aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 1,170
- 1,930
lakini jioni nitahitaji pesa ya nyama ikiwa kamiliSasa huko mgahawani nitaishia kudokoa nyama😂
lakini jioni nitahitaji pesa ya nyama ikiwa kamiliSasa huko mgahawani nitaishia kudokoa nyama😂
Hutokuwa na la kunifanya mana hadi ww ntakuiba au ntakuacha na maumivu ambayo hutowez hata kufungua macho 😂wewe unahisi ukiniibia nitakufanya nini?
dogo unajidanganya wewe.tena nyie ndio nawatakaHutokuwa na la kunifanya mana hadi ww ntakuiba au ntakuacha na maumivu ambayo hutowez hata kufungua macho 😂
Ww jamaa unanichekesha sana 😂kazi za dukani ni ngumu sana.
Naomba kazi brodogo unajidanganya wewe.tena nyie ndio nawataka
fungua ofisi yako tu mana nitakupeleka pabayaNaomba kazi bro
Nmekuambia ntakuacha ww mwnyw ukiwa hujiwez hvy hutoweza kunifanya vibayafungua ofisi yako tu mana nitakupeleka pabaya
sawa lakini mimi nawewe hatutoonana utajieleza kwawatu usio wajuaNmekuambia ntakuacha ww mwnyw ukiwa hujiwez hvy hutoweza kunifanya vibaya
"funua ka-lio wahuni wakukadirie"Uzi Maalumu kwa Majobless Wenzangu,
Hapa Nishapiga Zangu Ugali Wa Shikamoo Nipo Nimenyoosha zangu Miguu Juu Nasubili Dinner
Duniani Tunapita Unatafutaje Vitu njiani
wewe inabidi uanzishe cha kwako kuepuka ila
Ila tumekuelewa wewe ni wale wafanya biashara wadogo hiyo kweli unatakiwa upate mtoto au msukule kwa sababu ya maslahi dunihapana sasa hivi mjini mtu akiwa na miaka 21 kwenda juu huyo nimtafutaji mwenzako na wengine washajipata kabisa kwahio ni ngumu kufanya nao kazi
Daaah😂, tajeer nyama haihesabiwi,lakini jioni nitahitaji pesa ya nyama ikiwa kamili
😀😀😀 Daah Yaani Una Jeuri Hadi kwa anaetaka Kukutoa kwenye chama cha MajoblessHutokuwa na la kunifanya mana hadi ww ntakuiba au ntakuacha na maumivu ambayo hutowez hata kufungua macho 😂
Mkuu Kwani kuludisha mpira kwa kipa ni kinyume cha sheria?Kuna mjinga mwenzenu ni mwanaume ana miaka 37 kazalisha watoto huko nje halafu kawasomba karudi nao nyumbani kwao yeye na watoto wake wanaishi humo kwa mama ake.
Na kazi hataki.
Akili mavi za vijana wajinga wanaoelekea uzeeni bila mipango imara.
Hawez kunitoa kwenye ujobless mana yeye anataka forced/cheap labors😀😀😀 Daah Yaani Una Jeuri Hadi kwa anaetaka Kukutoa kwenye chama cha Majobless
Hamna Mwanaume mwenye afya timamu ya akili alafu amwambie mwanaume mwenzie afunue kalio😀"funua ka-lio wahuni wakukadirie"
~Somadian Nunez
Mkuu Ni vyema kutoa ajira kwa vijana kama una nafasi ya kufanya hivyo,pia kigezo chako cha umri si kibaya ila nakukumbusha tu Wizi ni Tabia ya Mtu haijalishi ana miaka chini 18 au zaidi ya 18fungua ofisi yako tu mana nitakupeleka pabaya
Wajuaji Jau Sana😀 Wangekua wana maana kama wangekua wanatoa kazi sio manenoHalafu wakati huo ana uwezo mzuri tu wa kukutafutia kazi. Sema anafurahia unavoteseka 😅