Ngolinda
Senior Member
- Apr 12, 2010
- 125
- 25
Wewe mbona uliishia darasa la saba hatusemi ? Badala ya kuandika 'freedom' unaandika 'fredom' kweli mwalimu wako wa kiingereza ndivyo alikufundisha hivyo ? rudi shule tafadhali elimu ya watu wazima
Mkuu,
Hapo kwenye nyekundu..si tungo sanifu. Je na wewe tuseme umeishia darasa la saba?