Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 48,357
- 41,977
Ramani inaonyesha kuna njia baina yako na jirani?Huu ukuta ni wa kishari shari ndio maana nauogopa.. maana viwanja vyetu ni vya mtaa wa mwisho. Nyuma yetu kuna majirani waliojenga kienyeji enyeji..
Hao watu wote watategemea mimi ndio niwaachie njia kubwa.. maana walikuja kuomba na tukaongea na jirani wote tuingie ndani mita chache ili wa nyuma wapate njia.
Sasa ghafla jirani kaanza jenga ukuta nyuma ya beacon kabisa