JK afunguka kuhusu kustaafu kwake

Makupa

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
5,023
2,552
Mheshimiwa Rais wa JMT akiwa anahojiwa na mwandishi wa habari mwandamizi kutoka Nation media group aliulizwa swali je anategemewa utawala wake kukumbukwa kwa yapi ,Jk alijibu kama ifuatavyo:

The Tanzanians will decide but I consider ky term of office as a time of scalling up.We have scaled up on roads,on construction,on education,on health,and many other things. It is Tanzanian to judge but my biggest satisfaction is that we have done a tremendous job in the road infrastructure,expansion of primary and secondary education.

We had only 40000 students in universitu,now we have 180000,which is phenomena,we had 525,000 secondary school now we have 1.9 million.The important thing I want Tanzanians to appreciate is that I have made conttibution.I found them.somewhere and I leave them somewhere better than they were before when I took office.
 
It is true. You find us somewhere and will leave us somewhere better than.
High level of freedom of speech. Fantastic Democracy.
There is Ukawa. uwamsho. serikali ya maridhiano zenj"Zenj coallition govt" .
So many and many.
 
He is going to have a very bad legend, he is a very bad head of the state never seen since Tanzania was born.The success he mentioned was done or planned and financed by the government lead by Mr. MKAPA.

What is wrong if he managed to implement successfull what was planned by Mkapa regime,suppose if he shelved what was planned by Mkapa?
 
Huyu ni baba wa taifa wa miundo mbinu(bara×2) na uhuru wa kujielezea mengine mtaongezea. Hapa si hiari tuna lazimika kumpa hii sifa hata kama hututaki.

Eeeh labda kwa miundo mbini! Lakini baba la miundo mbinu ni Mkapa! Hakuna mwingine, huyu ndo alitukuta choka mbaya na akatufikisha mahali. Siyo huyu anayetuachia deni la matrilion ya shilingi. ZOMBIE AT WORK!!
 
Mheshimiwa Rais wa JMT akiwa anahojiwa na mwandishi wa habari mwandamizi kutoka Nation media group aliulizwa swali je anategemewa utawala wake kukumbukwa kwa yapi ,Jk alijibu kama ifuatavyo:
The Tanzanians will decide but I consider ky term of office as a time of scalling up.We have scaled up on roads,on construction,on education,on health,and many other things.
It is Tanzanian to judge but my biggest satisfaction is that we have done a tremendous job in the road infrastructure,expansion of primary and secondary education.
We had only 40000 students in universitu,now we have 180000,which is phenomena,we had 525,000 secondary school now we have 1.9 million.The important thing I want Tanzanians to appreciate is that I have made conttibution.I found them.somewhere and I leave them somewhere better than they were before when I took office.

I must give HIM a thumb-up for being such an excellent english speaker,NOT!!
 
Eeeh labda kwa miundo mbini! Lakini baba la miundo mbinu ni Mkapa! Hakuna mwingine, huyu ndo alitukuta choka mbaya na akatufikisha mahali. Siyo huyu anayetuachia deni la matrilion ya shilingi. ZOMBIE AT WORK!!

We Tahira unalazimika hata kama hutaki bara×2 huzioni? uhuru wa kujieleza si huu kwa mfano, na kuuita wewe tahira.
 
He forgot the freedom of speech that he brought us even though it might be unknowingly but we're extremely appreciate it Mr hb....
 
Ili kukomesha ubishi hapa ni vizuri tuziweke barabara zilizotengenezwa na Kikwete na Mkapa na off course twende mbele zaidi, kitu gani pipya kilichowekwa na Kikwete ambacho hakikuwepo enzi za Mkapa, master plan iwe ni ya Kikwete tu, mwenye ushahidi uwekwe hapa badala ya kuongea kijumla jumla!
 
Pia amesema haya nanukuu, 'kwamba habari za kuchochea majeshi kufanya mapinduzi, habari za kuchochea vijana kuleta vurugu hatazivumilia, na kwamba chombo cha habari kitakachojielekeza kwenye habari za namna hiyo kitafungiwa.

"Wakiandika Rais Kikwete nchi imemshinda hainipi tabu, kwa kuwa najua nchi haijanishinda," alisema Rais Kikwete huku akitoa mfano wa namna redio Mille Collines ya Rwanda ilivyochangia mauaji ya halaiki nchini humo.
 
Ari zaidi! Nguvu zaidi Kasi zaidi!.....Mwenye Richmond simjui....Tutaacha Meli Ziwa Nyasa....Wanawake watapelekwa Hospitali na Bajaji pale tutakapokosa Kruza....
 
It is true. You find us somewhere and will leave us somewhere better than.
High level of freedom of speech. Fantastic Democracy.
There is Ukawa. uwamsho. serikali ya maridhiano zenj"Zenj coallition govt" .
So many and many.

Though through the name of Democracy, we have identified treasoners in the name of M4C, UKAWA, UWAMSHO, CDM etc
 
Ili kukomesha ubishi hapa ni vizuri tuziweke barabara zilizotengenezwa na Kikwete na Mkapa na off course twende mbele zaidi, kitu gani pipya kilichowekwa na Kikwete ambacho hakikuwepo enzi za Mkapa, master plan iwe ni ya Kikwete tu, mwenye ushahidi uwekwe hapa badala ya kuongea kijumla jumla!

Acha ujinga. Nchi haiendeshwi kama familia. Kila kitu kilshapangwa tangu enzi mkoloni. Kinachofanyika kwa sasa ni utekelezaji kulingana na hali halisi iliyopo sasa.
 
Eeeh labda kwa miundo mbini! Lakini baba la miundo mbinu ni Mkapa! Hakuna mwingine, huyu ndo alitukuta choka mbaya na akatufikisha mahali. Siyo huyu anayetuachia deni la matrilion ya shilingi. ZOMBIE AT WORK!!
mkapa mjasiliamari mkubwa aliuza kila kitu,mpaka NBC, baba wa taifa akajaribu kuzuia lakini wapi.

Mkapa bonge la mtafutaji.
 
Acha ujinga. Nchi haiendeshwi kama familia. Kila kitu kilshapangwa tangu enzi mkoloni. Kinachofanyika kwa sasa ni utekelezaji kulingana na hali halisi iliyopo sasa.
UDOM walipanga wakoloni?.

Kile chuo kikuu kipya cha arusha,wamepanga wakoloni?.
 
Kikwete's legacy after he retires will be the fragmentation of what was a homogenous nation by using religion as the yardstick in making senior government appointments!! Vasco Dagama ndio baba wa udini Tanzania; godfather wa wakina Ponda.

Atakumbukwa pia kama mtu aliyegeuza URAIS kama mali ya familia yake na pia patron wa majangili na wauza madawa ya kulevya.
 
Back
Top Bottom