Mnyonge mngeni lakini haki yake mpeni, miaka ya nyuma wala sio nyuma sana, kwenda sekondari ilikuwa ni ndoto achilia vyuoni, lakini sasa angalau watu wana fika nakupata elimu, barabara hakuna ubishi, japo wanasema ni zimejengwa na mikopo ya wahisani mie silijari hilo, wanasema elimu ni kiwango cha chini, lakini ni bora kuliko kuikosa,kama tatizo ni ajira vyuoni sasa wanafundisha ujasiriamali, unaweza kuanza na biashara ndogo lakini ukazalisha ajira yawengine hata kama ni m1 au wawili, yapo makosa yamefanyika lakini tushukuru kwa hayo mazuri, wapo viongozi walioingia kwa democrasia lakini wakang'ang'ania madaraka, tumshukuru jk kwa mazuri aliyotufanyia, na yale mabaya yawe changamoto kwa kiongozi ajaye, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,