Huyo kama ni mkufunzi wa jkt basi nchi imejaa majambazi na vibaka tena wauaji wakubwa. Ana majibu kama ya kima.
ww unafikir huyo mwanao akifa mafunzon hivi unafikir ataleta hasara yoyote kwa taifa hili?
Huyo kama ni mkufunzi wa jkt basi nchi imejaa majambazi na vibaka tena wauaji wakubwa. Ana majibu kama ya kima.
kwan huyo aliyekufa ni nani? Na ana umuhimu gani kwenye hii nchi? Kama alikuwa mzembe na legelege halali kufa
huyu aliyekufa ni sawa na wengne wanavyokufa hvyo haina haja ya kuanza kutoa ujinga kama huu unaotoka kichwan mwako.
Tambua mtu yeyote aliyingia jeshini ni maiti inayotembea mda na wakat wowote anakufa
ww unafikir huyo mwanao akifa mafunzon hivi unafikir ataleta hasara yoyote kwa taifa hili?
hivi hao wanaookufa vitani si walijiunga wenyewe na jeshi?kwa hiyari yao?
yaani wewe...we ni binadamu wewe?we unajua uchungu wa mimba?unajua uchungu wa kuzaa wewe?unajua uchungu wa kusomesha wewe?unajua uchungu wa kulea wewe?hivi unajua kwa nink MUNGU aliumba kusahau?sijapata kuona mtu mweny roho ya kinyama km wewe...MUNGU akujalie utakapozaa mtoto wako akifikia kujitegemea afe tena sio mmoja wote!tena wafe mwa uzembe uzembe tu maana pata picha ndg wa karibu na marehemu wakosoma mineno yako watajisikiae.
Mkuu ujue unabishana na mgonjwa wa akili? Pitia mabandiko yake utagundua. Tumpe pole tu hajui alinenalo.
yaani wewe...we ni binadamu wewe?we unajua uchungu wa mimba?unajua uchungu wa kuzaa wewe?unajua uchungu wa kusomesha wewe?unajua uchungu wa kulea wewe?hivi unajua kwa nink MUNGU aliumba kusahau?sijapata kuona mtu mweny roho ya kinyama km wewe...MUNGU akujalie utakapozaa mtoto wako akifikia kujitegemea afe tena sio mmoja wote!tena wafe mwa uzembe uzembe tu maana pata picha ndg wa karibu na marehemu wakosoma mineno yako watajisikiae.
Ndugu yangu busara zakawaida tu zinatufanya tusikitike juu ya msiba wowote haswa ule wenye utata. Ni rahisi kusema hivyo ila naamini ungekuwa umeambiwa ni ndugu yako usingesema kama ulivyosema hapo juu,na huu ni ubinafsi wa binadamu wengi sana. Anyway tuwaombee waliopo jkt wamalize hayo mafunzo yao kwa amani.
huna hoja yoyote ya maana, kuzungumzia mateso na mauaji ndio kukashifu jeshi? hao wanajeshi wanaoenda vitani hiyo ni kazi yao na hakuna mtu yoyote aliewalazimisha kuwa wanajeshi. kama unaona huwezi vita acha jeshi.
Nyie acheni tu,
Binti yangu yuko huko, toka aende nikama na mimi nimekuwa kumfuzd.
Akili haipo kabisa;
God be with all of them.
hayo maneno yako yakurudie mwenyew na familia yako.
Kwan kuna mtu aliyeteuliwa kuwa huyu ndio wa kuifia nchi na asiye wakuifia nchi.
Mngewahi kusonga mbele vitan siku moja au mngeona vita nadhan msingekuwa mnalaumu kiasi hcho.
Ujue vifo hutokea popote hata hapo ulipokaa kifo kinaweza kukutokea sasa kwann mlaumu Jkt kuwa wanauwa watoto wenu?
Uchungu anaoupata huyu aliyefiwa na mtoto ni sawa na aliyefiwa na mme wake baba yake au ndg yake akiwa vitan .
Ww hapo ulipo unakula unalala unafanya biashara zako na unakusanya pesa ila hujui kuwa usalama ulionao wa kufanya yote hayo umeletwa na watu ambao nao ni watoto wa watu.
Acha ujinga ww . Kifo jeshini ni matokeo ya mafunzo.
Ukamanda haupatkan kwa kuchezea kompyuta na kullaumu utumbo kama wako ukamanda lazma umwage jasho na damu pamoja na machozi.
Jeshi lina taratibu zake; vifo ni vingi katika training za jeshi we frahi kulala usingiz mzito kwako; wenzio wanalaza pumbu kwenye mabaka wanakulina. Hawa JKT hasa F6 no vimazoez vya mwl tu wanapewa maana ni mananga. We unataka vifo kambini vitangazwe kama vya barabarani.??? Atakayefika mwisho wa program ndo atakuwa ameiva.
tulia ww mtoto wa kike acha kulalamika wakat wanaume wapo kazn. Ww lala tu na wanawake wenzio nyumban wanaume wanawalinda mnaleta malingalinga hapa
kwani hiyo we unahisi maneno uliyoyatamka uko sahihi nakwambia wewe ujarbu kuona uchungu wa kifo mitoto yako yote ife jtu lina roho mbaya hao wanajeshi si ndo kazi yao na kila mtu anafanya kazi yake hao wanafunzi wanalazimishwa yani we km ndo mwanajeshi kwani ulifuatwa na karandinga ukajiunge?mwwnaume una roho mbaya kama umeokotwa vile nawaonea huruma wazazi wako hasa mama maana angejua anazaa gaidi angekubana ufe.
Siyo kosa lako bali ni kosa la mama yako na dada yako waliozowea kulala wakilindwa na wanaume walio kazini na ndiyo maana ukazaliwa huko walikolala na mpaka leo uko huko. Komaa hivyohivyo huenda na wewe ukazalishwa na wanaume wanaokulinda kama alivyozalishwa mama yako na dada yako pia. Teh teh teh.
aise! Hapa huongei na mama wala dada ila unaongea na mm.
Hakuna mwanaume aliyemwoga kama ww mwanaume mzma umekalia kulia tu.
Ipo siku utawavulia nguo wanaume wakufanye watakacho.
Nimekuhisi ww lazma sio rizik ww