aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 1,147
- 1,886
lakini jioni nitahitaji pesa ya nyama ikiwa kamiliSasa huko mgahawani nitaishia kudokoa nyama😂
lakini jioni nitahitaji pesa ya nyama ikiwa kamiliSasa huko mgahawani nitaishia kudokoa nyama😂
Hutokuwa na la kunifanya mana hadi ww ntakuiba au ntakuacha na maumivu ambayo hutowez hata kufungua macho 😂wewe unahisi ukiniibia nitakufanya nini?
dogo unajidanganya wewe.tena nyie ndio nawatakaHutokuwa na la kunifanya mana hadi ww ntakuiba au ntakuacha na maumivu ambayo hutowez hata kufungua macho 😂
Ww jamaa unanichekesha sana 😂kazi za dukani ni ngumu sana.
Naomba kazi brodogo unajidanganya wewe.tena nyie ndio nawataka
fungua ofisi yako tu mana nitakupeleka pabayaNaomba kazi bro
Nmekuambia ntakuacha ww mwnyw ukiwa hujiwez hvy hutoweza kunifanya vibayafungua ofisi yako tu mana nitakupeleka pabaya
sawa lakini mimi nawewe hatutoonana utajieleza kwawatu usio wajuaNmekuambia ntakuacha ww mwnyw ukiwa hujiwez hvy hutoweza kunifanya vibaya
"funua ka-lio wahuni wakukadirie"Uzi Maalumu kwa Majobless Wenzangu,
Hapa Nishapiga Zangu Ugali Wa Shikamoo Nipo Nimenyoosha zangu Miguu Juu Nasubili Dinner
Duniani Tunapita Unatafutaje Vitu njiani
wewe inabidi uanzishe cha kwako kuepuka ila
Ila tumekuelewa wewe ni wale wafanya biashara wadogo hiyo kweli unatakiwa upate mtoto au msukule kwa sababu ya maslahi dunihapana sasa hivi mjini mtu akiwa na miaka 21 kwenda juu huyo nimtafutaji mwenzako na wengine washajipata kabisa kwahio ni ngumu kufanya nao kazi
Daaah😂, tajeer nyama haihesabiwi,lakini jioni nitahitaji pesa ya nyama ikiwa kamili