Kariakoo ni sehemu ya Biashara au mikutano ya siasa?Hii ndio Taarifa ya Sasa kutoka Kariakoo, Dar es Salaam
View attachment 3312332
Hakuwa na koso lolote, lakini Inaelezwa kwamba Maagizo kutoka Juu yameelekezwa akamatwe na apewe Kesi ya Ugaidi.
Siasa ni watu kariakoo kuna watu wengi hawana mda wa kutokaKariakoo ni sehemu ya Biashara au mikutano ya siasa?
Na miwani yake kumbe roho mbaya kama mkaanga sumuBibi Kilembwe a.k.a Yezebeli kwenye moja na mbili.
Yooote haya yanafanyika wananchi tumetuliia tuliiiiiiiiiiiiiiii. Acha ccm watuburuze wanavyotaka kwa jinsi hii aiseeTz ni nchi ya kike
Mbona waoga kiasi hicho kwani watanzania ni mazezeta wakiambiwa tu uongo wanafuata, CCM imeshaiasha kwa sitaili hi.Haiwezekani akamatwe bila sababu, lazima kuna jambo, aidha kuna uchochezi aliokuwa akipandikiza hapo kariakoo kwani haiwezekani raia mwema kukamatwa bila sababu!
Ccm Mbona wanafanya mikutano kkoo.Kariakoo ni sehemu ya Biashara au mikutano ya siasa?