Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi

Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi

Hivi hizi shahada mpokeaji huwa anaziomba au analazimishwa? ?
 
Wazanzibari wanapenda sana mteremko. Wenzao wanahangaika na Mathesis huko, wenyewe wanasubiria PhD za kupewa.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu (Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi (RUDN University) jijini Moscow, tarehe 4 Juni, 2026


Hiyo sasa ina faida gani kwa taifa letu?

Miezi michache iliyopita hapa alipewa UDAKTARI BINGWA BOBEZI toka Muhimbili.

Lakini hiyo nayo hajasaidia chochote kwani matokeo yake bado anawateua hata ambao sio wataalamu wa afya ili wamshauri kuhusu afya ya uzazi, mama na mtoto.....Sasa ule Ubingwa Bobezi aliyopatiwa ulimaanisha nini?

Vitu vingine havina maana yoyote kwa watu unaowaongoza, yaani raisi sijui kupewa shahada au vyovyote kisicholeta manufaa kwa wananchi wake ni bora hata isijulikane.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu (Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi (RUDN University) jijini Moscow, tarehe 4 Juni, 2026.
IMG-20260604-WA0029.jpg
 
Mama alikuja na “R” nne. Moja ya “R” hizo ni REFORMS, yaani mabadiliko. Lisu akamuunga mkono Mama kwa kusema “Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi” (NO REFORM, NO ELECTION). Akakamatwa kwa uhaini wakati aliunga mkono falsafa ya 4R! Mbadilishie mashtaka mseme alikosea kumuunga mkono Mama!
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu (Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi (RUDN University) jijini Moscow, tarehe 4 Juni, 2026


04 June 2026
Peoples’ Friendship University of Russia (RUDN)
Moscow

Russia Tanzania Relations: Cultural Performances Mark Presidential Visit to Moscow | APT

View: https://m.youtube.com/watch?v=edJTmyqhIxc
Tanzanian President Samia Suluhu Hassan was warmly welcomed at the Peoples’ Friendship University of Russia (RUDN) during her official visit to Moscow.

The university hosted a cultural reception featuring performances by African and Russian students, showcasing traditional Tanzanian dances and Russian folk music.

The event highlighted academic and cultural ties between Russia and Tanzania.

During the visit, the president was also introduced to RUDN’s Swahili professor Natalia Petrenko and received gifts from university faculty members.

The visit marks a significant diplomatic moment, as it is the first visit by a Tanzanian head of state to Russia in nearly five decades
 
Apo itakuwa kuna mambo yanaendelea tusioyajua maana hizo shahada hazina mchango wowote kwa taifa hususani kipindi hichi shahada zinagaiwa kwa wingi kama pipi kuwadanganyia watoto waeze kutulia.
 
Marais wa Kiswahili matatizo matupu. Kwanini kila wanapokwenda wanatunikiwa shahada uchwara za heshima wakati wale wa nchi zilizoendelea hatusikii kitu hiki au kuna biashara inafanyika? Mijitu ilikimbia umande inapwakia shahada za heshima tena kwa kodi zetu. Upuuzi mtupu.
Mtaumia sana tu.
RAIS SAMIA
1. 2022 – University of Dar es Salaam (Tanzania)
Ametunukiwa Doctor of Laws (LLD Honoris Causa)
Sababu:
Uongozi bora wa taifa
Mageuzi ya uchumi na elimu
Kuimarisha diplomasia ya Tanzania

University of Dar es Salaam
2. 2023 – Jawaharlal Nehru University (India)
Ametunukiwa Doctor of Philosophy (Honoris Causa)
Sababu:
Kuimarisha ushirikiano wa kimataifa
Diplomasia na uhusiano wa Afrika–Asia

Wikipedia
3. 2023 – State University of Zanzibar (SUZA)
PhD (Tourism Management & Marketing Honoris Causa)
Sababu:
Kukuza utalii (hasa kampeni ya Royal Tour)
Kuongeza pato la taifa kupitia sekta ya utalii

Wikipedia
4. 2024 – Ankara University (Türkiye)
Honorary Doctorate in Economics
Sababu:
Mageuzi ya kiuchumi
Ushirikiano wa Tanzania na Türkiye

Wikipedia
5. 2024 – Korea Aerospace University (South Korea)
PhD in Aviation Management (Honoris Causa)
Sababu:
Maendeleo ya sekta ya anga
Uboreshaji wa usafiri wa kimataifa

Wikipedia
6. 2024 – Mzumbe University (Tanzania)
Honorary Doctorate in Leadership
Sababu:
Uongozi wa mfano
Utawala bora na mageuzi ya maendeleo

The Citizen
7. 2026 – Nasarawa State University (Nigeria)
Honorary Doctor of Letters (D.Litt Honoris Causa)
Sababu:
Uongozi wa maendeleo barani Afrika
Kuimarisha nafasi ya wanawake uongozi
Ushirikiano wa kimataifa

Mtemwapoetry +1
8. 2026 – RUDN University (Russia)
Honorary Doctorate (Honoris Causa)
Sababu:
Diplomasia ya kimataifa
Mageuzi ya elimu
Kuimarisha mahusiano Tanzania–Russia

