Jobless experience

Jobless experience

U jobless ni mbaya sana sana hasa ukiwa huna pa kuegemea

Nyumbn napo wanasubiri uwaambie umepata kazi wakati huna kazi

Wengine nyumbn kuko vzr wazazi wenye choyo kutwa masimango hatare sana

Nikalale
Hatari Sana Kaka Ni kuishi kama Panya kuvia tu mda wa msosi
 
Hamna Mwanaume mwenye afya timamu ya akili alafu amwambie mwanaume mwenzie afunue kalio😀
Au na Wewe ni Wa Dar maana ndo mbanga zenu,Kanda ya ziwa sio mikato yetu hiyo
sasa mtoto wa kiume utajiitaje Jobless? unataka wahuni wakukadirie ama vp?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom