Huyo siyo hayati Ole uliyemtanguliza kwa muumba wake, chunga kwani pamba nayo ina uzito ndio maana hupimwa kwa tani!pamba tu hiyo
tena nyepesi
Huyo siyo hayati Ole uliyemtanguliza kwa muumba wake, chunga kwani pamba nayo ina uzito ndio maana hupimwa kwa tani!pamba tu hiyo
tena nyepesi
We kweli mata***ko,na umeolewa sio bure.Heche sio mzaramo ni mkurya ogiiiKm haogopi mbona kipindi cha Magu aliikimbia nchi na Samia ndiyo amemrudisha? Adanganye nyumbu wenzake na ashukuru uungwana na upole wa Samia. Na avuke mstari mwekundu km anaona anaogopwa! Unaweza kupigwa shaba hadharani na maisha yakaendelea, aache kushindana na dola, wako wapi kina Mdude na Polepole? Kwani maisha yamesimama? Ye ni nyau mdogo atulize makalio hayo ya kikurya, kwanza siyo mtanzania ni mkenya! Ingekuwa enzi za wababe ama angeshakimbia km kipindi cha Magu ama angefukuzwa nchini
Ukimwaga ugali wetu tuna mwaga mboga yako ,mchuzi na masufuria ya kupikia tunauza screperNina taarifa za ndani kabisa kwamba wanataka kunikamata. Mimi siogopi kukamatwa, mimi sio mtu wa kutishiwa. I was born once, I live once and I will die once. Kama unataka kumtisha Heche unagonga pabaya na jipange upya.
Hatuwezi kuishi kwa kunyimana amani. 'Ukitunyima amani tutakunyima amani'. Short and clear. By - John Heche, akizungumza na wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza leo Jumatano Julai 29, 2026.
View attachment 3639471
Wewe una matatizo ya kumbukumbu.Km haogopi mbona kipindi cha Magu aliikimbia nchi na Samia ndiyo amemrudisha? Adanganye nyumbu wenzake na ashukuru uungwana na upole wa Samia. Na avuke mstari mwekundu km anaona anaogopwa! Unaweza kupigwa shaba hadharani na maisha yakaendelea, aache kushindana na dola, wako wapi kina Mdude na Polepole? Kwani maisha yamesimama? Ye ni nyau mdogo atulize makalio hayo ya kikurya, kwanza siyo mtanzania ni mkenya! Ingekuwa enzi za wababe ama angeshakimbia km kipindi cha Magu ama angefukuzwa nchini
fisadi wa pesa za chadema na mropokaji kama huyo amnyime nani amani kwa mfano 🤣Nina taarifa za ndani kabisa kwamba wanataka kunikamata. Mimi siogopi kukamatwa, mimi sio mtu wa kutishiwa. I was born once, I live once and I will die once. Kama unataka kumtisha Heche unagonga pabaya na jipange upya.
Hatuwezi kuishi kwa kunyimana amani. 'Ukitunyima amani tutakunyima amani'. Short and clear. By - John Heche, akizungumza na wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza leo Jumatano Julai 29, 2026.
View attachment 3639471
Wewe kweli ni lisenge la karne.We ni poyoyo tu watanzania wanakujua. Hv unajua ni Samia ndiyo kamrudisha nchini? Huyo bwege lako alishakimbia nchi kipindi cha mwamba John Pombe Joseph Magufuli.
Halafu wewe unapata faida gani.ukshazikwa uchungu unabaki wa mjane na wanae.
eloh ..
