He is going to have a very bad legend, he is a very bad head of the state never seen since Tanzania was born.The success he mentioned was done or planned and financed by the government lead by Mr. MKAPA.
Hamaanishi kuwa hajui, maana yake ni kuwa "haoni sababu ya msingi unayoweza ukamweleza mtu mwenye akili timamu kwa nini Tanzania ni maskini, na akakuelewa. Hata mimi mwenyewe sijui kwa nini sisi ni maskini. Kama wewe unajua, the meaning behind ni kwamba unajua sababu ambazo ni za msingi ambazo zinatufanya sisi tuendelee kuwa maskini, na kama sababu za msingi zipo, maana yake ni kwamba tunastahili kuwa maskini, na hatutakiwi kulaumiwa na mtu yeyote au kujilaumu sisi wenyewe. Nikupe mfano mdogo, uko na uwezo mzuri nyumbani kwako kimaisha halafu majambazi wakaja nyumbani kwako wakapora kila kitu na kukuacha maskini, baada ya hapo utakuwa una sababu ya msingi kabisa asilimia 100 ya kumweleza mtu kwa nini wewe ni maskini. Lakini kama ulikuwa na maisha mazuri ukaja ukaishiwa sababu ya ulevi wa pombe, je ukishakuwa maskini kwa staili hii, utakuwa na sababu yeyote kweli ya msingi ya kumweleza mtu kwa nini wewe ni maskini na akakueleewa? Unless ni chizi.
Nchi yetu Tanzania ni maskini kwa sababu ambazo hata mimi sizielewi na haitatokea siku nikaja nikazielewa, au labda pengine wewe unayezielewa utueleze ni zipi?
Sababu ipo wazi sana - uongozi mbaya ndiyo chanzo cha umaskini wa Tanzania. Kama ambavyo siku moja nilisikiliza wananchi wa Botswana wakihojiwa na mtangazaji wa BBC juu ya sababu za wao kuwa na maendeleo mazuri, wengi walijibu kuwa kwa kiasi kikubwa nchi yao haina rasilimali nyingi ila walichobahatika toka mwanzo ni kupata uongozi mzuri wenye dhamira na mtazamo sahihi.
wewe taahira kujenga km zaidi ya 11000 za barabara sio kitu rahisi. mkapa kwa miaka 10 aliyokaa madarakani amejenga km 3000 tu. mwinyi na nyerere kwa miaka 34 yote waliokaa madarakani wamejenga km chini ya 3000. angalia mashule. imagine Kikwete alikuta vyuo vikuu vikiwa na wanafunzi 40000 tu lakini ndani ya miaka 10 amefikisha wanafunzi vyuoni 180,000. na mengine mengi. hivi mlitaka afanyeje? acheni chuki bhana, hazijengi.Eeeh labda kwa miundo mbini! Lakini baba la miundo mbinu ni Mkapa! Hakuna mwingine, huyu ndo alitukuta choka mbaya na akatufikisha mahali. Siyo huyu anayetuachia deni la matrilion ya shilingi. ZOMBIE AT WORK!!
barabara;Ili kukomesha ubishi hapa ni vizuri tuziweke barabara zilizotengenezwa na Kikwete na Mkapa na off course twende mbele zaidi, kitu gani pipya kilichowekwa na Kikwete ambacho hakikuwepo enzi za Mkapa, master plan iwe ni ya Kikwete tu, mwenye ushahidi uwekwe hapa badala ya kuongea kijumla jumla!
JK deserves our salute! Kuchukua nchi kutoka kwa FISADI papa MKAPA alieingia mikataba ya madini yetu yote tena kwa zaidi ya miaka 25, aliejigawia vitalu vya gesi, aliegawa vitalu vya uwindaji, aliebinafsisha mashirika yote ya umma kama Bandari Container terminal tena baada ya kuingia mkopo mkubwa WB, ATCL, TBL, SARUJI et al huku nchi ikipewa kamsamaha wa madeni kwa siku chache za utawala wake (bubble) ilikuwa si kazi ndogo !!! JK ni mtu mwenye uwezo wa kuvumilia na kuwavumilia wajinga wajinga pengine kuliko kiumbe chochote ktk nchi yetu kwa sasa ... Mr President you real really deserves much more respect kwa watu wako...
Well then, lets decide and judge:
"We have scaled up on roads,on construction,on education,on health,and many other things"
1."We have scaled up on roads"- Kutoka kwenye barabara chache imara (maana mpaka leo zipo) kwenda kwenye barabara nyingi mpaka mitaani lakini mbovu zimedumu miezi 4! Quite a scalling up. Don't you think?
2."We have scaled up on Construction"- Sure! Kipindi cha Wengine kulikuwa na majengo machache. Sasa tuna maghorofa mpaka yanatishia usalama wa Ikulu na wao wako ok. Tunajua kuuza viwanja! Zamani mabonde ya maji yaliheshimiwa. Sasa tunauza mpaka mapitio ya maji, Wananchi wanakoma na mafuriko tu. Tunajenga tu bila kuangalia air circulation. Na tuko kisasa zaidi tunajenga leo kesho yanaanguka, wahandisi wanapeta tu mitaani.Pole yao wanokufa! What a scalling up!
