John Heche: Ukitunyima amani tunakunyima amani

John Heche: Ukitunyima amani tunakunyima amani

Quinine

Platinum Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
25,165
Reaction score
60,513
Nina taarifa za ndani kabisa kwamba wanataka kunikamata. Mimi siogopi kukamatwa, mimi sio mtu wa kutishiwa. I was born once, I live once and I will die once. Kama unataka kumtisha Heche unagonga pabaya na jipange upya.

Hatuwezi kuishi kwa kunyimana amani. 'Ukitunyima amani tutakunyima amani'. Short and clear. By - John Heche, akizungumza na wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza leo Jumatano Julai 29, 2026.

7BhKLKJOooLmOxGP.jpeg
 
Nina taarifa za ndani kabisa kwamba wanataka kunikamata. Mimi siogopi kukamatwa, mimi sio mtu wa kutishiwa. I was born once, I live once and I will die once. Kama unataka kumtisha Heche unagonga pabaya na jipange upya.

Hatuwezi kuishi kwa kunyimana amani. 'Ukitunyima amani tutakunyima amani'. Short and clear. By - John Heche, akizungumza na wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza leo Jumatano Julai 29, 2026.
. I was born once, I live once and I will die once. Kama unataka kumtisha Heche unagonga pabaya na jipange upya.💪🏿🔥
 
4. MASHARTI NA MUDA MAALUMU KUTOKA COMMONWEALTH CMAG(The Ultimatum)

Kutokana na mapendekezo ya Mjumbe Maalum, CMAG imetoa maelekezo yenye ukomo wa muda (Time-bound actions) kwa Tanzania:

Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.

Ndani ya Siku 60: Kurejesha upatikanaji kamili wa mitandao ya kijamii na kuacha vitisho dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.

Ndani ya Siku 90: Kuitisha jukwaa shirikishi na la kuaminika la vyama vya siasa (likiongozwa na mwezeshaji huru) kujadili mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, wafungwa, na uwajibikaji.

Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
 
4. MASHARTI NA MUDA MAALUMU KUTOKA COMMONWEALTH CMAG(The Ultimatum)

Kutokana na mapendekezo ya Mjumbe Maalum, CMAG imetoa maelekezo yenye ukomo wa muda (Time-bound actions) kwa Tanzania:

Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.

Ndani ya Siku 60: Kurejesha upatikanaji kamili wa mitandao ya kijamii na kuacha vitisho dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.

Ndani ya Siku 90: Kuitisha jukwaa shirikishi na la kuaminika la vyama vya siasa (likiongozwa na mwezeshaji huru) kujadili mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, wafungwa, na uwajibikaji.

Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
Asante kwa kuwakumbusha.
 
Nina taarifa za ndani kabisa kwamba wanataka kunikamata. Mimi siogopi kukamatwa, mimi sio mtu wa kutishiwa. I was born once, I live once and I will die once. Kama unataka kumtisha Heche unagonga pabaya na jipange upya.

Hatuwezi kuishi kwa kunyimana amani. 'Ukitunyima amani tutakunyima amani'. Short and clear. By - John Heche, akizungumza na wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza leo Jumatano Julai 29, 2026.

View attachment 3639471
Km haogopi mbona kipindi cha Magu aliikimbia nchi na Samia ndiyo amemrudisha? Adanganye nyumbu wenzake na ashukuru uungwana na upole wa Samia. Na avuke mstari mwekundu km anaona anaogopwa! Unaweza kupigwa shaba hadharani na maisha yakaendelea, aache kushindana na dola, wako wapi kina Mdude na Polepole? Kwani maisha yamesimama? Ye ni nyau mdogo atulize makalio hayo ya kikurya, kwanza siyo mtanzania ni mkenya! Ingekuwa enzi za wababe ama angeshakimbia km kipindi cha Magu ama angefukuzwa nchini
 
Km haogopi mbona kipindi cha Magu aliikimbia nchi na Samia ndiyo amemrudisha? Adanganye nyumbu wenzake na ashukuru uungwana na upole wa Samia. Na avuke mstari mwekundu km anaona anaogopwa! Unaweza kupigwa shaba hadharani na maisha yakaendelea, aache kushindana na dola, wako wapi kina Mdude na Polepole? Kwani maisha yamesimama? Ye ni nyau mdogo atulize makalio hayo ya kikurya, kwanza siyo mtanzania ni mkenya! Ingekuwa enzi za wababe ama angeshakimbia km kipindi cha Magu ama angefukuzwa nchini
Kwa hiyo wakisha muua itasaidia nini sasa,na huyo Heche kawazuia nini kufanya hicho wanachokitaka,haya alifanya Idd Amini dada kwa hiyo Samia hatakuwa wa kwanza
 
Km haogopi mbona kipindi cha Magu aliikimbia nchi na Samia ndiyo amemrudisha? Adanganye nyumbu wenzake na ashukuru uungwana na upole wa Samia. Na avuke mstari mwekundu km anaona anaogopwa! Unaweza kupigwa shaba hadharani na maisha yakaendelea, aache kushindana na dola, wako wapi kina Mdude na Polepole? Kwani maisha yamesimama? Ye ni nyau mdogo atulize makalio hayo ya kikurya, kwanza siyo mtanzania ni mkenya! Ingekuwa enzi za wababe ama angeshakimbia km kipindi cha Magu ama angefukuzwa nchini

Irani sio Venezuela
 
ukshazikwa uchungu unabaki wa mjane na wanae.

eloh ..
Kwamba watakaomuua wao hawatakufa? wajane na watoto wao hawatapata uchungu? Wasipomuua Heche hatakufa, na ataishi milele?

Kwanini ujione mwamba kwa kumnyang'anya mwenzako uhai baada hayo yote ubaki na majuto maisha yako yote? Je wewe unaweza kurefusha hata dk 02 ya muda wa maisha yako?

ukijipa majibu hayo yote utajua ni bora anaekufa kuliko anaeua na kubaki na hatia.
 
Back
Top Bottom