John Bolton, mgomvi wa Trump na mshauri wa masuala ya ulinzi asema Israel imeshindwa vita

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,921
Mmoja ya wanasiasa machachari wa Marekani na aliyekuwa mshauri wa mambo ya ulinzi wa raisi Donald Trump, John Bolton amesema katika vita vinavyoendelea Israel imeshindwa na Hamas.

Katika makala yake iliyochapishwa juzi kwenye gazeti la Telegraph, Bolton amesema usitishwaji wa vita wa siku nne utatumiwa vyema na Hamas kuweza kujipanga na kubadili mpangilio wake wa matumizi ya mahandaki ili kuweza kuingia vitani kwa kasi kwa mara nyengine na Israel.

Japo Bolton amekuwa muwazi kwa kutoa maoni yake yanayoendana na baadhi ya viongozi wa Kiyahudi, hata hvyo imeelezwa kuwa hajafahamu kuwa Benjamin Netanyahu amelazimika kufanya makubaliano hayo kutokana na hasara kubwa jeshi la IDF iliyopata katika uwanja wa mapigano huko Gaza.

Why Bolton Believes that Hamas is Winning – ANALYSIS

 
Ni mpuuzi tu anaeamini kwamba israhell kashinda hii mbungi israhell kalazimika kufata matakwa ya hamas baada yakuona hana analoweza kufanya kukomboa mateka wake
Israhell walidhania kuua watu hovyo kungeweza kuwatisha hamas na kuwapa ushindi nangojea ile kauli ya gaidi netanyahu kuifuta hamas itimie nimekaa hapa kwa shemeji yangu
 
Ni mpuuzi tu anaeamini kwamba israhell kashinda hii mbungi israhell kalazimika kufata matakwa ya hamas baada yakuona hana analoweza kufanya kukomboa mateka wake
Israhell walidhania kuua watu hovyo kungeweza kuwatisha hamas na kuwapa ushindi nangojea ile kauli ya gaidi netanyahu kuifuta hamas itimie nimekaa hapa kwa shemeji yangu
safi sana
 
Ili Israel ishinde hii vita lazima iue wapalestina wote au iwafukuze wote, nje ya hapo Wapalestina wataendelea kudai haki zao tu mpaka wapate uhuru. Na kuua wapalestina wote kwa dunia ya sasa, ngumu!
Nakubaliana na wewe na israhell ilidhania kwamba misri watafungua kivuko cha rafah ili wa Palestine wakimbilie huko
Israhell kuua wapalestine wote hawezi nakuwafukuza wote hawezi maana dunia imebadilika
Israhell alianza kufeli tokea mwaka 2007 aliposhindwa kuelewa athari za hamas kuukamata ukanda wa ghaza hatimae mwaka 2023 hamas wanamshangaza
Israhell ilisema haitaongea na hamas kwakua eti ni magaidi ila mwishowe wanawakimbilia magaidi wawaachie raia wao hatimae israhell imekula matapishi yao
 
Ni mpuuzi tu anaeamini kwamba israhell kashinda hii mbungi israhell kalazimika kufata matakwa ya hamas baada yakuona hana analoweza kufanya kukomboa mateka wake
Israhell walidhania kuua watu hovyo kungeweza kuwatisha hamas na kuwapa ushindi nangojea ile kauli ya gaidi netanyahu kuifuta hamas itimie nimekaa hapa kwa shemeji yangu
Tukienda kwa Mkitadha huo basi na Urusi imeshindwa vita dhidi ya Ukraine. Kwasababu zifuatazo:

Malengo makuu ya Urusi kuivamia Ukraine yalikuwa yafuatayo;
(i) Kuondoa wanazi ambao wanatawala pale Ukraine(Denazification)
(ii) Kuharibu Silaha zote za Ukraine na kuifanya Ukraine isiwe na uwezo tena kijeshi(Demilitarization)
(iii) Kuyakomboa majimbo yote matatu(Dotnesk, Luhansk na Kherson) kutoka kwenye utawala wa Ukraine.

Matokeo yake
(i) Lengo la kwanza la kuwaondoa wanazi pale Ukraine limefeli. Kwanini? Mwanzo wa Vita Putin na Waziri wake wa Mambo ya nje Sergei Lavrov waliweka wazi kwamba Ukraine inatawaliwa na Wanazi ambao wanachochea mauaji ya watu wanaozungumza Kirusi kule mashariki mwa Ukraine, hapa maana yake kuanzia Rais Zelensk, na Mawaziri wake walio wengi ni Manazi ambao wanatakiwa kuuawa au kuondolewa madarakani. Mpaka leo sote ni mashahidi, huu ni mwaka wa pili, hakuna kiongozi yoyote yule wa ngazi za juu wa Ukraine ambaye alishauawa hasa viongozi wa kisiasa. Kwahiyo lengo la kuwaondoa Manazi kwa mjibu wa Putin nalo limefeli pakubwa make ndio kwanza kabisa Warusi wanachukiwa zaidi nchini Ukraine na hata nchi jirani za Baltics(Estonia, Latvia na Lithuania) kuliko kabla ya vita hivyo.

(ii) Lengo la Pili la Kuharibu uwezo wa kijeshi wa Ukrane limefeli tena sana. Mwanzo wa vita Urusi iliweka ushahidi wa maneno na madai lukuki kwamba Ukraine inatumiwa na nchi za Magharibi kwa maandalizi ya kuivamia Urusi kupitia jimbo la Crimea. Wakati huo, Ukraine ilikuwa haijawhi kurusha hata jiwe moja kuelekea nchini Urusi. Sasa leo hii mwaka wa pili wa oparesheni ya kuharibu uwezo wa kijeshi wa Ukraine tunashuhudia Ukraine ikipata uwezo wa Kijeshi wa Kurusha ndege zisizo na rubani mpaka sio tu mji mkuu wa Moscow bali mpaka kwenye makazi ya rais wa Urus pale Kremlin. Tumeshuhudia manowari ya kijeshi(Flagship) ya Urusi kwa jina MOSKVA ikizamishwa na makombora ya NEPTUNE ya Ukraine. Je, Is Ukraine Stronger or weak after the War?

(iii) Lengo la tatu la Kuyateka majimbo matatu ya Ukraine nalo limefanikiwa kisiasa lakini kijeshi bado kabisa. Ukweli ni kwamba, mpaka tunavyozungumza hivi sasa, Urusi imefanikiwa kuteka vipande tu vya majimbo yafuatayo kule mashariki na kusini mwa Ukraine, kwenye mabano ni % ya eneo lilotekwa na Urusi kwenye jimbo husika.
-Kharkiv(12%)
-Dotnesk (70%)
-Luhansk(85%)
-Kherson(60%)
-Zhaporizhia(40%)

Majimbo ya Dotnesk la Luhansk hata kabla ya vita tayari yalikuwa yanatawaliwa na waasi wa DPR na LPR ambao wanaungwa mkono na Urusi. Licha ya Urusi kutoyadhibiti majimbo hayo kijeshi kwa 100% basi iliamua kujichukulia ushindi wa kisiasa zaidi ya kuamlu upigaji wa kura ya maoni wa vipande vya majimbo hayo kujiunga na Urusi. Ikumbukwe kuwa miji mikuu ya majimbo hayo iko chini ya udhibiti wa Ukraine mpaka sasa.

Mwisho

Licha ya wengi kuwa na madai kwamba Ukraine inapata msaada wa Silaha kutoka nchi za Magharibi, lakini wakumbuke kuwa Silaha bila Molare ya vita lazima ushindwe. Licha ya kupewa silaha za kutosha na mafunzo kede wa kede, Serikali ya Ashraf Ghan wa Afghanistan iliangushwa na Wapiganaji wa Taaliban masaa 48 tu baada ya Wanajeshi wa Marekani kuondolewa nchini humo.

NB
Kama kushinda vita ni kufikia malengo ya Vita, basi Urusi na Israel wameshindwa Vita kwa Mkitadha huo.
 
