secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 18,905
- 37,527
Sasa nimeelewa.Miguu si ndio inakufanya uzurure.
Sasa nimeelewa.Miguu si ndio inakufanya uzurure.
Kweli umri umenitupa mkono sasa nakosa fursa ya kazinyie mkiwekwa dukani mnakuwa wezi kichizi mnafidia muda wenu mlio poteza hamfati kanuni za ofisi.
🥹I see u 😎
Kwa mfano ukiwekwa kwenye duka la vyakula utataka ulipwe beigani kwa mwezi.duka la jumla na rejarejaInategemeana umekutana na nani sio wote matapeli kuna vijana ni waaminifu na ni wakubwa zaidi ya miaka 20 usisemee wote kuna wachache waaminifu bado wapo nikiwemo mimi
wewe inabidi uanzishe cha kwako kuepuka mikwaruzano nawatuKweli umri umenitupa mkono sasa nakosa fursa ya kazi
kazi kwako sasaOoh, vizuri tajeer.
Sawa tajeer.🙏kazi kwako sasa
Ili muwatapelidukani sasa hivi tunaweka vijana wadogo wakubwa matapeli
Noma sana,watu wanakwenda na muda😂Ili muwatapeli
hapana sasa hivi mjini mtu akiwa na miaka 21 kwenda juu huyo nimtafutaji mwenzako na wengine washajipata kabisa kwahio ni ngumu kufanya nao kaziIli muwatapeli
Unaonaje ukawa na watoto wengi then ukawaajiri ww mwnyw kwako hapo?hapana sasa hivi mjini mtu akiwa na miaka 21 kwenda juu huyo nimtafutaji mwenzako na wengine washajipata kabisa kwahio ni ngumu kufanya nao kazi
sijakuelewa point yako niipiUnaonaje ukawa na watoto wengi then ukawaajiri ww mwnyw kwako hapo?
Ila watu wa roho ngumu sana aisee, miaka 25 kibongo Bongo huyu bado n mwanafunzi.Noma sana,watu wanakwenda na muda😂
Jf kama editing ina apply it's okMkuu Mitaa Pacha wake Connection Bila Hivyo Hatua Kisoda
Kasema wakubwa wezi🥹,labda mshahara pia ni mdogo,mshahara uwe wa maana mtu hawezi kuiba.Ila watu wa roho ngumu sana aisee, miaka 25 kibongo Bongo huyu bado n mwanafunzi.
Huyu jamaa hataki wafanyakazi, anataka cheap/forced labors
hao wakaajiriwe serikalini kama wamesoma au wawe na fani lakini madukani kwawatu hawatakiwiIla watu wa roho ngumu sana aisee, miaka 25 kibongo Bongo huyu bado n mwanafunzi.
Huyu jamaa hataki wafanyakazi, anataka cheap/forced labors
Kwahy akifikisha miaka 21 unamfukuza?hao wakaajiriwe serikalini kama wamesoma au wawe na fani lakini madukani kwawatu hawatakiwi
Nipe mie hiyo KAZI ya duka,kikubwa daftari liwepo😂hao wakaajiriwe serikalini kama wamesoma au wawe na fani lakini madukani kwawatu hawatakiwi
Sasa mtu nzima uumlipe laki, afu asikuibie 😂Kasema wakubwa wezi🥹,labda mshahara pia ni mdogo,mshahara uwe wa maana mtu hawezi kuiba.