Jinsi ya kupata UK Visa

Jinsi ya kupata UK Visa

Hawa jamaa wanasaidiana sana kwenye kutafuta maisha duniano pote,tofauti na sisi Watanzania,Hata ukitembelea forum yao ya Nairaland utaona ni jinsi gani wanapeana ideas mbalimbali namna ya kutoboa ughaibuni na nchini mwao pia,
Sisi wa Tz wengi hatuna hulka hiyo,kila mmoja anataka aonekane babu kubwa kuliko mwingine.
That is correct...kuna dem flan mnigeria nlikua nae class moja....at the time mi nawaza kumaliza school then nirudi bongo kuendelea ku hustle huku dem akawa ananiambia plan zake kubaki kule, kupiga mzigo and how she wants to break outta poverty....

Dah for the first time in my life i felt very shallow minded and way back from being a life mastermind.....baadae sanaa after kunisoma that im that cool and humble type na si mtu wa kuropoka ropoka mambo ya watu....dem akaniambia mambo mengi sanaa on how they survive there....(It just depends on how far they like u)

Yuko mbele mpaka leo navyokuambia hapa....kajisomesha ma course mengine ya ukweli tu anapiga kazi na wakati huo aliniambia ana plan kujenga nyumba ya biashara huko kwao naija. Yuko mbali sanaa now.
 
That is correct...kuna dem flan mnigeria nlikua nae class moja....at the time mi nawaza kumaliza school then nirudi bongo kuendelea ku hustle huku dem akawa ananiambia plan zake kubaki kule, kupiga mzigo and how she wants to break outta poverty....

Dah for the first time in my life i felt very shallow minded and way back from being a life mastermind.....baadae sanaa after kunisoma that im that cool and humble type na si mtu wa kuropoka ropoka mambo ya watu....dem akaniambia mambo mengi sanaa on how they survive there....(It just depends on how far they like u)

Yuko mbele mpaka leo navyokuambia hapa....kajisomesha ma course mengine ya ukweli tu anapiga kazi na wakati huo aliniambia ana plan kujenga nyumba ya biashara huko kwao naija. Yuko mbali sanaa now.
Kuna elimu flani ya kimaisha kama tume i mis vile.
 
Wanigeria washenz sana yako willing hata kujifelisha masomo flan wayarudie ili tu yapate a visa extension. Since unaweza kuta anaambiwa na chuo hayo masomo atayarudia kipindi flan a few months ahead huku akiwa on student visa bila ya kuwa na classes automatically anapata mwanya kupiga job full time whilst enjoying student's benefits.

Watu wanapiga mzigo kama kawa. Washenz sana wale. Wanakuambia akili ya mzungu ilipofikia wao ndio wanaanzia hapo. Its a game of manipulating circumstances. Tehe
Kuna dada mmoja kutoka Nigeria alikwenda kufanya masters London, alipeleka watoto wote, masters, anakwambia ' my sister abeg, education here is free why should I pay money for children school fees in Africa?'
 
UK Na America kwa uelewa wangu ndo Kati ya nchi ambazo Ni ngumu kuingia, but zipo nchi ambazo mpaka zimekaribisha wahamiaji Kama Germany Na Serikali inasema wazi unataka nguvu kazi, ukitembelea Website ya Canada wameweka wazi kuwa kwa mwaka huu wana mpango wa kupokea wageni zaidi ya 300,000 Kama sijakosea ila Tu kwa mujibu wa sheria, pia wenye professional wanazotaka wanawapa vipaumbele, tatizo la nchi hii hakuna hata forums special ambapo Watanzania wangepata msaada namna ya kwenda abroad, tofauti Kama Nigeria, niliwahi kuweka post hapa nikihitaji usaidizi kupata Canadian visa, mdau mmoja akani direct Naija.com, kule nilikuta watu wanavyo fight kuondoka, walio abroad wanawasaidia wenzao kwa ushauri mbalimbali namna ya kuondoka, Kama lengo lako kwenda Abroad first chagua nchi ya kwenda, then tembelea Expat forums mbalimbali za nchi unayotaka kwenda, huko utakutana Na ushauri utakutana Na wadau waliofanikiwa kuondoka, ama wenzio Kama wewe ama raia Na wapo very social, ukweli Ni kuwa Kama unataka kwenda lets say UK inabidi uwe Na zaidi ya $10,000 bank, wengi hatuna hiyo pesa labda tunaweza kuwa Na $6,000, hapa ndo unapohitaji Invitation letter, barua ya Mwajiri n.k, but Kama hivyo huna then tafuta connection hasa nje!

