Katika zile ajira milion moja,amenipa na mimi,ila miaka 10 ya JK nimeshuhudia uozo wa watendaji wake ambao wengi wana viburi,kebehi na dharau sana,nimeshuhudia ameingia kukiwa na kasi ya ujambaz na anaondoka kukiwa na kasi ya ujambaz mijini na vijijini,pia mfanyakaz kutokuwa na thaman ila mwanasiasa kuwa na thamani ya hali ya juu,chini ya JK nimeshuhudia rushwa ikitamalaki kwa kiasi kikubwa sana rushwa kubwa na ndogo,,,,,kwenye chaguz za kisiasa ikiwemo,pia nimeshuhudia taasisi ya urais makanjanja wakiitumia kwa deal mbalimbali like ile ya malaria ambayo watu waliililia sana,pia kaul za mipashooo za ile kurugenz yetu,,,maskin mpaka mzee wa watu akaitwa MNAFKI