John Heche: Lissu anatembea na Maajabu, Ukimjaribu Utaondoka wewe

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,148
20,306
Akihutubia Umati wa watu wengi waliokusanyika kusikiliza Mkutano wenye lengo la kuelimisha wananchi juu ya Mkataba wa DP World na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama agizo la serikali liliowataka wadau mbali mbali wajitokeze kutoa Elimu.

Leo walikuwa Chato Kata ya Mganza ambapo ni Nyumbani kwa Aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dr John Pombe Magufuli.

Aidha Mkutano huo ulianza kwa kuweka majina ya watu watano waliotuhumiwa kufanya vurugu na kutaka kuzuia mikutano ya Wananchi.

Vile vile John Hech amemtuhumu aliywkuwa mbunge wa Jimbo hilo na baadae waziri wa Nishati na Madini Bwana Kalemani kuwa yeye ndiye aliyewatuma vijana kufanya vurugu hizo.

Mh Heche ametumia jukwaa hilo kuwaelimisha wananchi Umuhimu wa kupigania rasilimali za Taifa ili ziwezw kuwa na manufaa kwa Wananchi wazawa na wazalendo na kuleta Tija kwa Taifa.

Amewaonya vijana wanaotaka kujaribu kufanya fujo kwenye miikutano hiyo na kuwapa nasaha kuwa wanaowatuma wao wamejificha na kula pesa za umma huku wakiwasukumiza vijana wasio na ajir kutokana na ufisadi na mipango mibovu ya serikali iliyoko madarakani.

Hata hivyo Mh Hech ametoa takwimu za kusikitisha akidai kuwa Jimbo hilo lenye Kata 17 ndani ya miaka 63 ccm imeweza kujenga vituo viwili tu vya Afya na vingine viwili viko ktk hatua ya ujenzi. Hivyo serikali ya ccm itakuchukua miaka 120 kuweza kujenga vituo vinane vya afya.

Tundu Lissu alipigwa Riasa 17 na leo yuko hai ataogopa hawa vijana? By the way Anatembea na maajabu ukimgusa tu unaondoka wewe.

Bado mikutano inaendelea tuendelee kujiandaa na bando tu. Yetu macho.
 
Hawa kina heche saa zingine wakiishiwa hoja wanakuwaga wapuuzi tu.. hivi kalemani awatume hao uvccm ili iweje?? Kwamba chadema wanamtishia kuchukua jimbo?? Hata kwa akili za mtoto mdogo wa chekechea hawezi kuwaza huo upuuzi..wanarudia siasa zao zile za majitaka za kutuhumu tuhumu watu na kuwachafua kama ilivyokuwa kwa lowasa.

Hapa anazungumzia kuwa kuna vituo viwili vya afya, wakati huo huo wanamtuhumu Magu alikuwa anajenga sana kwao..ndio maana Magu aliachana na wanasiasa na hakutaka kabisa ushirika na wao maana alijua mwisho wa siku huwa wanageuka washirikina.
 
Hawa kina heche saa zingine wakiishiwa hoja wanakuwaga wapuuzi tu.. hivi kalemani awatume hao uvccm ili iweje?? Kwamba chadema wanamtishia kuchukua jimbo?? Hata kwa akili za mtoto mdogo wa chekechea hawezi kuwaza huo upuuzi..wanarudia siasa zao zile za majitaka za kutuhumu tuhumu watu na kuwachafua kama ilivyokuwa kwa lowasa.

Hapa anazungumzia kuwa kuna vituo viwili vya afya, wakati huo huo wanamtuhumu Magu alikuwa anajenga sana kwao..ndio maana Magu aliachana na wanasiasa na hakutaka kabisa ushirika na wao maana alijua mwisho wa siku huwa wanageuka washirikina.
Tuliza Mqoundou we mpubavu unatakiwa kuelewa kuwa Ukimgusa Lissu Kwa Nia ya kumuua utakufa kabla yake kwani huoni yaliyotokea huko CHATO Kwa Mungu wenu? He is now skull and bones kama hutaki jaribu nawewe tukakufukie katibu na mungu wako jiwe nyambafu
 
Hawa kina heche saa zingine wakiishiwa hoja wanakuwaga wapuuzi tu.. hivi kalemani awatume hao uvccm ili iweje?? Kwamba chadema wanamtishia kuchukua jimbo?? Hata kwa akili za mtoto mdogo wa chekechea hawezi kuwaza huo upuuzi..wanarudia siasa zao zile za majitaka za kutuhumu tuhumu watu na kuwachafua kama ilivyokuwa kwa lowasa.

