Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 36,228
- 60,548
Mi naona nisawa tuNa huo ndio msimamo wa Wananchi wote
Mi naona nisawa tuNa huo ndio msimamo wa Wananchi wote
Kwani wameitwa kwenye maridhiano!?..sisi tunataka wadakwe wanyee debe
Acha akae maana hata yeye hayuko tayari kwa maridhiano ya hadaa. Angetaka kutoka kwa hayo maridhiano ya hadaa hata leo angekuwa nje.Sasa mkikataa maridhiano Lissu ataendelea kukaa mahabusu muda usiojulikana, mpaka aje atoke kama ni wa kutoka si leo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wakidhani atapiga magoti kusujudia sanamu”.
Lisu yupo ndani kwasababu amekataa maridhiano? Kama ni hivyo basi hakuna haja ya uwepo wa hayo maridhiano.Sasa mkikataa maridhiano Lissu ataendelea kukaa mahabusu muda usiojulikana, mpaka aje atoke kama ni wa kutoka si leo
Cha kusikitisha ni kwamba hata Maduro alikuwa na wafuasi tena wengi sana.Nilishashauri hakuna haja ya maridhiano na hawa wahuni. Serikali isonge mbele kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kwa sababu miaka 5 ni michache mno. Tusipoteze kuridhiana na wahuni aina ya Heche.
Nshanyea sana debe kekoJela haina mwenyewe siku nyingine na wewe utadakwa ukanyee hilo debe.
Naunga mkono hojaChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitakuwa tayari kwa maridhiano yenye kupumbaza, kuhadaa, yenye ulaghai na yenye kuliondoa Taifa kwenye ukweli, haki na kile ambacho Taifa inataka na kusisitiza kuwa kamwe CHADEMA haitowasiliti Watanzania.
Akiongea leo January 03,2026, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amesema “CHADEMA, Chama chenu hakitakuwa tayari kwa maridhiano yenye kupumbaza, kuhadaa, yenye ulaghai na yenye kuliondoa Taifa kwenye ukweli, haki na kile ambacho Taifa inataka, kamwe hatuwasaliti Watanzania”
“Ni ubatili na dharau kubwa kwa Watanzania kuyaita maridhiano sasa katika mazingira ambapo Serikali iliamua kwa makusudi kuwapuuza Wananchi, Vyama vya siasa na Wadau wa demokrasia juu ya hitaji la nchi kuhusu mabadiliko (reforms) ya mifumo ya uchaguzi nchini, uchaguzi batili hauishii kwenye siasa pekee, huingia moja kwa moja kwenye tumbo la mwananchi na heshima ya maisha yake ya kila siku”
“Leo ninapotoa salamu hizi ni siku ya 269, tangu Mwenyekiti wetu, Tundu Lissu alipokamatwa na kuwekwa mahabusu kwa kesi ya uongo, batili na yenye uonevu wa makusudi wakidhani atapiga magoti kusujudia sanamu”.
Safi sana Heche na Chadema.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitakuwa tayari kwa maridhiano yenye kupumbaza, kuhadaa, yenye ulaghai na yenye kuliondoa Taifa kwenye ukweli, haki na kile ambacho Taifa inataka na kusisitiza kuwa kamwe CHADEMA haitowasiliti Watanzania.
Akiongea leo January 03,2026, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amesema “CHADEMA, Chama chenu hakitakuwa tayari kwa maridhiano yenye kupumbaza, kuhadaa, yenye ulaghai na yenye kuliondoa Taifa kwenye ukweli, haki na kile ambacho Taifa inataka, kamwe hatuwasaliti Watanzania”
“Ni ubatili na dharau kubwa kwa Watanzania kuyaita maridhiano sasa katika mazingira ambapo Serikali iliamua kwa makusudi kuwapuuza Wananchi, Vyama vya siasa na Wadau wa demokrasia juu ya hitaji la nchi kuhusu mabadiliko (reforms) ya mifumo ya uchaguzi nchini, uchaguzi batili hauishii kwenye siasa pekee, huingia moja kwa moja kwenye tumbo la mwananchi na heshima ya maisha yake ya kila siku”
“Leo ninapotoa salamu hizi ni siku ya 269, tangu Mwenyekiti wetu, Tundu Lissu alipokamatwa na kuwekwa mahabusu kwa kesi ya uongo, batili na yenye uonevu wa makusudi wakidhani atapiga magoti kusujudia sanamu”.
Nilishashauri hakuna haja ya maridhiano na hawa wahuni. Serikali isonge mbele kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kwa sababu miaka 5 ni michache mno. Tusipoteze kuridhiana na wahuni aina ya Heche.
Damu za watu mliowaua zimewalevya shenzy-type nyie ndio maana mnaandika bila kutumia akili zilizo sawa...Kwani wameitwa kwenye maridhiano!?..sisi tunataka wadakwe wanyee debe
Msenge kama wewe tunakupuuza tu.Kwani wameitwa kwenye maridhiano!?..sisi tunataka wadakwe wanyee debe