kwa kukuonyesha tu upo mweupe, ni kuwa barabara za taifa na za mikoa zinazosimamiwa na TANROADS zina jumla ya urefu wa KM 84, 000. mkuu unaonekana hujui chochote. ni vizuri ukauliza. mfano barabara ya arusha minjingu ilijengwa kipindi cha mkapa, sasa hivi imebomolewa yote na inajengwa, uliza waliowahi kupita huko siku za hivi karibuni au barabara ya kutokea korogwe kwenda moshi. na nimiradi michache ambayo ilikuwa kwenye transition kama wa dom-manyoni lakini angalia hata sehemu kubwa ya hiyo miradi imejengwa kipindi kipi. najua unaednelea kunijibu ili uendelee kupata shule. ni jambo zuri na unaonekana ni mwanafunzi mzuri. endelea,
Kwa kweli kubishana na mataahira ya CCM ni kazi kweli ndo maana yametuharibia hata mchakato wa Katiba mpya! Wewe zumbukuku hebu sikiliza, kwa ujumla TANROADS wanasimamia barabara zenye urefu wa kama kilomita 33,800 hivi, kati ya hizo Trunk roads ni kama kilomita pungufu kidogo ya 13,000 zinazobaki ni barabara zilizoko chini ya mikoa (wanaita regional roads). Kati ya hizo trunk roads ni kilomita 5,000 na mamia kidogo tu ndo ziko paved, zingine zinazobaki ni unpaved (yaani kati ya 7,000km). Sasa unaposema Kikwete atatuachia 11,000km zinatoka wapi? Basi tuseme barabara zote kubwa zitakuwa zimewekewa lami, kitu ambacho siyo rahisi kama unavyofikiria na ki-degree chako uchwara cha Newman College!! Jiridhishe mwenyewe kwenye hizo attachments nilizokuwekea ili uone hizo 11,000km zinapatikana au la? Jumlisha miradi yote iliyokamilika na inayoendelea pamoja na ile ambayo iko kwenye pipeline. Pia na zile kilomita zilizokuwa zimeanza kujengwa wakati wa Mkapa tumempa huyo ndugu yako ili angalau aonekane amejenga nyingi basi!!