Wasiliana na Nyani Ngabu na Mzizi Mkavu
 
Kuna dada mmoja kutoka Nigeria alikwenda kufanya masters London, alipeleka watoto wote, masters, anakwambia ' my sister abeg, education here is free why should I pay money for children school fees in Africa?'
Hahaha abeg tell me na....how was she making it ??

Yan mi niliwashindwa wale watu unakuta student visa inalimit work hours 20 hours weekly during term time. Ila wao wanapiga night shifts daily.

Watu wanapiga kazi usiku na mchana class kama kawa....inahitaji roho moja kutu sanaa kuishi life hilo....after all class sio full day so wanapata time ku rest. Mpaka aje kuvaa joho kesha make hela kibao.

Wao wanacho amini ukifanya kazi nights na darasani una attend fresh na una progress vizuri mzungu hana shida na wewe. Unakuta wana apply part time jobs sehem kama 3 hivi (hata za kutunza wazee hawachagui). Then kupitia hizo kazi 3 wana rotate weekly. Na wanao fanya hivyo ni ma elfu kama sio ma laki. Ya ngoswe muachie ngoswe tu, mi nilishindwa.
 
Hahaha abeg tell me na....how was she making it ??

Yan mi niliwashindwa wale watu unakuta student visa inalimit work hours 20 hours weekly during term time. Ila wao wanapiga night shifts daily.

Watu wanapiga kazi usiku na mchana class kama kawa....inahitaji roho moja kutu sanaa kuishi life hilo....after all class sio full day so wanapata time ku rest. Mpaka aje kuvaa joho kesha make hela kibao.

Dada alisoma, baada ya kama miezi mitano hivi aliomba time kurefer course kwasababu ya family issues, alipiga kazi na mume wake alikuwa anakuja kumjoin holidays, ile masters ilichukua miaka mitatu kumaliza. Wakati huo watoto wamesoma secondary wanaingia A-level.
 
Dada alisoma, baada ya kama miezi mitano hivi aliomba time kurefer course kwasababu ya family issues, alipiga kazi na mume wake alikuwa anakuja kumjoin holidays, ile masters ilichukua miaka mitatu kumaliza. Wakati huo watoto wamesoma secondary wanaingia A-level.
Ali refer course ki vp yan sijakupata hapo ?? Baada ya kufanya hivyo alibali kule kule mbele ??

Wao wana manipulate circumstances ambazo mzungu akisema ambanie lazima wata collide na humanitarian acts. So pale lazma kuna upenyo watapita tu. Aaaargh wa nigeria ni ma genius sanaa.
 
Ali refer course ki vp yan sijakupata hapo ?? Baada ya kufanya hivyo alibali kule kule mbele ??

Wao wana manipulate circumstances ambazo mzungu akisema ambanie lazima wata collide na humanitarian acts. Aaaargh wa nigeria ni ma genius sanaa.

Oh yaah, aliwaambia anamatatizo anaomba muda ayamalize, ule muda akawa anapiga kazi, visa ilipokaribia kwisha akarudi shule, alipoenda kuongeza kweli ni mwanafunzi. Alijua akimaliza haraka itakula kwake na yeye shida yake watoto wapate British education.
 
Oh yaah, aliwaambia anamatatizo anaomba muda ayamalize, ule muda akawa anapiga kazi, visa ilipokaribia kwisha akarudi shule, alipoenda kuongeza kweli ni mwanafunzi. Alijua akimaliza haraka itakula kwake na yeye shida yake watoto wapate British education.
Na unakuta hao watoto wakikaa kule mpaka wamalize shule, waingie degree then masters..ni zaidi ya miaka 8.

Automatically wakiomba uraia njia nyeupe na lazima wazazi watapata kupitia watoto au miaka walio stay kule. Hahahaha Daaah
 
Na unakuta hao watoto wakikaa kule mpaka wamalize shule, waingie degree then masters..ni zaidi ya miaka 8.

Automatically wakiomba uraia njia nyeupe. Hahahaha Daaah

Watoto hawawezi kwenda Uni kama wazazi hawana vibali unless walipe internationa fee.
 
Yah nafaham watalipa international fee nilimaanisha ukikaa kule for more than 8 years waweza omba uraia.

