jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,016
- Thread starter
- #161
Lakini mkuu elewa na sisi ndio tunako elekea huko,hatuna budi kujufunza mengi kutoka kwao.Tusiwaone wanigeria kuwa wanaakili za ziada, ni kwakuwa matatizo waliyonayo kwao ni mengi sana. Mtanzania aliemaliza darasa la saba, anaweza kuwa mkulima wa nyanya na mboga mboga. Kwa shughuli hizo anaweza kujenga nyumba ya kawaida na kusomesha watoto elimu ya sekondari.
Population ya wenzetu ni kubwa, kundi la waliosoma ni wengi, chance za kupata mkate wa kila siku tu, mtu mwenye degree ni ngumu.