Upendo News
 
Marais wa Kiswahili matatizo matupu. Kwanini kila wanapokwenda wanatunikiwa shahada uchwara za heshima wakati wale wa nchi zilizoendelea hatusikii kitu hiki au kuna biashara inafanyika? Mijitu ilikimbia umande inapwakia shahada za heshima tena kwa kodi zetu. Upuuzi mtupu.
Ile safari ilikuwa ni ya Kidiplomasia ya utakaso tu na kutuma ujumbe kwa wakubwa wengine kuwa
"Hata bila nyie tunaweza kuishi", N i hivyo tu basi.
Japo Russia ya Brezhnev Tanzania ilifaidika maneo mengi sana kama vile
1.Elimu na Mafunzo ya kazi
  • Misaada ya Elimu ya sekondari : tulipokea walimu wa sekondari waliofundisha vyeo na shule zetu.
  • Vifaa na Mahitaji ya Elimu: Vitabu,vifaa vya maabara, chati mbalimbali za kufundishia, na mahitaji muhimu
  • Misaada ya Ufadhili wa Masomo ya juu: Wanafunzi wa kitanzania walipata ufadhili wa kuosma Sheria,Udakitari, Uinjinia na Hata utaalamu wa sayansi na kutunukiwa vyeti,Diploma na shahada mbalimbali
2.Ushirikiano wa Uchumi na Ufundi
  • Mikataba ya Maendeleo :Nchi iliingia mikataba mbalimbali ya Ushirikiano wa uchumi na Teknolojia kama vile mambo ya jiolojia na kutusaidia kutafuta madini.
  • Kukuza kilimo:tulipata msaada wa kitaalamu kukuza kilimo cha mahindi na Pamba
  • Elimu ya Anga:Kulikuwa na makubaliano ya mafunzo na kubadilishana utaalamu
3.Ushirikiano wa Kijeshi
  • Silaha na Magari ya Kivita: Brezhnev alitoa silaha nzito nzito za kila aina kwa jeshi na magari ya kivita
  • Mafunzo ya Kimkakati:Mafunzo kwa washauri wa kijeshi na mafunzo kwa wanajeshi,pia waliimarisha ulinzi wa Nchi
4.Kusaidia Mapambano ya ukombozi kusini mwa Africa:
  • Kutoa mafunzo na silaha mstari wa Mbele: Urusi ya Brezhnev ilitoa mafunzo na silaha kwa askari waliokuwa mstari wa mbele wa vyama vya FRELIMO,ANC ,SWAPO na ZANU PF
5.Mahusiano ya juu ya Kudiplomasia:
  • Yalianza na ziara ya JKN mwaka 1969 na baadaye mwaka 1977 ilifuatiwa na ziara ya Nikolai Podgorny akiwa kama kiongozi mkuu wa urusi wakati ule(1965-1977)
Haya yote yalifanyika wakati wa JKN ambapo USSR lilikuwa dude kubwa lenye uwezo mkubwa kiuchumi.
Russia ya Putin sina imani nayo saana kwa kuwa iko chini ya vikwazo na imepungua uwezo baada ya kuanguka kwa ukomunisti na nchi kutawanyika.
 
Mtaumia sana tu.
RAIS SAMIA
1. 2022 – University of Dar es Salaam (Tanzania)
Ametunukiwa Doctor of Laws (LLD Honoris Causa)
Sababu:
Uongozi bora wa taifa
Mageuzi ya uchumi na elimu
Kuimarisha diplomasia ya Tanzania

University of Dar es Salaam
2. 2023 – Jawaharlal Nehru University (India)
Ametunukiwa Doctor of Philosophy (Honoris Causa)
Sababu:
Kuimarisha ushirikiano wa kimataifa
Diplomasia na uhusiano wa Afrika–Asia

Wikipedia
3. 2023 – State University of Zanzibar (SUZA)
PhD (Tourism Management & Marketing Honoris Causa)
Sababu:
Kukuza utalii (hasa kampeni ya Royal Tour)
Kuongeza pato la taifa kupitia sekta ya utalii

Wikipedia
4. 2024 – Ankara University (Türkiye)
Honorary Doctorate in Economics
Sababu:
Mageuzi ya kiuchumi
Ushirikiano wa Tanzania na Türkiye

Wikipedia
5. 2024 – Korea Aerospace University (South Korea)
PhD in Aviation Management (Honoris Causa)
Sababu:
Maendeleo ya sekta ya anga
Uboreshaji wa usafiri wa kimataifa

Wikipedia
6. 2024 – Mzumbe University (Tanzania)
Honorary Doctorate in Leadership
Sababu:
Uongozi wa mfano
Utawala bora na mageuzi ya maendeleo

The Citizen
7. 2026 – Nasarawa State University (Nigeria)
Honorary Doctor of Letters (D.Litt Honoris Causa)
Sababu:
Uongozi wa maendeleo barani Afrika
Kuimarisha nafasi ya wanawake uongozi
Ushirikiano wa kimataifa

Mtemwapoetry +1
8. 2026 – RUDN University (Russia)
Honorary Doctorate (Honoris Causa)
Sababu:
Diplomasia ya kimataifa
Mageuzi ya elimu
Kuimarisha mahusiano Tanzania–Russia

Upendo News
Mwinyi alipata PHD ngapi tokana na mageuzi makubwa ya kiuchumi aliyoyafanya?
 
Back
Top Bottom