Jinsi ya kupata UK Visa

Jinsi ya kupata UK Visa

Hapa Estonia kuna watanzania wanachunga Ng'ombe kwa sanaa!

By then nina kazi niliajiri mmoja demu wa ki-Irish awe ananisafishia nyumba. Basi nakua nacheza game huku anasafisha I like their sh sh sh accent yao sema fegi tu ndio wanakera.

Sasa we uzamie kwenda Ireland si bora ubaki Sumbawanga unalima ufuta
 
Duuuh aisee mimi walini scan vidole na kwenye computer nikavua na viatu nikapita na socks separately na my passenger lugage na other stuff vikapita kwa scanner....nilimind sanaa (Dharau hahaha).
POle sana pengine walikufananisha, kuvua viatu sio kwaida labda mkanda, pia ku scan vidole ni geni kwangu, wengine pia walifanyiwa hivyo?
 
POle sana pengine walikufananisha, kuvua viatu sio kwaida labda mkanda, pia ku scan vidole ni geni kwangu, wengine pia walifanyiwa hivyo?
Suala Umesafiri Mda Mrefu Ku scan Vidole Hata South Afrika Ipo aisee Ni Identity ambayo wanaigundua kirahisi watu wa Migration walishaona Picha za Watu ni Uzushi so Ukizidisha mda Ukafanikiwa ukarudi Bongo Siku ya Kurudi hata kama Umenyoa kipara na Kubadilisha Jina Ukiingiza Vidole tuu system inakudaka na Kutoa details zako fasta.
 
Suala Umesafiri Mda Mrefu Ku scan Vidole Hata South Afrika Ipo aisee Ni Identity ambayo wanaigundua kirahisi watu wa Migration walishaona Picha za Watu ni Uzushi so Ukizidisha mda Ukafanikiwa ukarudi Bongo Siku ya Kurudi hata kama Umenyoa kipara na Kubadilisha Jina Ukiingiza Vidole tuu system inakudaka na Kutoa details zako fasta.
Ahsante kwa kumjibu. Wana scan kabisa, hata hapo JKNIA wana scan sanaa tu.

Na kwanza hata passport yako ina scaniwa vile vile kama ni fake wafwaa....kule mbele UK or US kuna vi machine unafanya hivyo ku scan passport manually wewe mwenyewe msafiri unabonyeza bonyeza pale kuchagua seat za ndege at times kama ulibook online ukishafanya hvyo kiji mashine kinakutolea sticker za lugage yako hapo hapo.

Huwez unaomba unaelekezwa (kuna foleni nyuma watu wanangoja).
 
Ahsante kwa kumjibu. Wana scan kabisa, hata hapo JKNIA wana scan sanaa tu.

Na kwanza hata passport yako ina scaniwa vile vile kama ni fake wafwaa....kule mbele UK or US kuna vi machine unafanya hivyo ku scan passport manually wewe mwenyewe msafiri unapewa na sticker za lugage yako hapo hapo.

Huwez unaomba unaelekezwa (kuna foleni nyuma watu wanangoja).
Basi nashukuru kwa kuni update nasafiri lakini zaidi ni ndani ya EU. Sasa hivi nakuja Bongo naona nitapambana nayo hiyo lakini sio mbaya ni kwa usalama wetu.
 
Basi nashukuru kwa kuni update nasafiri lakini zaidi ni ndani ya EU. Sasa hivi nakuja Bongo naona nitapambana nayo hiyo lakini sio mbaya ni kwa usalama wetu.
Siku hizi wana scan vidole pale JNIA. Mwaka jana Desemba, nilienda nchi moja ya Asia, nilivyokuwa naondoka na Etihad wakani-scan, niliporudi waka-scan tena. Ila ya Uholanzi pale Schiphol ndio kiboko, ukishachekiwa kwenye scanner kuna jamaa lazima wakupapase papase tena kujihakikishia kwamba huna kitu mbadala umebeba. Ile ndo inakeera zaidi.
 
Siku hizi wana scan vidole pale JNIA. Mwaka jana Desemba, nilienda nchi moja ya Asia, nilivyokuwa naondoka na Etihad wakani-scan, niliporudi waka-scan tena. Ila ya Uholanzi pale Schiphol ndio kiboko, ukishachekiwa kwenye scanner kuna jamaa lazima wakupapase papase tena kujihakikishia kwamba huna kitu mbadala umebeba. Ile ndo inakeera zaidi.
Siku hizi hatari sana. Immigration TZ wako update sana kwenye system.
Kuna mtu aliingia JK Nyerere Na passport ya Canada, akachukuliwa vidole.

