Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Kama una maana JK kawaambia wabunge wampigie kura ya kutokuwa na imani nae, hap namuunga mkono JK, kwani hizo kura hazitatosha na wabunge watajifunza kwa viboko sasa, kwani pamoja na mapungufu aliyonayo Rais, kama alivyo binadamu mwingine, Rais katika hili kasimamia upande sahhihi, na ni upande wa walio wengi nchi hii.=======
Waliokuwa wanamshauri ni viongozi wa CCM ndani ya bunge (kamati ya CCM) - Mhagama, Ndugai, PM na wajumbe wa Kamati Kuu walio katika serikali. Walikuwapo pia viongozi waandamizi wa TISS. Yeye kang'ang'ania eti Beatrice Shelukindo na wenzake wampigie kura ya kukosa imani naye. Mbishi kweli.