Jinsi ya kusafisha uke

Jinsi ya kusafisha uke

habari zenu wakuu,

Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa
dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko
humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.

i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji
mengi kila baada ya kwenda chooni.

ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na
mchana.

iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri
ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha
vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.

iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.

v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.

fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika
sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka
huko.

ni rahisi sana dada zangu si mnaona!

mbona haya yoteeee kawaida sana? sion jipya
 
mkuu maelezo hayo nimeyatoa kwa mke wangu. anafanya hivyo kila siku. msafi sanaaaa. nikaona si vibaya kuwashirikisha. jaribu uone!

hilo jambo sio salama.nendeni kwa wataalam na muache kufundisha vitu ambavyo mko less informed.uwepo wa hizo sabuni haimaanishi ni salama.
pili uke una kemikali asilia ambayo ikioshwa yote ikaisha unarahisisha mashambulizi ya candida. wadada mnaosoma vitu vinavyohusu afya yako usikubali kila unachosoma au kusikia kutoka kwa mtu yoyote.pata taarifa sahihi kutoka kwa mtu sahihi
 
Uko dunia ya ngapi wewe?
Sikia, unachukua jivu la motomoto unapakaza juu ya vuzzzz, kisha unachukua mafuta kidogo unapaka juu yake halafu unaanza kusugua.....inauma hiyooooooo.....chozi lazima litoke.....
Utaona vinyoya vinaanza kudondoka dondoka....unasugua mpaka akili ikukae sawa.
Baada ya kumaliza nawa na maji kisha paka mafuta yako.
Onyo: Vuz likiwa la kipilipili utamaliza siku nzima kusugua..ila kama la kizungu, mdebwedo tu.

Hivi unamaanisha jivu kweli au yale majivu ya kizungu...poda za kizungu zile ukipaka yananyonyoka yenyewe??
 
Uko dunia ya ngapi wewe?
Sikia, unachukua jivu la motomoto unapakaza juu ya vuzzzz, kisha unachukua mafuta kidogo unapaka juu yake halafu unaanza kusugua.....inauma hiyooooooo.....chozi lazima litoke.....
Utaona vinyoya vinaanza kudondoka dondoka....unasugua mpaka akili ikukae sawa.
Baada ya kumaliza nawa na maji kisha paka mafuta yako.
Onyo: Vuz likiwa la kipilipili utamaliza siku nzima kusugua..ila kama la kizungu, mdebwedo tu.

hahahaaaaa Madame B sijui unajitoaga ufahamu au nn... shida yote ya nini?
 
Last edited by a moderator:
habari zenu wakuu,

Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.

i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.

ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.

iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.

iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.

v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.

fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.

ni rahisi sana dada zangu si mnaona!

Namba 2 Kwa Mademu Wa Kibongo Ni Ngumu, Namba 4 Wanawake Wa Vijijini Wameshaizoea Mno Kwani Hata Shambani Tu Wanalima Pussy Ikiwa Wazi Huku Ikigongwa gongwa Na Udongo, Vijimawe Na Mbolea Na Namba 5 Sidhani Kwani Mademu Wengi Kubadili Kufuli Ni Sheeeeeeeeeeedah!
 
whenever you come across such a girl mwambie aweke limao na chumvi kwenye pussy yake nasikia ndio dawa
 
kuna sabuni maalum wanauza kwa kusafishia uke. hujawahi kuziona dada! kama hazipo ni tz ila nilishawahi kuziona nchi fulani.

Yaani nilidhani ulikosea kuandika kwa habari ya kutumia sabuni kumbe umemaanisha?? Siyo hivyo, Hakuna sabuni ya kuoshea ukeni!! Nasema hakuna tena hakuna hatari kama kutumia sabuni.
Tatizo lenu ni kwamba mnataka kudhalilisha sana wamama hawa. Unaonaje papuchi? Ile ni kitu iloumbwa kipekee kabisa. Haina mfano wake. Harufu itokayo pale kwa yule kweli umpendaye acha hayo mataulo ya barabarani yasiyojua weye ni wa ngapi. Yule wako kweli kweli, hutoa harufu ya manukato.
Hana haja ya kuosha na maji ndoo, Hapana. Akitawadha tu kwangu yatosha. Sisemi asitawadhe, nasema asiifue kwa omo au sabuni ya mche. Hiyo si boxer ni nyama laini sana. Mbona watu wanazamia huko chumvini??
Kama ukimkinai hata akitia ubani kwako ni bure, harufu yake itakuwa mbaya tuuuu. Wamama wa jf msiufuate huo ushauri wa kutumia sabuni mwambieni aitumie mwenyewe, kwani yeye hana tundu?
 
habari zenu wakuu,

Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.

i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.

ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.

iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.

iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.

v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.

fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.

ni rahisi sana dada zangu si mnaona!

Umejuaje kusafisha Uke wakati we ni Mwanaume?.
 
Back
Top Bottom