa wameghushi barua lakini hawaendi kushitaki.Kuna clip inazunguka Dkt. Wilbrod Slaa akitngaza kuwa Chadema ni watesaji, wanatesa watu na Lissu ndio walimpiga risasi. Hii ni jinai, msikalie kimya mpelekeni Mahakamai athibishe anayo yasema.
Kila mtanzania atalipokea kivyake, wengine wataamini hivyo, hivyo siyo la kunyamazia. Ingelikuwa maneno ambayo hayahusishi jinai, ningelishauri kumpuuza.
Hili la Jinai msilikalie kimya!
Erythrocyte Mwanahabari Huru
kuna namna