Kwakweli sifahamu sheria zao za uhamiaji kivile. Ninachojua sasa hivi ukiwa umeoa au umeolewa, unatakiwa uprovide evidence kuwa unakazi ya kukulipa £25,000 kwa mwakandiyo umlete mwenza. Huu ni mshahara wa graduate. Hawataki mizigo kabisa.
 
Kwakweli sifahamu sheria zao za uhamiaji kivile. Ninachojua sasa hivi ukiwa umeoa au umeolewa, unatakiwa uprovide evidence kuwa unakazi ya kukulipa £25,000 kwa mwakandiyo umlete mwenza. Huu ni mshahara wa graduate. Hawataki mizigo kabisa.
That is Correct.

Ndio walikua wanalalama kipindi flan kwamba watu wa EU wanakua favored kuleta wenza wao UK na wao ni ngumu sanaa and so its against humanitarian issues that inakua ngumu familia kuungana i.e. sheria ina encourage break ups.

Kama ni hivyo hiyo envidence of funds i include pato la wote wawili (couples) na si mtu mmoja ama sivyo basi mmoja atakua ananyimwa kisheria kuwa na haki ya kuangalia familia au watoto that yeye ni sole breadwinner of the family.

Na lazima hicho kiwango cha funds kiwe reasonable. Sasa hapo nahisi ndio kuna utata (loophole).
 
Sasa mkuu,hawaangali fingerprints?na siku ikiisha nikienda ku renew si itakua mtihani mkuu,au?
Aisee mi nilipita tu nikashikwa na kihoro maana hata bongo kwenyewe hupiti bila finger prints. NA Faida yake NINI baada Ya hapo anarudi then anakupa pass nawe unasepa au ?
 
Kuna elimu flani ya kimaisha kama tume i mis vile.
Hata tukiwa nayo hatuna roho Ya kusaidiana. Wabongo ki ukweli tuna roho fulani kila mmoja anajitahidi mwingine alifarikiwe. Nigerians wapo wengi wanasaidiana sana . Zimbabwe wa kumwaga wanapeana deal mno. Watz ni kuasemana na majungu . Hiyo spirit sijui kama itatuisha.
 
Hata tukiwa nayo hatuna roho Ya kusaidiana. Wabongo ki ukweli tuna roho fulani kila mmoja anajitahidi mwingine alifarikiwe. Nigerians wapo wengi wanasaidiana sana . Zimbabwe wa kumwaga wanapeana deal mno. Watz ni kuasemana na majungu . Hiyo spirit sijui kama itatuisha.
In short wabongo ni wachoyo, wabinafsi na roho za kwanini sanaa. Mimi nlivyokua huko kuna wabongo nilikua nao nimewasoma sanaa na kuwa judge kwa makini aisee hapana hawafai kabisaaa, kati ya wabongo 10 wawili au watatu ndio wako loyal na kuna baadhi hawataki hata kujulikana ni wabongo kule.

Ndio maana nikaamua kuwa close na nigerians na zimbabweans wako peace sanaa. Mbongo aone unaotea shifts kadhaa unapiga hela au aone unaongeza ma elimu wata hate sanaa (wivu kibao) from within ila wanajitahidi kuificha.

Kuna kipindi nilipungukiwa na hela kidogo nikawa na live under strict budget kama like 2 nd half months hivi ( kuna issue nilikua nafanya hela ikachelewa kurudi)

Huko UK..kula nikawa napiga like twice daily ( Breakfast + jioni napiga menu kama saa 10 hivi ) nakazia na bread ghettoni kabla sijalala ndio ntolee hyo had kesho labda nibahatike kupewa menu job.

Kuna dem flan wakibongo nilikua nae alini treat fresh sana i can NEVER forget her....aaah at tyms naenda kwake jirani mitaa kadhaa, napiga menu narudi zangu ghettoni at tyms ananletea menu ghetto...plus nigerians walinitoa sanaa kipindi hicho.

Wabongo wengine sasa wale niliokuwa nakula nao bata at the start....aaah ***** kila mtu hakujui wanakuambia aah UK maisha tight bla bla bla....nikasema moyoni baridi tu. Kama sio yule dem wa kibongo na kuishi vizuri na wa naija sijui ingekuaje ni mengi wameni favor (plus michongo ya kazi) i cant write all in here, nawasiliana nao mpaka leo.

Aah kuna watu sio kabisa.

Imagine kuna dem waki zimbabwe alitaka kunitongozeshea a single mother wa ki zimbabwe aged like 32 (alinizidi umri kdgo) nimuoe nipate permit ni remain kule. Aargh nikachomoa.
 
Back
Top Bottom