Tukienda kwa Mkitadha huo basi na Urusi imeshindwa vita dhidi ya Ukraine. Kwasababu zifuatazo:

Malengo makuu ya Urusi kuivamia Ukraine yalikuwa yafuatayo;
(i) Kuondoa wanazi ambao wanatawala pale Ukraine(Denazification)
(ii) Kuharibu Silaha zote za Ukraine na kuifanya Ukraine isiwe na uwezo tena kijeshi(Demilitarization)
(iii) Kuyakomboa majimbo yote matatu(Dotnesk, Luhansk na Kherson) kutoka kwenye utawala wa Ukraine.

Matokeo yake
(i) Lengo la kwanza la kuwaondoa wanazi pale Ukraine limefeli. Kwanini? Mwanzo wa Vita Putin na Waziri wake wa Mambo ya nje Sergei Lavrov waliweka wazi kwamba Ukraine inatawaliwa na Wanazi ambao wanachochea mauaji ya watu wanaozungumza Kirusi kule mashariki mwa Ukraine, hapa maana yake kuanzia Rais Zelensk, na Mawaziri wake walio wengi ni Manazi ambao wanatakiwa kuuawa au kuondolewa madarakani. Mpaka leo sote ni mashahidi, huu ni mwaka wa pili, hakuna kiongozi yoyote yule wa ngazi za juu wa Ukraine ambaye alishauawa hasa viongozi wa kisiasa. Kwahiyo lengo la kuwaondoa Manazi kwa mjibu wa Putin nalo limefeli pakubwa make ndio kwanza kabisa Warusi wanachukiwa zaidi nchini Ukraine na hata nchi jirani za Baltics(Estonia, Latvia na Lithuania) kuliko kabla ya vita hivyo.

(ii) Lengo la Pili la Kuharibu uwezo wa kijeshi wa Ukrane limefeli tena sana. Mwanzo wa vita Urusi iliweka ushahidi wa maneno na madai lukuki kwamba Ukraine inatumiwa na nchi za Magharibi kwa maandalizi ya kuivamia Urusi kupitia jimbo la Crimea. Wakati huo, Ukraine ilikuwa haijawhi kurusha hata jiwe moja kuelekea nchini Urusi. Sasa leo hii mwaka wa pili wa oparesheni ya kuharibu uwezo wa kijeshi wa Ukraine tunashuhudia Ukraine ikipata uwezo wa Kijeshi wa Kurusha ndege zisizo na rubani mpaka sio tu mji mkuu wa Moscow bali mpaka kwenye makazi ya rais wa Urus pale Kremlin. Tumeshuhudia manowari ya kijeshi(Flagship) ya Urusi kwa jina MOSKVA ikizamishwa na makombora ya NEPTUNE ya Ukraine. Je, Is Ukraine Stronger or weak after the War?

(iii) Lengo la tatu la Kuyateka majimbo matatu ya Ukraine nalo limefanikiwa kisiasa lakini kijeshi bado kabisa. Ukweli ni kwamba, mpaka tunavyozungumza hivi sasa, Urusi imefanikiwa kuteka vipande tu vya majimbo yafuatayo kule mashariki na kusini mwa Ukraine, kwenye mabano ni % ya eneo lilotekwa na Urusi kwenye jimbo husika.
-Kharkiv(12%)
-Dotnesk (70%)
-Luhansk(85%)
-Kherson(60%)
-Zhaporizhia(40%)

Majimbo ya Dotnesk la Luhansk hata kabla ya vita tayari yalikuwa yanatawaliwa na waasi wa DPR na LPR ambao wanaungwa mkono na Urusi. Licha ya Urusi kutoyadhibiti majimbo hayo kijeshi kwa 100% basi iliamua kujichukulia ushindi wa kisiasa zaidi ya kuamlu upigaji wa kura ya maoni wa vipande vya majimbo hayo kujiunga na Urusi. Ikumbukwe kuwa miji mikuu ya majimbo hayo iko chini ya udhibiti wa Ukraine mpaka sasa.

