Jinsi ya kusafisha uke

Jinsi ya kusafisha uke

habari zenu wakuu,

Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.

i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.

ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.

iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.

iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.

v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.

fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.

ni rahisi sana dada zangu si mnaona!

Bora mkuu ulivyo wapa darasa maana wa boa sana
 
Sabuni ni noma coz zinauwa bakteria walinzi, so kitumbua kitakuwa easily attacked na bakteria waharibifu.....

Na hizo sabuni maalum ni huko kwenu huku kwetu uswazi tukishanunua Foma limao ya mche ndio tumeua ndege wa be (wawili) kwa jiwe moja....kuoga na kufulia...
 
habari zenu wakuu,

Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.

i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.

ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.

iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.

iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.

v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.

fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.

ni rahisi sana dada zangu si mnaona!

Seriously..yani skuiz kila mtu anatufundisha...inashangaza kwakweli
Mbona nyie hamjifundishi ya kwenu
Arrrgh
 
Sabuni ni noma coz zinauwa bakteria walinzi, so kitumbua kitakuwa easily attacked na bakteria waharibifu.....

Na hizo sabuni maalum ni huko kwenu huku kwetu uswazi tukishanunua Foma limao ya mche ndio tumeua ndege wa be (wawili) kwa jiwe moja....kuoga na kufulia...

...nyie mna bagia... maana kila sura na umbile
 
Sabuni ni noma coz zinauwa bakteria walinzi, so kitumbua kitakuwa easily attacked na bakteria waharibifu.....

Na hizo sabuni maalum ni huko kwenu huku kwetu uswazi tukishanunua Foma limao ya mche ndio tumeua ndege wa be (wawili) kwa jiwe moja....kuoga na kufulia...

Duh kwa hiyo uke unasuguliwa kama jinzi...
 
lol!!!! kwi kwi kwi kwi kwi wewe ungekuwa mchekeshaji ungeingiza sana aisee yaani majibu yako huwa yananichekesha sana dah!!!!
ushawahi kuwinda ndege eeh muda ule umekapiga hakajafa unakapuliza puliza down ili kasife teh ndo madame b ananfananisha mie hana adabu lol....
 
ushawahi kuwinda ndege eeh muda ule umekapiga hakajafa unakapuliza puliza down ili kasife teh ndo madame b ananfananisha mie hana adabu lol....

Au kuku ageuze mkia wake panapotokea upepo.

Sasa shemeji ndo upepo, wewe ndo kuku....hahahahahah.....uwiiiiiii
 
aaaah we sithubutu mie acha litambae kama tembele tu

Kula five mummy....raha ya pitch kuwe na nyasi...sio unakutana upara.

Mie wa kwangu nimeshamuelewesha, yaani sasa hivi kabla ya kuanza inanibidi kupitisha chanuo ili kuona njia.
 
Back
Top Bottom