JKT wakanusha kutokea vifo katika mafunzo

JKT wakanusha kutokea vifo katika mafunzo

kama hawana ukakamavu na nidhamu ndio mnawatesa?

Unata kuishi umejilegeza? Mentality ya aina hii utatea vijana wa kiume kuolewa na wanaume wenzao! Push up kidogo,mchaka mchaka na parade laini hamwezi alafu mnajiita vijana?! Ni haki kabisa hata wake zenu wakichepuka kwasababu hamna nguvu!
 
samahan mkuu naona akili yako kama immekula kinyesi fulani eti unasema ninasema maneno ya uzushi..ili iweje??yanisaidie nin?? nalipwa hapa?? msemaji wa jeshi keshakiri kutokea kwa kifo na jina umetajiwa sasa unataka nin? hebu kaa pembeni usiniharibie swaumu yangu ...wenye akili washajua kuwa unatetea ujinga may be utakuwa na mume kule kambini na ndio mtesaji wa watoto....get off my site idiot

Unafikiri sijui kutukana eeeh! Ngoja kwanza nikuweke kiporo afu nikiropoka sidhani km utarudi kuniambia huo utumbo.
 
Unafikiri sijui kutukana eeeh! Ngoja kwanza nikuweke kiporo afu nikiropoka sidhani km utarudi kuniambia huo utumbo.

nyie makoplo mna mikwara mbuzi sana.. halafu wanajeshi ni waoga sana.. akidundwa mwanajeshi mmoja yanaenda kuchukuana kambi nzima kwenda kumsaidia..
 
"Taarifa zilizosambazwa ni uzushi, hakuna vifo vya vijana watatu vilivyotokana na ukatili katika kambi ya JKT Oljoro. Ukweli ni kwamba amefariki kijana mmoja anayeitwa Honorata Oiso," Kanali Komba aliwaambia waandishi wa habari jana.
jina la aliefariki ni hilo, kwenye maandishi mekundu kwa mujibu wa taarifa za jeshi hilo!!
 
Nyie acheni tu,
Binti yangu yuko huko, toka aende nikama na mimi nimekuwa kumfuzd.
Akili haipo kabisa;

God be with all of them.


Nadhani unapoona threads kama hizi za jkt unaishiwa nguvu haswa ukimfikiria Binti yako. .
Endelea kumwombea tu
 
nyie makoplo mna mikwara mbuzi sana.. halafu wanajeshi ni waoga sana.. akidundwa mwanajeshi mmoja yanaenda kuchukuana kambi nzima kwenda kumsaidia..

Mburula wa habari utamjua tu. Huo u koplo alinipa mama yako siku nilipomfanya tigo yake vizuri.
 
kifo kipo mahali popote..................Ni kawaida tu.........................

Ndugu yangu busara zakawaida tu zinatufanya tusikitike juu ya msiba wowote haswa ule wenye utata. Ni rahisi kusema hivyo ila naamini ungekuwa umeambiwa ni ndugu yako usingesema kama ulivyosema hapo juu,na huu ni ubinafsi wa binadamu wengi sana. Anyway tuwaombee waliopo jkt wamalize hayo mafunzo yao kwa amani.
 
Mkuu mimi nilizowea kuona ukosefu wa chain of command kwa taasisi za kisiasa kama vile bunge la jmt, wizara ya elimu, wizara ya nishati na madini, nk nk lakini sasa nimestaajabu kuona hata jeshi linakosa chain of command na kutumia gang plunk method pasipofaa. Mathalani Luten kanali ambaye ni msemaji wa jeshi kakubali kifo kimetokea lakini hapohapo kuna ka lance corporal sijui ka private humu jf kamekomaa kama jiwe eti oo hakuna kifo, kweli tutaliaminije jeshi huko tuendako? Majonzi makubwa, apumzike kwa amani dada yetu mpendwa Honoratha Oiso, aameen.

kwan huyo aliyekufa ni nani? Na ana umuhimu gani kwenye hii nchi? Kama alikuwa mzembe na legelege halali kufa
 
Unata kuishi umejilegeza? Mentality ya aina hii utatea vijana wa kiume kuolewa na wanaume wenzao! Push up kidogo,mchaka mchaka na parade laini hamwezi alafu mnajiita vijana?! Ni haki kabisa hata wake zenu wakichepuka kwasababu hamna nguvu!