Mwisho

Licha ya wengi kuwa na madai kwamba Ukraine inapata msaada wa Silaha kutoka nchi za Magharibi, lakini wakumbuke kuwa Silaha bila Molare ya vita lazima ushindwe. Licha ya kupewa silaha za kutosha na mafunzo kede wa kede, Serikali ya Ashraf Ghan wa Afghanistan iliangushwa na Wapiganaji wa Taaliban masaa 48 tu baada ya Wanajeshi wa Marekani kuondolewa nchini humo.

NB
Kama kushinda vita ni kufikia malengo ya Vita, basi Urusi na Israel wameshindwa Vita kwa Mkitadha huo.
Wanazi wameondolewa kwenye maeneo yaliyochukuliwa na Russia kwenye maeneo ya watu wa jamii ya warusi, demilitarisation imefanikiwa kwa sababu Ukraine sasa hivi hawezi kufanya chochote bila misaada ya NATO.Maeneo yaliyobaki operation inaendelea na maeneo yanaendelea kuchukua mfano adviika.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Mmoja ya wanasiasa machachari wa Marekani na aliyekuwa mshauri wa mambo ya ulinzi wa raisi Donald Trump, John Bolton amesema katika vita vinavyoendelea Israel imeshindwa na Hamas.

Katika makala yake iliyochapishwa juzi kwenye gazeti la Telegraph, Bolton amesema usitishwaji wa vita wa siku nne utatumiwa vyema na Hamas kuweza kujipanga na kubadili mpangilio wake wa matumizi ya mahandaki ili kuweza kuingia vitani kwa kasi kwa mara nyengine na Israel.

Japo Bolton amekuwa muwazi kwa kutoa maoni yake yanayoendana na baadhi ya viongozi wa Kiyahudi, hata hvyo imeelezwa kuwa hajafahamu kuwa Benjamin Netanyahu amelazimika kufanya makubaliano hayo kutokana na hasara kubwa jeshi la IDF iliyopata katika uwanja wa mapigano huko Gaza.

Why Bolton Believes that Hamas is Winning – ANALYSIS

USA ndo wamewaingiza cha kike kuwaaminisha kwa wanastahili wanachofanya kwa gia ya kulipiza kisasi
 
Mmoja ya wanasiasa machachari wa Marekani na aliyekuwa mshauri wa mambo ya ulinzi wa raisi Donald Trump, John Bolton amesema katika vita vinavyoendelea Israel imeshindwa na Hamas.

Katika makala yake iliyochapishwa juzi kwenye gazeti la Telegraph, Bolton amesema usitishwaji wa vita wa siku nne utatumiwa vyema na Hamas kuweza kujipanga na kubadili mpangilio wake wa matumizi ya mahandaki ili kuweza kuingia vitani kwa kasi kwa mara nyengine na Israel.

Japo Bolton amekuwa muwazi kwa kutoa maoni yake yanayoendana na baadhi ya viongozi wa Kiyahudi, hata hvyo imeelezwa kuwa hajafahamu kuwa Benjamin Netanyahu amelazimika kufanya makubaliano hayo kutokana na hasara kubwa jeshi la IDF iliyopata katika uwanja wa mapigano huko Gaza.

Why Bolton Believes that Hamas is Winning – ANALYSIS

Wewe unaona yuko sahihi? Aliyeshindwa vita anaingia ndani ya nchi na kukalia kiti maeneo?
 
CHUKI zinaongezeka...
Misimamo ya dola ya nchi mbalimbali ndiyo, misimamo ya raia wengi wa kawaida..?
Screenshot_2023-11-27-16-41-58-21_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Tukienda kwa Mkitadha huo basi na Urusi imeshindwa vita dhidi ya Ukraine. Kwasababu zifuatazo:

Malengo makuu ya Urusi kuivamia Ukraine yalikuwa yafuatayo;
(i) Kuondoa wanazi ambao wanatawala pale Ukraine(Denazification)
(ii) Kuharibu Silaha zote za Ukraine na kuifanya Ukraine isiwe na uwezo tena kijeshi(Demilitarization)
(iii) Kuyakomboa majimbo yote matatu(Dotnesk, Luhansk na Kherson) kutoka kwenye utawala wa Ukraine.

