Naomba uwawekee romantic song Evelyn Salt na huyu innocentmollel maana wanakoelekea naona kunaenda kunawirisha sehemu
Teh kwendraaaaa apulize kwani ni manyoya ya njiwa
habari zenu wakuu,
Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.
i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.
ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.
iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.
iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.
v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.
fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.
ni rahisi sana dada zangu si mnaona!
habari zenu wakuu,
Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.
i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.
ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.
iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.
iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.
v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.
fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.
ni rahisi sana dada zangu si mnaona!
Sabuni ni noma coz zinauwa bakteria walinzi, so kitumbua kitakuwa easily attacked na bakteria waharibifu.....
Na hizo sabuni maalum ni huko kwenu huku kwetu uswazi tukishanunua Foma limao ya mche ndio tumeua ndege wa be (wawili) kwa jiwe moja....kuoga na kufulia...
Seriously..yani skuiz kila mtu anatufundisha...inashangaza kwakweli
Mbona nyie hamjifundishi ya kwenu
Arrrgh
Sabuni ni noma coz zinauwa bakteria walinzi, so kitumbua kitakuwa easily attacked na bakteria waharibifu.....
Na hizo sabuni maalum ni huko kwenu huku kwetu uswazi tukishanunua Foma limao ya mche ndio tumeua ndege wa be (wawili) kwa jiwe moja....kuoga na kufulia...
ushawahi kuwinda ndege eeh muda ule umekapiga hakajafa unakapuliza puliza down ili kasife teh ndo madame b ananfananisha mie hana adabu lol....lol!!!! kwi kwi kwi kwi kwi wewe ungekuwa mchekeshaji ungeingiza sana aisee yaani majibu yako huwa yananichekesha sana dah!!!!
...nyie mna bagia... maana kila sura na umbile
Hutakiwi kujiswafi na sabuni ukeni.period
ushawahi kuwinda ndege eeh muda ule umekapiga hakajafa unakapuliza puliza down ili kasife teh ndo madame b ananfananisha mie hana adabu lol....
aaaah we sithubutu mie acha litambae kama tembele tu