Acha hoja dhaifu ndugu yangu,kila kitu kina utaratibu wake na madhara ya vifo hayawezi kujibiwa na hoja nyepesi namna hii ndugu yangu.
 
kwan huyo aliyekufa ni nani? Na ana umuhimu gani kwenye hii nchi? Kama alikuwa mzembe na legelege halali kufa

Hakika comment ya namna hii haina hata chembe ya utu,ubinadamu na busara. Ni nani kwenye dunia hii achiliambali nchi hii mwenye thamani kubwa kuliko mwingine?
Hivi angekuwa mwanao kwamfano kafariki huko jkt na mmoja kati ya waliokuja kukufariji kwenye msiba akatamka kuwa "kwani aliyekufa alikuwa na umuhimu gani hapa nchini,kama alikuwa legelege halali kufa" je ungejiskiaje? Na ungefanyaje baada ya hapo?
Ndugu zangu tuwe na ubinadamu na mambo ya msingi tuache ubinafsi na utani mbali kabisa hasa pale yanapohusu maisha ya mtu. TUJIFUNZE KUVAA UHUSIKA WA MATUKIO KABLA YA KUTOA MAWAZO YETU KWENYE MADA ZA MSINGI.
 
Hakika comment ya namna hii haina hata chembe ya utu,ubinadamu na busara. Ni nani kwenye dunia hii achiliambali nchi hii mwenye thamani kubwa kuliko mwingine?
Hivi angekuwa mwanao kwamfano kafariki huko jkt na mmoja kati ya waliokuja kukufariji kwenye msiba akatamka kuwa "kwani aliyekufa alikuwa na umuhimu gani hapa nchini,kama alikuwa legelege halali kufa" je ungejiskiaje? Na ungefanyaje baada ya hapo?
Ndugu zangu tuwe na ubinadamu na mambo ya msingi tuache ubinafsi na utani mbali kabisa hasa pale yanapohusu maisha ya mtu. TUJIFUNZE KUVAA UHUSIKA WA MATUKIO KABLA YA KUTOA MAWAZO YETU KWENYE MADA ZA MSINGI.

nyinyi mnakera na malalamiko yenu. Kuna watu hawalali usiku kucha wanahangaikia aman na utulivu wa nchi hii lakn hamuwazungumzii, kuna watu mpaka leo hii ni vilema kwasababu ya kuipigania aman na usalama wa nchi hii lakn mnawaona hawana maana , kuna watu wamepoteza maisha na wameacha mayatima majumban ktk harakat za kuipigania aman na usalama wa nchi hiii lakn mmewasahau badala yake mnakuja kulalamika kwa mwanafunzi aliyefia mafunzon mnasema wanateswa.
Hivi mnaakili kweli nyinyi?
Watu wamewapoteza wazazi ndg jamaa na wapendwa wao ktk vita ya kuitetea nchi hii lakn hawajalalamika lkn leo nyinyi mnaleta milolongo ya malumbano kisa mwanafunz aliyefia mafinzo. Inamaana huyo mwanafunzi ndiye alikuwa muhim zaidi ya askari wote waliofia vitan?
Acheni ujinga hizo kauli zenu ztaipeleka hii nchi pabaya.
Mnakaa kwenye keyboard na kuandika maneno yaha sababu ya aman iliyohifadhiwa na hili jeshi mnaiwasema wanamateso.
Acheni kukashifu jeshi.
Ipo siku mtakuja kuujua umuhimu wa hawa mnawao wakashifu leo hii.
 
