Indian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 821
- 710
Shukrani bwana mdogo ngoja na mimi nifanye huo utaratibu.....maana hapa kwetu ni kama jahanamu....tunalipa makodi mengi lakini huduma za kijamii za kubembelezana.....mafisadi yanatuibia kila siku yanaibuka maskendo ya wizi mkubwa mkubwa.....nikiishi hapa naweza kufa kwa presha au kisukari....
Bora niende tu.........
Mkuu maisha ya Afrika Ni kubahatisha, risk, kutoka kimaisha Ni kazi sana hasa vipindi hivi vinavofata Ni tofauti ya zamani Leo mabepari waliokwisha Toka kipindi cha Mzee Ruksa, wakikuona unaingia kwenye channel zao watakuchomea Na vyovyote vile mtaji wako utakata tuu, kwaiyo saivi huwezi kumkuta kijana miaka 10 iliyopita amekua Tajiri Ama ameuza sembe. Ni walewale tuu kila miaka.