Hapa anazungumzia kuwa kuna vituo viwili vya afya, wakati huo huo wanamtuhumu Magu alikuwa anajenga sana kwao..ndio maana Magu aliachana na wanasiasa na hakutaka kabisa ushirika na wao maana alijua mwisho wa siku huwa wanageuka washirikina.
Inaonekana wewe siyo mfuatiliaji wa mambo haya. Ni aheri ungekaa kimya.

Siku zote watu walikuwa wanasema kuwa marehemu alikuwa anapeleka miradi mikubwa Chato isiyo na tija kwa wananchi walio wengi, wakati Chato ina huduma duni za afya na maji. Tena walikuwa wanasema kabisa kuwa badala ya kuwawekea taa za barabarani, angewapelekea maji.

Hakuna mtu ambaye angeweza kuhoji kama wananchi wa Chato wangekuwa wanapelekewa huduma muhimu, ambazo kwa sasa hawana. Uwanja wa ndege unawasaidia nini wananchi walio wengi ambao hawana hata huduma ya maji?
 
Akihutubia Umati wa watu wengi waliokusanyika kusikiliza Mkutano wenye lengo la kuelimisha wananchi juu ya Mkataba wa DP World na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama agizo la serikali liliowataka wadau mbali mbali wajitokeze kutoa Elimu.

Leo walikuwa Chato Kata ya Mganza ambapo ni Nyumbani kwa Aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dr John Pombe Magufuli.

Aidha Mkutano huo ulianza kwa kuweka majina ya watu watano waliotuhumiwa kufanya vurugu na kutaka kuzuia mikutano ya Wananchi.

Vile vile John Hech amemtuhumu aliywkuwa mbunge wa Jimbo hilo na baadae waziri wa Nishati na Madini Bwana Kalemani kuwa yeye ndiye aliyewatuma vijana kufanya vurugu hizo.

Mh Heche ametumia jukwaa hilo kuwaelimisha wananchi Umuhimu wa kupigania rasilimali za Taifa ili ziwezw kuwa na manufaa kwa Wananchi wazawa na wazalendo na kuleta Tija kwa Taifa.

Amewaonya vijana wanaotaka kujaribu kufanya fujo kwenye miikutano hiyo na kuwapa nasaha kuwa wanaowatuma wao wamejificha na kula pesa za umma huku wakiwasukumiza vijana wasio na ajir kutokana na ufisadi na mipango mibovu ya serikali iliyoko madarakani.

Hata hivyo Mh Hech ametoa takwimu za kusikitisha akidai kuwa Jimbo hilo lenye Kata 17 ndani ya miaka 63 ccm imeweza kujenga vituo viwili tu vya Afya na vingine viwili viko ktk hatua ya ujenzi. Hivyo serikali ya ccm itakuchukua miaka 120 kuweza kujenga vituo vinane vya afya.

Tundu Lissu alipigwa Riasa 17 na leo yuko hai ataogopa hawa vijana? By the way Anatembea na maajabu ukimgusa tu unaondoka wewe.

Bado mikutano inaendelea tuendelee kujiandaa na bando tu. Yetu macho.
Tundu Lissu alipigwa Riasa 17 na leo yuko hai ataogopa hawa vijana? By the way Anatembea na maajabu ukimgusa tu unaondoka wewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana wewe siyo mfuatiliaji wa mambo haya. Ni aheri ungekaa kimya.

Siku zote watu walikuwa wanasema kuwa marehemu alikuwa anapeleka miradi mikubwa Chato isiyo na tija kwa wananchi walio wengi, wakati Chato ina huduma duni za afya na maji. Tena walikuwa wanasema kabisa kuwa badala ya kuwawekea taa za barabarani, angewapelekea maji.

Hakuna mtu ambaye angeweza kuhoji kama wananchi wa Chato wangekuwa wanapelekewa huduma muhimu, ambazo kwa sasa hawana. Uwanja wa ndege unawasaidia nini wananchi walio wengi ambao hawana hata huduma ya maji?
Mzee alikuwa na vipaumbele Fyongo.
 
Back
Top Bottom