Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Hapa Estonia kuna watanzania wanachunga Ng'ombe kwa sanaa!
By then nina kazi niliajiri mmoja demu wa ki-Irish awe ananisafishia nyumba. Basi nakua nacheza game huku anasafisha I like their sh sh sh accent yao sema fegi tu ndio wanakera.
Sasa we uzamie kwenda Ireland si bora ubaki Sumbawanga unalima ufuta