Jinsi ya kusafisha uke

Jinsi ya kusafisha uke

KWESHAFI sijui unajitetea nini wangekuwa hawatoi harufu mbaya wala isingezungumziwa acha kutetea usichojua wengine wanashinda mitandaoni hata chupi wanasahau kufua kusafisha anaingja kuoga dk 3 ameshatoka awahi kuchangia kwa kweli hili ni tatizo siyo kudhalilishana wala kukebehi unakuta msichana mzuri kweli ukikaa nae gheto wiki unamuuliza unaondoka lini mpenzi maana ni kero full mauchafu kuanzia sebuleni mpaka chooni tiles zinaanza kubadilika rangi yaani kwa kweli hii nakuunga mkono tuzidi kufundishana na kupeana uelewa zaidi asante siyo mapenzi tuu mada za msingi mnajifanya kutoa mapovu.
 
ha ha ha ha hiyo ni kweli bana ukikapuliza kandege huku down hakafi lol
hata BAK anajua hiyo kitu!!!!

Najua na nishapuliza sssanaa mpaka kizunguzungu juu ila sikutegemea wewe kujua hiyo mambo asee yaani tunapaka manati damu ili iwe na mashampong'o (shabaha)!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hii kali , mie staki ioshwe kila wakati maana itakosa hualisia, raha ya k angalau ka harufu kidogo ndio unapata hanjamu, pua nayo inapenda kupata hamu yake bwana, ila kauvundo kasipitilize
 
Najua na nishapuliza sssanaa mpaka kizunguzungu juu ila sikutegemea wewe kujua hiyo mambo asee yaani tunapaka manati damu ili iwe na mashampong'o (shabaha)!!!!!!

ha ha ha ha hiyo ya kupaka damu nlikuwa sijui ila tulikuwa tunawaimbia ndege nyimbo eti wasinzie ili tuwapige manati lol!!!
muda wote manati ipo shingoni ole wake ndege apite
 
Sitetei wtu kuwa wachafu,ila kma kna mwanamama wa jf anaeshndwa kutatua tatzo lnalomsibu kwa mwli wke,na kpata ufumbuzi,badala yke anan,gara nje il kuwavutia mabazaz,nadirk kucma,HAJITAMBUI,Nb:charity begins at home.K..ma ndyo IKULU ynu,u must deal _c it
 
Hiv kweli kwa akil ya kawaida,mwanamke wa jf,aweze kuwa na access ya mtandao,ashndwe kujua namna ya kujifanyia usafi bac itakuwa ni vioja,jaman jarbun kukomaa kiakil,as long as uwezo wako wa kufikr n mdogo,usidharilshe watu,btw ss wengne ni maparadise wtu.

Kwanini wakosekane labda? M/mke M/mke tu hata awe wapi achilia JF! Mtu na umri wake kabisa anatokwa na UTOKO! Pyuuu
 
Hii kali , mie staki ioshwe kila wakati maana itakosa hualisia, raha ya k angalau ka harufu kidogo ndio unapata hanjamu, pua nayo inapenda kupata hamu yake bwana, ila kauvundo kasipitilize

Jamaa ako ana moyo maana ukitaka kwenda chumvini kabla hujafika lazima upige chafya mfululizo
 
HAPO KWENYE SABUNI APO PAELEEE VIZURI KWANI SABUNI HUWA NI BASE NA UKE SIKU ZOTE HUWA NI ACIDIC SASA HUONI KAMA SABUNI ITAONDOA HALI YA ACID ILIYOPO UKENI NA NDO INAYOWAKINGA DADA ZETU WASISHAMBULIWE NA MAGONJWA YA CHINI KWA URAHISI Mf FUNGUS HIVYO IKIPUNGUZWA ITAWALETEA MATATIZO SO TUBAINISHIE MATUMIZ YA SABUNI KATIKA KUOSHA UKE MKUU KWAMABA UTUMIKAJE, WAPI ANA KIVIPI.
Habari zenu wakuu.

Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.

i) Wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.

ii) Jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.

iii) Kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.

iv) Usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.

v) Mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.

Fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.

Ni rahisi sana dada zangu si mnaona.
 
Back
Top Bottom