PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Vitendo vya kamata kamata ya viongozi wa chadema inayofanywa na jeshi la polisi, vinawapa nguvu sana wananchi ya kuamini kwamba wanachosema viongozi hao ni kweli na kuna haja ya kufanya mabadiliko ya kimfumo na kisheria ili kuwepo na uwanja sawa wa kisiasa wa watu kuchagua na kuchaguliwa bila upendeleo.
 
Hii sio nzuri sana, especially tunapoelekea kwenye uchaguzi. Mama anashauriwa vibaya sana - perhaps kwa makusudi kabisa. Anaweza kuwa Rais wa kwanza very unpopular kama ataendelea hivi
 
Nikweli alileta sheria hizo ili kuwakabili mafisadi na wahuni ambao msio na akili mliwa hurumia sasa wameshika mpini mmejua kwanini JPM aliwaandama kwa udicteta maadui wote wa uzalendo .
💥Jpm alileta sheria kali za kidicteta dhidi wa wahuni wanao chukia uzalendo na kuchukia wazalendo.
💥Samia kaleta sheria kali na kuondoa sheria ya kuvishitaki vyombo vya ulinzi hata vikifanya uovu gani ili kupambana na Wazalendo wote nchini na uzalendo.
TATIZO LENU WATANZANIA AMNA AKILI AMJUI I KWANINI TUNATAKA RAIS DICTATOR MZALENDO . amjui kiburi cha mafisadi na wahuni kwenye hii nchi kilipo fikia .
Fisadi yupi alimuadhabisha. Maana yeye mwenyewe alikua fisadi. Au hujui kwake wakati amedanja zilikutwa dolla 40m. You talk nonsense nigga. Eti fisadi akamate mafisadi 😆😆😆😆
 
Taarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.

Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.

Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.



View attachment 3312400


View attachment 3312401


Lakini alisema hata yeye Yuko tayari kukamatwa.
 
Inabidi tufe sisi kwanza , kizazi kinachoogopa kufa kwa kupambania haki, ila hakiogopi kufa kwa kutokuvaa kondom.
Sisi historia yetu watakapo kuja kusoma vizazi vyetu vitashangaa sana na kujiuliza hawa walikuwa binadamu wa aina gani ?Maiti zinazo tembea (sorry)
 
Hawapiganii hoja hizo wao wako kwenye No reform no Election usichanganye mada wala kuwawekea maneno mdomoni ambayo hawajaingea
Tume huru ya uchaguzi ndo itatupa viongozi tunaowachagua sio wanaoiba uchaguzi Kwa tume isiokuwa huru

Ambao hao hawajali
Shule hazina madawati
Hospital hazina madawa
Hakuna maji
Hakuna barabara
Mwasai Ngorongoro hawana makazi
Bandari imeuzwa
ATCL imekufa
Ziwa victoria meli mbovu
Mishahara duni ya watumishi
Hakuna ajira Kwa vijana
Hakuna soko la mazao
Tozo nyingi
Deni la Taifa ni trillion 97.35
 
Fisadi yupi alimuadhabisha. Maana yeye mwenyewe alikua fisadi. Au hujui kwake wakati amedanja zilikutwa dolla 40m. You talk nonsense nigga. Eti fisadi akamate mafisadi 😆😆😆😆
Tumia akili duniani kote kuna ufisadi lakini nchi zao zinaendelea unajua kwa nini ? Kunatofauti ya FISADI MZALENDO NA FISADI ASIYE MZALENDO
 
Tumia akili duniani kote kuna ufisadi lakini nchi zao zinaendelea unajua kwa nini ? Kunatofauti ya FISADI MZALENDO NA FISADI ASIYE MZALENDO
Anauzalendo upi..? Acha upumbavu. Mzalendo kwa kipi alichofanya 😆😆😆😆. Mshamba wa madaraka yule. Yaani lile lishamba eti lizalendo unajua maana ya uzalendo..?
 
Tume huru ya uchaguzi ndo itatupa viongozi tunaowachagua sio wanaoiba uchaguzi Kwa tume isiokuwa huru

Ambao hao hawajali
Shule hazina madawati
Hospital hazina madawa
Hakuna maji
Hakuna barabara
Mwasai Ngorongoro hawana makazi
Bandari imeuzwa
ATCL imekufa
Ziwa victoria meli mbovu
Mishahara duni ya watumishi
Hakuna ajira Kwa vijana
Hakuna soko la mazao
Tozo nyingi
Deni la Taifa ni trillion 97.35
Hayo hawaongei wewe ndio wasema.wao wamejikita tu no reform no election na tonetone
Japo ushahidi huna waropoka tu bila takwimu au ushahidi hakikika
 
JPM alisingiziwa mabaya mengi.

Anyway, Kuna watu watasema ni vibaraka wa JPM 😂 wakati huu ni mwaka wa nne jamaa yupo kaburini
 
Tumia akili duniani kote kuna ufisadi lakini nchi zao zinaendelea unajua kwa nini ? Kunatofauti ya FISADI MZALENDO NA FISADI ASIYE MZALENDO
Eti umekubali kuwa ni fisadi alafu unasema mzalendo. Ww jamaa ni punguani. Fisadi awe mzalendo😆😆😆 nabishana na lifala f@[< You
 
Hayo hawaongei wewe ndio wasema.wao wamejikita tu no reform no election na tonetone
Japo ushahidi huna waropoka tu bila takwimu au ushahidi hakikika
Kwanini nyie mafisi hamtaki tume huru ya uchaguzi?
 
Back
Top Bottom