M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,097
umefundisha nini ilihali umepotosha??? nenda kasome tips za afya ya uzazi alafu ndio uje hapa, umeniudhiiiiijeee???
Lete maelezo basi yako,itasaidia
umefundisha nini ilihali umepotosha??? nenda kasome tips za afya ya uzazi alafu ndio uje hapa, umeniudhiiiiijeee???
Lete maelezo basi yako,itasaidia
Kama sabuni inakupa fangasi safisha kwa maji mengi pia hakikisha kidole cha mkono wa kushoto kile kilefu cha kati kinaingia ndani kabisa ukikitoa kinuse kama bado kinaharufu kisafishe kisha kiludishe kikafanye usafi pakiwa safi utaona mwenyewe ukikitoa hakina hata harufu. Tahazari kisiwe na kuchwa kwa mimi nikikuona uko na kucha ndefu vidore vyote %80 wewe unatoa harufu (mchafu)
kisa cha kuumiza ustawi wa jamii na kilio juu???acha nimiliki msitu ntaomba hata kibali serikali za mitaa
Pia tumia detto ya maji na pamba kusafisha uke ni nzuri sana, utapata maumivu kwa muda lakin yataachia
Pia tumia detto ya maji na pamba kusafisha uke ni nzuri sana, utapata maumivu kwa muda lakin yataachia
uke husafishwa na maji safi bila sabuni kila mara uendapo haja iwe ndogo au kubwa, na kila uogapo, baada ya kusafisha uke na maji safi waweza jikausha kwa taulo safi na kavu, ni MARUFUKU kutumia SABUNI kusafishia uke, sabuni huuwa bacteria salama waitwao NORMAL FLORA ambao ndio kinga ya uke usishambuliwe na bacteria hatarishi,toilet paper its highly prohibited kutumika ukeni kwani inavumbi vumbi ambalo sio salama.
Pia tumia detto ya maji na pamba kusafisha uke ni nzuri sana, utapata maumivu kwa muda lakin yataachia
Ha ha ha ha mmh sijui imetokea wapi hii hadi nmechekaHhhhaaa mkuuu mbavu zanguu duuuuu hhhhaaa uwiiiiiii
Sabuni ni hatari ktk uke... Inasababisha fungus yaan balaa
Sabuni ni hatari ktk uke... Inasababisha fungus yaan balaa