Jinsi ya kusafisha uke

Jinsi ya kusafisha uke

Hivi unamaanisha jivu kweli au yale majivu ya kizungu...poda za kizungu zile ukipaka yananyonyoka yenyewe??

jivu lililotoka jikoni....lione vilevile, lina lazi nyingi sana
 
Uko dunia ya ngapi wewe?
Sikia, unachukua jivu la motomoto unapakaza juu ya vuzzzz, kisha unachukua mafuta kidogo unapaka juu yake halafu unaanza kusugua.....inauma hiyooooooo.....chozi lazima litoke.....
Utaona vinyoya vinaanza kudondoka dondoka....unasugua mpaka akili ikukae sawa.
Baada ya kumaliza nawa na maji kisha paka mafuta yako.
Onyo: Vuz likiwa la kipilipili utamaliza siku nzima kusugua..ila kama la kizungu, mdebwedo tu.

aiseeeee kumbe nilikuwa sijui
 
habari zenu wakuu,

Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.

i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.

ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.

iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.

iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.

v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.

fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.

ni rahisi sana dada zangu si mnaona!
Network bussy..................Try again after sometime.................
 
kuna sabuni maalum wanauza kwa kusafishia uke. hujawahi kuziona dada! kama hazipo ni tz ila nilishawahi kuziona nchi fulani.

Mkuu wanawadanganya tu ili wafanye biashara

Haitakiwi kutumia chochote huko ikulu zaidi ya maji safi tu.
Osja kwa maji safi only that.
Hata kinachotakiwa kuingia huko ni uume tu...ukianza kuingiza hayo mavidole sijui nn trust mi utaumwa fungus na kuwasha kila wakati
 
mkuu kuna sabuni kwa ajili ya kujiswafi huko. zimetengenezwa kwa kazi hiyo sio hizi za kuogea mkuu

Hakuna kitu km hicho hyo ni bness tu.

Huku ikulu hakutakiwi kuingizwa wala kupaka hyo misabuni ni hatari sana
Unatakiwa kutumia maji safi tu na unakuwa salama tu ht harufu hamna.
 
Back
Top Bottom