Matokeo yake
(i) Lengo la kwanza la kuwaondoa wanazi pale Ukraine limefeli. Kwanini? Mwanzo wa Vita Putin na Waziri wake wa Mambo ya nje Sergei Lavrov waliweka wazi kwamba Ukraine inatawaliwa na Wanazi ambao wanachochea mauaji ya watu wanaozungumza Kirusi kule mashariki mwa Ukraine, hapa maana yake kuanzia Rais Zelensk, na Mawaziri wake walio wengi ni Manazi ambao wanatakiwa kuuawa au kuondolewa madarakani. Mpaka leo sote ni mashahidi, huu ni mwaka wa pili, hakuna kiongozi yoyote yule wa ngazi za juu wa Ukraine ambaye alishauawa hasa viongozi wa kisiasa. Kwahiyo lengo la kuwaondoa Manazi kwa mjibu wa Putin nalo limefeli pakubwa make ndio kwanza kabisa Warusi wanachukiwa zaidi nchini Ukraine na hata nchi jirani za Baltics(Estonia, Latvia na Lithuania) kuliko kabla ya vita hivyo.

(ii) Lengo la Pili la Kuharibu uwezo wa kijeshi wa Ukrane limefeli tena sana. Mwanzo wa vita Urusi iliweka ushahidi wa maneno na madai lukuki kwamba Ukraine inatumiwa na nchi za Magharibi kwa maandalizi ya kuivamia Urusi kupitia jimbo la Crimea. Wakati huo, Ukraine ilikuwa haijawhi kurusha hata jiwe moja kuelekea nchini Urusi. Sasa leo hii mwaka wa pili wa oparesheni ya kuharibu uwezo wa kijeshi wa Ukraine tunashuhudia Ukraine ikipata uwezo wa Kijeshi wa Kurusha ndege zisizo na rubani mpaka sio tu mji mkuu wa Moscow bali mpaka kwenye makazi ya rais wa Urus pale Kremlin. Tumeshuhudia manowari ya kijeshi(Flagship) ya Urusi kwa jina MOSKVA ikizamishwa na makombora ya NEPTUNE ya Ukraine. Je, Is Ukraine Stronger or weak after the War?

(iii) Lengo la tatu la Kuyateka majimbo matatu ya Ukraine nalo limefanikiwa kisiasa lakini kijeshi bado kabisa. Ukweli ni kwamba, mpaka tunavyozungumza hivi sasa, Urusi imefanikiwa kuteka vipande tu vya majimbo yafuatayo kule mashariki na kusini mwa Ukraine, kwenye mabano ni % ya eneo lilotekwa na Urusi kwenye jimbo husika.
-Kharkiv(12%)
-Dotnesk (70%)
-Luhansk(85%)
-Kherson(60%)
-Zhaporizhia(40%)

Majimbo ya Dotnesk la Luhansk hata kabla ya vita tayari yalikuwa yanatawaliwa na waasi wa DPR na LPR ambao wanaungwa mkono na Urusi. Licha ya Urusi kutoyadhibiti majimbo hayo kijeshi kwa 100% basi iliamua kujichukulia ushindi wa kisiasa zaidi ya kuamlu upigaji wa kura ya maoni wa vipande vya majimbo hayo kujiunga na Urusi. Ikumbukwe kuwa miji mikuu ya majimbo hayo iko chini ya udhibiti wa Ukraine mpaka sasa.

Mwisho

Licha ya wengi kuwa na madai kwamba Ukraine inapata msaada wa Silaha kutoka nchi za Magharibi, lakini wakumbuke kuwa Silaha bila Molare ya vita lazima ushindwe. Licha ya kupewa silaha za kutosha na mafunzo kede wa kede, Serikali ya Ashraf Ghan wa Afghanistan iliangushwa na Wapiganaji wa Taaliban masaa 48 tu baada ya Wanajeshi wa Marekani kuondolewa nchini humo.

NB
Kama kushinda vita ni kufikia malengo ya Vita, basi Urusi na Israel wameshindwa Vita kwa Mkitadha huo.
Hii ya urusi umeandika uwongo mtupu.
 
Back
Top Bottom