JKT wakanusha kutokea vifo katika mafunzo

JKT wakanusha kutokea vifo katika mafunzo

Matusi, kejeli na dhararu hadi mnataka kupasua screen zenu za android na kompyuta, mmefura kwa hasira utafikiri mnaonana wkt serikali na watendaji wake wanaendelea kutenda bila hata kujua mnachopigania kwny jf. Tuulizane, tujenge hoja na tuelimishane kwa kuwa wote hatuwezi kuwa wanasheria, waandishi, wanajeshi au hata wasukuma mikokoteni. Tukielimishana tunaweza kujenga uzalendo na u tz. Jf ingetumika vizuri tungesaidiana kufanya biashara, kupata kazi, kuwaumbua maadui wa nje na ndani ya nchi, na kuelimishana mambo yaliyoko nje ya mazingira yetu lkn yapo kwa wenzetu. Mambo yote ya JKT, IPTL, Maji, madini, n.k. yanaweza kutatuliwa kwa sheria za nchi zinazotungwa bungeni. Kumlaumu mtu anayetekeleza hatuwezi kupata suluhisho zaidi ya mlolongo wa matusi tunayoyashuhudia. Tuchangie na tuelimishane km wa tz bila ya kutapishana matusi na dharau. Ni ushauri tu.
 
ushazoe kutoa uchi bas ndo waona kila mtu yuko hvyoo poor u mwenye akili za mwewe haloooo...mwanaume suruali wewe!kaa porini huko makutopora mvuta bange wee..!

mkuu mm ni fighter naishi sehem ambayo ww hujawahi kuishi. Kilichonisaidia ni elim na mafunzo ya kijeshi. Npo nchi ya watu lakn naishi kama nyumbani Tz.
Usipende lawama sana jkt inasaidia zaidi ya ujuavyo ww
 
Matusi, kejeli na dhararu hadi mnataka kupasua screen zenu za android na kompyuta, mmefura kwa hasira utafikiri mnaonana wkt serikali na watendaji wake wanaendelea kutenda bila hata kujua mnachopigania kwny jf. Tuulizane, tujenge hoja na tuelimishane kwa kuwa wote hatuwezi kuwa wanasheria, waandishi, wanajeshi au hata wasukuma mikokoteni. Tukielimishana tunaweza kujenga uzalendo na u tz. Jf ingetumika vizuri tungesaidiana kufanya biashara, kupata kazi, kuwaumbua maadui wa nje na ndani ya nchi, na kuelimishana mambo yaliyoko nje ya mazingira yetu lkn yapo kwa wenzetu. Mambo yote ya JKT, IPTL, Maji, madini, n.k. yanaweza kutatuliwa kwa sheria za nchi zinazotungwa bungeni. Kumlaumu mtu anayetekeleza hatuwezi kupata suluhisho zaidi ya mlolongo wa matusi tunayoyashuhudia. Tuchangie na tuelimishane km wa tz bila ya kutapishana matusi na dharau. Ni ushauri tu.

ubarikiwe kaka. Nafsi yako imetambua hayo
 
Matusi, kejeli na dhararu hadi mnataka kupasua screen zenu za android na kompyuta, mmefura kwa hasira utafikiri mnaonana wkt serikali na watendaji wake wanaendelea kutenda bila hata kujua mnachopigania kwny jf. Tuulizane, tujenge hoja na tuelimishane kwa kuwa wote hatuwezi kuwa wanasheria, waandishi, wanajeshi au hata wasukuma mikokoteni. Tukielimishana tunaweza kujenga uzalendo na u tz. Jf ingetumika vizuri tungesaidiana kufanya biashara, kupata kazi, kuwaumbua maadui wa nje na ndani ya nchi, na kuelimishana mambo yaliyoko nje ya mazingira yetu lkn yapo kwa wenzetu. Mambo yote ya JKT, IPTL, Maji, madini, n.k. yanaweza kutatuliwa kwa sheria za nchi zinazotungwa bungeni. Kumlaumu mtu anayetekeleza hatuwezi kupata suluhisho zaidi ya mlolongo wa matusi tunayoyashuhudia. Tuchangie na tuelimishane km wa tz bila ya kutapishana matusi na dharau. Ni ushauri tu.

Una point muhimu sana watu wote wangekuwa kama wewe tungefika mbali sana sasa watu wamezoea matusi badala ya kutoa hoja mbadala ya nini kifanye
 
Una point muhimu sana watu wote wangekuwa kama wewe tungefika mbali sana sasa watu wamezoea matusi badala ya kutoa hoja mbadala ya nini kifanye

kama ww ni mwelewa kwann utoe lawama badala ya kuuliza ili upate mwanga?
 
kama ww ni mwelewa kwann utoe lawama badala ya kuuliza ili upate mwanga?

Naona unapenda kuendeleza league na malumbano yasiyo na maana vitu vingne haviitaji phd kuvielewa just normal senses tu ku understand vitu vya kawaida
 
Naona unapenda kuendeleza league na malumbano yasiyo na maana vitu vingne haviitaji phd kuvielewa just normal senses tu ku understand vitu vya kawaida

ww na wenzako ndio mnatakiwa mwelewe na mjiulize maswali haya:
1. Hivi tangu zaman jkt haikuwepo?
2. Kwann zaman hapakuwa na malalamiko kama haya ya leo?
3. Ina maana mafunzo yanatofautiana ya leo na ya zaman?
4. Kwan askar hawafi mbona wazaz wao hawalalamiki kama ambavyo sisi tunalalamika leo?
Ukipata majibu hayo nafikir utaelewa point yangu
 
ww na wenzako ndio mnatakiwa mwelewe na mjiulize maswali haya:
1. Hivi tangu zaman jkt haikuwepo?
2. Kwann zaman hapakuwa na malalamiko kama haya ya leo?
3. Ina maana mafunzo yanatofautiana ya leo na ya zaman?
4. Kwan askar hawafi mbona wazaz wao hawalalamiki kama ambavyo sisi tunalalamika leo?
Ukipata majibu hayo nafikir utaelewa point yangu

Zamani ni zamani huwezi ku compare na sasa kwanza zamani information kuenea ilikuwa ngumu sana ilikuwa zidumu.fikra za mwenyekiti tu kutofautiana kwa jkt ya zamani hyo siyo sababu mana hata majeshi ya karne ya kumi na tisa na sasa hvi ni tofauti karne mpya kufa kupo lakini sio kwa uzembe wa watu eti mazoezi hayo ya kufa kwa askari ni.another.case compare na hawa ambao wanaanza vifo vya askari au.wengne labda hospital hakualalishi kusababisha vifo ambavo vinazuilika na hyo imejulikana kwa sababu ya social network tofauti na zamani ilikuwa only redio
 
Ndugu yangu busara zakawaida tu zinatufanya tusikitike juu ya msiba wowote haswa ule wenye utata. Ni rahisi kusema hivyo ila naamini ungekuwa umeambiwa ni ndugu yako usingesema kama ulivyosema hapo juu,na huu ni ubinafsi wa binadamu wengi sana. Anyway tuwaombee waliopo jkt wamalize hayo mafunzo yao kwa amani.
Majeshi si lelemamaaaaa tuzidi kuombeanaaaaaaaaaaaaaaa.............................wengine kutoka.....................wengine kutoka.....................wengine kutoka.....................
 
Jkt watoto wa kike magonjwa zinaa nje nje ,na tunajenga taifa lenye wasomi wagonjwa nimejionea mwenyewe jkt mwaka jana
 
Back
Top Bottom