Wewe hebu kuwa na utu japo kidogo. Aliyefariki dunia ni binadamu mwenzetu wala si vinginevyo. Nahuzunika kwa mazingira ya kifo chake kilivyotokea. Mungu akujalie usijefiwa na nduguyo hata mmoja.
Mkuu nakupa pole ya kifo cha huyo ndugu/rafiki/shemeji/mchumba wako. Kifo kinatokea ktk mazingira yeyote. Kama ni uzembe urekebishwe lakini chuki na uwoga wa baadhi yetu isiwe sababu ya kulitungia Jeshi letu habari za uwongo!