ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,697
- 39,154
Yana mwishoEndelea kuota.Angalia usijinyee.
Huo ujinga wenu
Yana mwishoEndelea kuota.Angalia usijinyee.
Mbegu iliyojifia kamwe haiwezi kuota ni sawa na kubet mkuuMbegu ya kujitambua ikipandwa inaweza kumea hata kwa kuchelewa.
Wewe hata ungekua wakati wa mkoloni ungesema hivyo so wewe ni bumundaMtanganyika gani aliwaandikia barua CHADEMA kuwa iwapiganie? Weka nakala
Wao wanapugania tonetone tu ndio masna wanapuuzwa na watanganyika hata wakikamatwa fresh tu
Watanganyika wanaendelea na shughuli zao kama hakujatokea chochote
She is hopeless.Samia is not fit to lead the country. She doesn't have it!
Shule hazina madawatiMtanganyika gani aliwaandikia barua CHADEMA kuwa iwapiganie? Weka nakala
Wao wanapugania tonetone tu ndio masna wanapuuzwa na watanganyika hata wakikamatwa fresh tu
Watanganyika wanaendelea na shughuli zao kama hakujatokea chochote
NO RIFOMU NO ELEKSHENI!!! NO RIFOMU NO ELEKSHENI!!! NO RIFOMU NO ELEKSHENI!!! NO RIFOMU NO ELEKSHENI!!!Taarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.
Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.
Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.
View attachment 3312400
View attachment 3312401
Haya ndo masisiem yaliyovimbiwa hadi yanajamba jamba muda woteHaiwezekani akamatwe bila sababu, lazima kuna jambo, aidha kuna uchochezi aliokuwa akipandikiza hapo kariakoo kwani haiwezekani raia mwema kukamatwa bila sababu!
Lilaniwe hilo limama.Halafu kuna wapumbavu waligeuza jukwaa la pasaka kuwa la kumsifu Samia na ushetani wake.
Inabidi tufe sisi kwanza , kizazi kinachoogopa kufa kwa kupambania haki, ila hakiogopi kufa kwa kutokuvaa kondom.Mbegu iliyojifia kamwe haiwezi kuota ni sawa na kubet mkuu
Hawapiganii hoja hizo wao wako kwenye No reform no Election usichanganye mada wala kuwawekea maneno mdomoni ambayo hawajaingeaShule hazina madawati
Hospital hakuna dawa
Hakuna maji
Deni la Taifa ni trillion 97.35
Ujinga sanaAlisema ni kiongozi mwenye jinsia ya kike...na kweli ni wa kike, mambo ya kike kike yamezidi sasa
HahahaMbaya zaidi nchi imeingiliwa kinyume na maumbile!
Nikweli alileta sheria hizo ili kuwakabili mafisadi na wahuni ambao msio na akili mliwa hurumia... sasa hao mafisadi na maadui wa uzalendo na maadui wa wazalendo ndiyo wameshika mpini.... Sasa mmeanza kujua kwa nini JPM aliwaandama kwa udicteta maadui wote wa uzalendo .Maan#### huyo ndio alileta sheria za kusema polici hata wakiua wasishitakiwe sijui inawaza kwa kutumia nini mkuu. He was the worst prsda ever. Akifuatiwa na huyu chura kiziwi