Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,730
Naomba anayejua zaidi maana ya kukata utepe atueleze. Ninavyofahamu mimi kukata utepe huwa ni ishara ya uzinduzi rasmi, sanasana wa majengo. Na kawaida huwa unafanyika kwa kutokea nje, kama vile wahusika ndo wanaingia humo jengoni kwa mara ya kwanza (they are only symbols that carry their meaning anyways). Sasa hawa wanaokata utepe kuelekea nje wanataka kutupa ishara gani?
You ar th Great Thinker 4 ril