Acha hoja dhaifu ndugu yangu,kila kitu kina utaratibu wake na madhara ya vifo hayawezi kujibiwa na hoja nyepesi namna hii ndugu yangu.

huyu aliyekufa ni sawa na wengne wanavyokufa hvyo haina haja ya kuanza kutoa ujinga kama huu unaotoka kichwan mwako.
Tambua mtu yeyote aliyingia jeshini ni maiti inayotembea mda na wakat wowote anakufa
 
kwan huyo aliyekufa ni nani? Na ana umuhimu gani kwenye hii nchi? Kama alikuwa mzembe na legelege halali kufa

sawa .mkufunzi wa jkt, watoto walioenda jkt hawana umuhimu wowote,, endeleeni kuwaua kwa sababu nyie hamtakufa mtaishi milele
 
nyinyi mnakera na malalamiko yenu. Kuna watu hawalali usiku kucha wanahangaikia aman na utulivu wa nchi hii lakn hamuwazungumzii, kuna watu mpaka leo hii ni vilema kwasababu ya kuipigania aman na usalama wa nchi hii lakn mnawaona hawana maana , kuna watu wamepoteza maisha na wameacha mayatima majumban ktk harakat za kuipigania aman na usalama wa nchi hiii lakn mmewasahau badala yake mnakuja kulalamika kwa mwanafunzi aliyefia mafunzon mnasema wanateswa.
Hivi mnaakili kweli nyinyi?
Watu wamewapoteza wazazi ndg jamaa na wapendwa wao ktk vita ya kuitetea nchi hii lakn hawajalalamika lkn leo nyinyi mnaleta milolongo ya malumbano kisa mwanafunz aliyefia mafinzo. Inamaana huyo mwanafunzi ndiye alikuwa muhim zaidi ya askari wote waliofia vitan?
Acheni ujinga hizo kauli zenu ztaipeleka hii nchi pabaya.
Mnakaa kwenye keyboard na kuandika maneno yaha sababu ya aman iliyohifadhiwa na hili jeshi mnaiwasema wanamateso.
Acheni kukashifu jeshi.
Ipo siku mtakuja kuujua umuhimu wa hawa mnawao wakashifu leo hii.

huna hoja yoyote ya maana, kuzungumzia mateso na mauaji ndio kukashifu jeshi? hao wanajeshi wanaoenda vitani hiyo ni kazi yao na hakuna mtu yoyote aliewalazimisha kuwa wanajeshi. kama unaona huwezi vita acha jeshi.
 
huna hoja yoyote ya maana, kuzungumzia mateso na mauaji ndio kukashifu jeshi? hao wanajeshi wanaoenda vitani hiyo ni kazi yao na hakuna mtu yoyote aliewalazimisha kuwa wanajeshi. kama unaona huwezi vita acha jeshi.

Hujui lolote funga hilo bakuli ulale!
 
Malumbano ya humu, uuh nimekosa la kuandika
 
kwan huyo aliyekufa ni nani? Na ana umuhimu gani kwenye hii nchi? Kama alikuwa mzembe na legelege halali kufa

Wewe hebu kuwa na utu japo kidogo. Aliyefariki dunia ni binadamu mwenzetu wala si vinginevyo. Nahuzunika kwa mazingira ya kifo chake kilivyotokea. Mungu akujalie usijefiwa na nduguyo hata mmoja.
 
sawa .mkufunzi wa jkt, watoto walioenda jkt hawana umuhimu wowote,, endeleeni kuwaua kwa sababu nyie hamtakufa mtaishi milele

Huyo kama ni mkufunzi wa jkt basi nchi imejaa majambazi na vibaka tena wauaji wakubwa. Ana majibu kama ya kima.
 
huna hoja yoyote ya maana, kuzungumzia mateso na mauaji ndio kukashifu jeshi? hao wanajeshi wanaoenda vitani hiyo ni kazi yao na hakuna mtu yoyote aliewalazimisha kuwa wanajeshi. kama unaona huwezi vita acha jeshi.

basi kwa vile ww hupendi acha usimpeleke mwanao au kama kinakuuma hcho kifo basi andamana uone sku wananyonya mate mbele ya mkeo.
Mmekalia kulalamika tu. Ndio maana mitoto ya siku hizi inazidi kuolewa kama wanawake.
Nmeanza kuwa na was was na ww
 
Back
Top Bottom