Akaenda wiliyani kuomba passport ya Karatasi, akapata.
Sasa akataka kutumia Ile ya Karatasi kwenda nayo South.

Si akabidi achukuliwe tena vidole kutoka, mambo yote yakawa hadharani.

Pesa ilimliotoka si kidogo Na safari ikaishia hapo hapo Airport.
 
usicheze na mzungu,kama unayo passport yake-ukitua tu airport unasimama mbele ya kioo kinascan jicho lako-kama hakuna tatizo exit door inafunguka unaondoka zako-hapo passport wala hujaitoa kwenye bag
 
usicheze na mzungu,kama unayo passport yake-ukitua tu airport unasimama mbele ya kioo kinascan jicho lako-kama hakuna tatizo exit door inafunguka unaondoka zako-hapo passport wala hujaitoa kwenye bag
Kuwa na passport ya mzungu si masihara kwanza wale hawa simamishwi airport kifal*fal* kokote sayari hii wanaingia bila wasi wowote.

Aah inakera sana watu wamechukua utajiri wetu Africa wamepeleka kwao huko ughaibuni then watatunyanyasa nao. F*ck it man.
 
Mkuu hi post sikutegemea kuiweka Hapa, unajua niliandika nikasita kuisendi nimeshangaa kuiona, Au jf wameifoward, Na sijui jinsi ya kuifuta.
Nafkiri haina tatizo mkuu,anaweza kufunguka tu hapa kwa maslahi ya wengi mkuu.
 
usicheze na mzungu,kama unayo passport yake-ukitua tu airport unasimama mbele ya kioo kinascan jicho lako-kama hakuna tatizo exit door inafunguka unaondoka zako-hapo passport wala hujaitoa kwenye bag
Duhh,wapi hii mkuu???
 
Duhh,wapi hii mkuu???
Heathrow hiyo-British mnaambiwa pita huku tazama kioo hicho mara mlango unafunguka unaenda zako-hawa wenzetu wanapiga sijui niite finger print ya macho-ukiweka jicho tu details zako zote scanner inacheck na abracadabra sign inasema welcome back home lango linafunguka unaishia zako-hakuna foleni hapo yaani unapita tu
 
Mzee Ruksa waliwahi kumfanyia kitu mbaya pia, yule mpambe wake akawambia huyu ni prezidar mstaafu wa TZ lijamaa likamwambia 'I DON'T CARE'
Chezeya wadhungu wewe. 😀😀😀
 
Wanigeria washenz sana yako willing hata kujifelisha masomo flan wayarudie ili tu yapate a visa extension. Since unaweza kuta anaambiwa na chuo hayo masomo atayarudia kipindi flan a few months ahead huku akiwa on student visa bila ya kuwa na classes automatically anapata mwanya kupiga job full time whilst enjoying student's benefits.

Watu wanapiga mzigo kama kawa. Washenz sana wale. Wanakuambia akili ya mzungu ilipofikia wao ndio wanaanzia hapo. Its a game of manipulating circumstances. Tehe
 
Wanigeria washenz sana yako willing hata kujifelisha masomo flan wayarudie ili tu yapate a visa extension. Since unaweza kuta anaambiwa na chuo hayo masomo atayarudia kipindi flan a few months ahead huku akiwa on student visa bila ya kuwa na classes automatically anapata mwanya kupiga job full time whilst enjoying student's benefits.

Watu wanapiga mzigo kama kawa. Washenz sana wale. Wanakuambia akili ya mzungu ilipofikia wao ndio wanaanzia hapo. Its a game of manipulating circumstances. Tehe
Hawa jamaa wanasaidiana sana kwenye kutafuta maisha duniano pote,tofauti na sisi Watanzania,Hata ukitembelea forum yao ya Nairaland utaona ni jinsi gani wanapeana ideas mbalimbali namna ya kutoboa ughaibuni na nchini mwao pia,
Sisi wa Tz wengi hatuna hulka hiyo,kila mmoja anataka aonekane babu kubwa kuliko mwingine.
 
Back
Top Bottom