Kama unaenda kusoma unaweza kuomba visa lakini kama utafuta maisha hiyo visa itakutokea puani ndugu yangu,nina mchz wangu yupo mbele,ana miaka zaidi ya 5,yupo yupo tu,hana permit mpaka leo hii yupo yupo tu aisee na kurudi tz mziki,ukichukua visa hapa bongo lazima ubalozini watakupiga fingerprint,sasa ukifika kule ukitaka kujilipua wakiangalia fingerprint wanakujua aise na wanaweza wakakurudisha mpaka tz,cha muhimu me naona bora upite nchi za western Europe(kama unaenda tafuta maisha ulaya) kama jamaa alivyokuelekeza hapo juu na kumbuka na umri pia,nasikia huko pia umri mkubwa ni tatizo,so jipange kuhusu hayo,watz wengi nje wanataabika sanaaaaa kwa ajili hawana permit za kuishi na akitaka kujilipua wanampiga fingerprint wanakuta tayari yupo katika system,kama unaenda kusoma poa unaweza omba visa ndugu yangu..kila la kheri