Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 16,466
- 42,594
Mkiwamaliza wote mje na uraiani mtukamate wote.Bado mnyika. Labda akajifiche kanisani kwamba anasoma novena.
Mkiwamaliza wote mje na uraiani mtukamate wote.Bado mnyika. Labda akajifiche kanisani kwamba anasoma novena.
Ile katiba iliyopo ya kisenge lazima ibadilishwe, watu wameelewa somoIla mwishwo wake yataskua majadiliano hili suala la "no reform no election" limepokelewa almost na watanzania wote wakiwemo baadhi ya ccm haliepukiki
Lisu ,heche ,Mbowe ,Sugu,Mnyika nk walishindaje kuwa wabunge wakati tume haikuwa huru ?Kwanini nyie mafisi hamtaki tume huru ya uchaguzi?
Kura ziliibiwa hadi zikabaki ndo wakashindaLisu ,heche ,Mbowe ,Sugu,Mnyika nk walishindaje kuwa wabunge wakati tume haikuwa huru ?
Kwani hao Polisi waliotoa hicho kibali hakujua hapo kariakoo ni barabaraniKibali cha mkutano barabarani? Kwenye barabara za magari?
Kama mna wapiga kura wengi zinaibiwa hadi kubaki safari hii kama mnazo za kutosha hata zikiibiwa zutabaki kwa nini msigombee uchaguzi mkuu?Kura ziliibiwa hadi zikabaki ndo wakashinda
Tume huru hamuitaki kwanini?
Sasa kama Babu tale yupo bungeni kwa nini isiwe Zuchu😁😁Yani ni hatari mno hata zuchu anaweza kuwa kiongozi wa juu na kutuburuza kama wehu tu 🤔
Huu Moto unaopaliliwa hautamuacha Samia salama
Sijajuwa Samia ana mpango gani na Tanzania au ni agent wa warabu sisi tupo tu tunashangaa shangaa ndio anatuuza na kuiua Tanzania
Tunataka tume huru isiyoleta wabunge 💯 CCM ambao wao ndo wanatuletea tozo, wanauza bandari, wanahamisha Masai Ngorongoro, wanajua ATCLKama mna wapiga kura wengi zinaibiwa hadi kubaki safari hii kama mnazo za kutosha hata zikiibiwa zutabaki kwa nini msigombee uchaguzi mkuu?
Heche kasema nini kariakoo zaidi ya kuzua foleni za misongamano ya watu na mgari kwa kusimama barabarani, kwenye barabara iliyo busy na kuleta usumbufu kwa watumia barabara? Ndio maana alipokamatwa wananchi hawakujali zaidi ya kupongeza jeshi la polisi kufungua barabara kuondoa foleniYeyote anaejitolea kuwaambia watanzania ukweli anaamatwa, yan viongozi wa tanzania waoga saana
Huyu atoke jumatatu ijayo tena kwa habeas corpusTaarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.
Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.
Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.
View attachment 3312400
View attachment 3312401
Nafikiri labda atakuwa anashauriwa vibaya na wasaidizi wake.The female dictator
Watasema Heche naye ni Mhaini kwa kufika KariakooDuh! Ngoja tusubiri taarifa ya jeshi la polisi.