love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 715
Sabuni haifai wala ile dizaini ya kupitisha kidole unasugua humo ndani pia haifai na ukitumia njia hizo za sabuni na kujizamisha vidole unajitengenezea mazingira ya kujiletea saratani. Uke unaoshwa kwa maji mengi na ya baridi na unaiosha kama unavyonawa uso kwa nje tuu maana hata hiyo harufu haikai ndani. Uke ndani unajiosha wenyewe na vile juma akipita tena baasi yatosha na ndio maana hata ukimuona dkt ukiwa na shida huko kama wkt wa kujifungua nk wanavaa gloves ni kwaa ajili ya kukinga huko pahali hapaitaji madole yenu wkt mwingne makucha marefu ama yamejaa uchafu unajizana/unazamishwa. Kinachozama ukeni ni MBOO only hata ile tabia ya nyie w/ke kuachia dume zenu ziwapitshe vidole kuwapekenyua si safi wala salama kiafya.