Mwezi sasa wimbo ule ule.fisadi wa pesa za chadema na mropokaji kama huyo amnyime nani amani kwa mfano 🤣
Heche hajawahi kukimbia nchiKm haogopi mbona kipindi cha Magu aliikimbia nchi na Samia ndiyo amemrudisha? Adanganye nyumbu wenzake na ashukuru uungwana na upole wa Samia. Na avuke mstari mwekundu km anaona anaogopwa! Unaweza kupigwa shaba hadharani na maisha yakaendelea, aache kushindana na dola, wako wapi kina Mdude na Polepole? Kwani maisha yamesimama? Ye ni nyau mdogo atulize makalio hayo ya kikurya, kwanza siyo mtanzania ni mkenya! Ingekuwa enzi za wababe ama angeshakimbia km kipindi cha Magu ama angefukuzwa nchini
Alikimbilia nchi gani.Km haogopi mbona kipindi cha Magu aliikimbia nchi na Samia ndiyo amemrudisha? Adanganye nyumbu wenzake na ashukuru uungwana na upole wa Samia. Na avuke mstari mwekundu km anaona anaogopwa! Unaweza kupigwa shaba hadharani na maisha yakaendelea, aache kushindana na dola, wako wapi kina Mdude na Polepole? Kwani maisha yamesimama? Ye ni nyau mdogo atulize makalio hayo ya kikurya, kwanza siyo mtanzania ni mkenya! Ingekuwa enzi za wababe ama angeshakimbia km kipindi cha Magu ama angefukuzwa nchini
ufisadi wa heche right gentleman?Mwezi sasa wimbo ule ule.
Nyie mtaishi milele? Ovyo!Km haogopi mbona kipindi cha Magu aliikimbia nchi na Samia ndiyo amemrudisha? Adanganye nyumbu wenzake na ashukuru uungwana na upole wa Samia. Na avuke mstari mwekundu km anaona anaogopwa! Unaweza kupigwa shaba hadharani na maisha yakaendelea, aache kushindana na dola, wako wapi kina Mdude na Polepole? Kwani maisha yamesimama? Ye ni nyau mdogo atulize makalio hayo ya kikurya, kwanza siyo mtanzania ni mkenya! Ingekuwa enzi za wababe ama angeshakimbia km kipindi cha Magu ama angefukuzwa nchini
Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.ufisadi wa heche right gentleman?
hausafishiki sasa 🐒
hiyo porojo kuwadanganye na kuwapiga kamba wafuata mkumbo wenzako gentleman na itapendeza zaidi 🐒Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.
Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.
Ni amri sio ombi.
Heche hiyo kauli hata Mwenyekiti wako Lissu aliwahi kusema. Leo ana zamu ya kusafisha mtondoo! Mke wake na watoto wake wanarandaranda Ulaya na Marekani kutafuta huruma!Nina taarifa za ndani kabisa kwamba wanataka kunikamata. Mimi siogopi kukamatwa, mimi sio mtu wa kutishiwa. I was born once, I live once and I will die once. Kama unataka kumtisha Heche unagonga pabaya na jipange upya.
Hatuwezi kuishi kwa kunyimana amani. 'Ukitunyima amani tutakunyima amani'. Short and clear. By - John Heche, akizungumza na wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza leo Jumatano Julai 29, 2026.
View attachment 3639471
tunamtoo mke wake😋Halafu wewe unapata faida gani.
Mkamateni basi, ameshawapiga 'biti' kuwa mkimnyima amani naye atawanyima amani.pamba tu hiyo
tena nyepesi
Hawajaliruka. Wanalitekeleza kwa akili sana japo ni kwa njia za kifisadi. Suala la Lissu watashikilia misimamo kwamba ni mchakato halali wa kisheria. Wakati huohuo wataendelea kumrubuni au kumtisha kwa siri aunge mkono maridhiano uchwara. Huku uraiani wananunua supporters wa mchakoto wa maridhiano kutoka upinzani. Vitisho pia vinatumika kupata wa kuwaunga mkono. Wanahitaji watu wachache kutoka upinzani kuionyesha dunia na wafadhili kwamba mabadiliko chanya ya kisiasa na kidemokrasia yanafanyka nchini. Hata kale kahotuba ka Yuda ilikua ni sehemu ya mkakati. Utaanzishwa mchakato mwingine uchwara wa mabadiliko ya katiba ambao hautakaa ukamilike mpaka maslahi yao yawe yametimia.Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.
Hili wameliruka😂