3."We have scaled up on education"-Indeed!We had only 40000 students in universitu,now we have 180000,which is phenomena. And we went further to making sure they take care of their place to live.We made sure the loans are not sufficient, we developed racism to them by giving loans depending on courses taken as if those remaining are not Tanzanians and had sinned against us for choosing what they chose to study! By the way it is very helpful because we also made sure the ones getting a loan at 100% are those capable already like our kids. The poor just get what is coming to them! Always suffer!. Scaling up!
We had 525,000 secondary school now we have 1.9 million. Which helps producing Wahitimu ambao hata majina yao kuandika hawawezi! We actually gave them to choose ,whether they get to write a history of joining secondary or not at all! So what the hell if there are not books or laboratories? Our kids are not even supposed to look at the schools we build them, leave alone studying there! I am telling you we scaled up!
4."We have scaled up on Health"- Now we are capable of performing brain operation when you needed knee surgical performance! Our hospitals are overpopulated, no enough beds, while we keep increasing our salaries and allowances. Even the parliament doesn't care we the majority are that greedy. by the way who said our families will have to test that? We go to India just to check heart beats! Let the doctors and nurses be corrupted!See we tried it and succeeded!
....and many other things"
Ni hivi.....I hate to say this, but Sijawahi kuona kiongozi wa ovyo kama huyu! Thats my decision!
mirembe panakufaa sana wewe. nashangaa unafanya nini huku mitaani.Kikwete ndie rais bora kwa udhaifu tanzania...tutamkumbuka kwa udhaifu na udini wake.
barabara;
Kikwete=km 11,000
Mkapa =km 3000
Mwinyi+nyerere=km <3000
vyuo vikuu,
Kikwete 34
Mkapa+nyerere+Mwinyi= 6
Udahili wa wanafunzi vyuoni
Kikwete=180,000
Mkapa=40000
Mwinyi=15000
nyerere for 24 years=6000
udahili wa wanafunzi mashuleni
Kikwete=1,900,000
Mkapa=500,000
Others=less than 150,000
umeme
Kikwete anafikisha 33%
mkapa 11%
others less than 4%
nikipata muda nitaendelea, na wengine waendeleze.
wewe taahira kujenga km zaidi ya 11000 za barabara sio kitu rahisi. mkapa kwa miaka 10 aliyokaa madarakani amejenga km 3000 tu. mwinyi na nyerere kwa miaka 34 yote waliokaa madarakani wamejenga km chini ya 3000. angalia mashule. imagine Kikwete alikuta vyuo vikuu vikiwa na wanafunzi 40000 tu lakini ndani ya miaka 10 amefikisha wanafunzi vyuoni 180,000. na mengine mengi. hivi mlitaka afanyeje? acheni chuki bhana, hazijengi.
kuwa mkweli kwa nafsi yako..chuki hazijengi.Ukiangalia post zako, utakuwa mwanasiasa wa ovyo ovyo ama mchawi! hazijielezi kilojic!
utambue kwamba kikwete katafuniwa na marais waliomtangulia, yy alikuwa anameza tu! ndo maana alikuwa anashinda ulaya!
Sasa mi na wewe nani ni mteja wa mirembe? Umepigwa sindano ya ganzi ya ubongo akili yako haioni kabisa evils za maccm mnatetea uozo,watanzania wanateseka kutokanA na upuuzi wa magamba halafu nyie mnapiga makofi,kesho kwa mungu kuna moto ujue ohooo!mirembe panakufaa sana wewe. nashangaa unafanya nini huku mitaani.
Hizo ni namba tu hazina mpango tuje kwenye reality hapo leo watz wangapi wapo gizani? Quality ya hizo barabara zi wapi? Vipi kuhusu output ya enrolled students kwenye hizo shule? mnakera sana nyie gambaz.barabara;
Kikwete=km 11,000
Mkapa =km 3000
Mwinyi+nyerere=km <3000
vyuo vikuu,
Kikwete 34
Mkapa+nyerere+Mwinyi= 6
Udahili wa wanafunzi vyuoni
Kikwete=180,000
Mkapa=40000
Mwinyi=15000
nyerere for 24 years=6000
udahili wa wanafunzi mashuleni
Kikwete=1,900,000
Mkapa=500,000
Others=less than 150,000
umeme
Kikwete anafikisha 33%
mkapa 11%
others less than 4%
nikipata muda nitaendelea, na wengine waendeleze.
kwanini ukerwe na argument ya mwenzako?...au mkuu una matatizo mengine hutaki kusema matokeo hasira zako unaelekeza kila mahali?Hizo ni namba tu hazina mpango tuje kwenye reality hapo leo watz wangapi wapo gizani? Quality ya hizo barabara zi wapi? Vipi kuhusu output ya enrolled students kwenye hizo shule? mnakera sana nyie gambaz.
He is going to have a very bad legend, he is a very bad head of the state never seen since Tanzania was born.The success he mentioned was done or planned and financed by the government lead by Mr. MKAPA.
moto wa mungu na miundombinu wapi na wapi?.Sasa mi na wewe nani ni mteja wa mirembe? Umepigwa sindano ya ganzi ya ubongo akili yako haioni kabisa evils za maccm mnatetea uozo,watanzania wanateseka kutokanA na upuuzi wa magamba halafu nyie mnapiga makofi,kesho kwa mungu kuna moto ujue ohooo!