aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 1,149
- 1,887
wewe unahisi ukiniibia nitakufanya nini?Hii n nn umeandika mzee?
wewe unahisi ukiniibia nitakufanya nini?Hii n nn umeandika mzee?
Daaah tajeer una masharti😂,siwezi kuweka kamera mana sitaifuatilia.
mwanamke hafai duka la vyakula utaweza kubeba gunia la maharage 😁
biashara za sasa hivi ukiiba umejiibia wewe mana kuna mikataba.
kazi za dukani ni ngumu sana.Daaah tajeer una masharti😂,
Hutaki mwanamke tena🥹,
Ugumu wake Nini Sasa,?kazi za dukani ni ngumu sana.
kubeba beba vitu ndio itakuwa kazi yako kila siku na hutakiwi kuwa mvivu.kufungua saa moja kufunga saa nne usikuUgumu wake Nini Sasa,?
Hiyo mbona nyepesi,kubeba vi juisi na sabuni.kubeba beba vitu ndio itakuwa kazi yako kila siku na hutakiwi kuwa mvivu.kufungua saa moja kufunga saa nne usiku
viroba vya unga na magunia ya mchele na maharageHiyo mbona nyepesi,kubeba vi juisi na sabuni.
Mshahara nataja mwenyewe.viroba vya unga na magunia ya mchele na maharage
utataka bei gani?Mshahara nataja mwenyewe.
Nataja kiasi nikitakacho,,sio mambo ya elfu 70-unataka mwenyewe kivipi
niambie sasa utataka beiganiNataja kiasi nikitakacho,,sio mambo ya elfu 70-
500k.niambie sasa utataka beigani
😁😁laki tano uongo ndio maana nikasema madogo ndio nafuu laki na nusu anapiga kazi balaa500k.
Halafu wakati huo ana uwezo mzuri tu wa kukutafutia kazi. Sema anafurahia unavoteseka 😅Alafu Unakuta anae kushauri Kutafuta kazi anakupa Maneno tu Hakupi kazi😀
ndiomana nikasema wewe uuze mgahawa tu utapiga hela
Unataka uwe tajirti kupitia mali za watu, kula 70 hiyo 😂
Sasa huko mgahawani nitaishia kudokoa nyama😂ndiomana nikasema wewe uuze mgahawa tu utapiga hela