Yale Makanisa yaliyochomwa bila watuhumiwa kufikishwa mahakamini, yale mabomu yaliyolipuliwa kwa maelekezo ya wakuu bila watuhumiwa kupatikana, zile kura zilizoibiwa, chaguzi feki. Mimi nitakukumbuka daima.......!
JK deserves our salute! Kuchukua nchi kutoka kwa FISADI papa MKAPA alieingia mikataba ya madini yetu yote tena kwa zaidi ya miaka 25, aliejigawia vitalu vya gesi, aliegawa vitalu vya uwindaji, aliebinafsisha mashirika yote ya umma kama Bandari Container terminal tena baada ya kuingia mkopo mkubwa WB, ATCL, TBL, SARUJI et al huku nchi ikipewa kamsamaha wa madeni kwa siku chache za utawala wake (bubble) ilikuwa si kazi ndogo !!! JK ni mtu mwenye uwezo wa kuvumilia na kuwavumilia wajinga wajinga pengine kuliko kiumbe chochote ktk nchi yetu kwa sasa ... Mr President you real really deserves much more respect kwa watu wako...
What is wrong if he managed to implement successfull what was planned by Mkapa regime,suppose if he shelved what was planned by Mkapa?
Nakushauri tumia Kiswahili, utaeleweka vizuri zaidi.
He is going to have a very bad legend, he is a very bad head of the state never seen since Tanzania was born.The success he mentioned was done or planned and financed by the government lead by Mr. MKAPA.
Wewe Mse.nge una lako jambo hakuna kiongozi aliyeleta maendeleo kama. JK huyo Mkapa unakumbukwa kwa kuuza Mashirika ya umma nyumba za serikali au kwa sababu ni Mkiristo mwenzio Pambavu usifikiri watu hawaelewi
mdau sababu za tz kuwa maskini zipo nyingi sana,zipo za nje na za ndani,ntakupa mimi kama utazihitaji,
Sababu ipo wazi sana - uongozi mbaya ndiyo chanzo cha umaskini wa Tanzania. Kama ambavyo siku moja nilisikiliza wananchi wa Botswana wakihojiwa na mtangazaji wa BBC juu ya sababu za wao kuwa na maendeleo mazuri, wengi walijibu kuwa kwa kiasi kikubwa nchi yao haina rasilimali nyingi ila walichobahatika toka mwanzo ni kupata uongozi mzuri wenye dhamira na mtazamo sahihi.
Kikwete anaingia mara elfu mia kwa Mkapa... ------ kaachiwa nchi mahali pazur huku fuko la hazina limesheheni mahela yeye kazimaliza zote na madeni juu.
Washauri wake ndio wanaoharibu mchakato sio Jk
We Tahira unalazimika hata kama hutaki bara×2 huzioni? uhuru wa kujieleza si huu kwa mfano, na kuuita wewe tahira.
Huyu ni baba wa taifa wa miundo mbinu(bara×2) na uhuru wa kujielezea mengine mtaongezea. Hapa si hiari tuna lazimika kumpa hii sifa hata kama hututaki.