Mkuu hebu nisaidie kushangaa..Wenyewe wamekubali halafu kuna watu humu wanatumia nguvu nyiiingi kukanusha
Mkuu mimi nilizowea kuona ukosefu wa chain of command kwa taasisi za kisiasa kama vile bunge la jmt, wizara ya elimu, wizara ya nishati na madini, nk nk lakini sasa nimestaajabu kuona hata jeshi linakosa chain of command na kutumia gang plunk method pasipofaa. Mathalani Luten kanali ambaye ni msemaji wa jeshi kakubali kifo kimetokea lakini hapohapo kuna ka lance corporal sijui ka private humu jf kamekomaa kama jiwe eti oo hakuna kifo, kweli tutaliaminije jeshi huko tuendako? Majonzi makubwa, apumzike kwa amani dada yetu mpendwa Honoratha Oiso, aameen.