Niliwahi kwenda UK mwaka 2012 kishule shule, lakini nilitamani kukatiza hata hiyo shule yenyewe, maana niliona maisha ni magumu mno kuliko bongo. Yaani nauli tu ya daladala town trip ni sawa na kwenda moro. maisha ni magumu sana bana. Hiyo pesa ya kwenda nayo huko bora ukafanya mpango wa kuwekeza tu bongo mkuu
That is very TRUE. UK kama unahela ya mawazo aaah ***** lazima uangukie pua. Mi nlikaa central london pale hela nliokua natumia daaah acha tu.
Kutoka London kwenda vimji na miji ya jirani tu kama Luton, Milton Keynes, Bedford, Brighton daaah mazee ni watoa pounds kibao.....vocha yenyewe bundle la Lebara ni £ 7.5 so ni lazima ununue £ 10.
Saloon haircut £ 10 - £12, kuchonga na ndevu £ 5 (nikaona useng* nikawa na my own hair cut machine, at times le mbebez akawa ananinyoa low cut au kuchonga ghettoni)
Luton na London its almost like Dar to Kibaha tena ni kama Kibamba mwisho tu...nauli £ 10 go and return ukichukua train ni faster na gharama zaidi. Wtf man.
Rent ya Single room or Studio usibonyeze. Uzuri kule hata ukiwa na dem lazima apige mzigo, otherwise its a crisis. Tehe
Hela per hour ipo nzuri ndio ila wit the life expenses there...it all flows back to the system. i.e. rent, bills (water, gas & electricity), council tax, income tax, national insurance, car insurance, health insurance, phone charges, car parking slots outside unalipia.
Hapo bado hujala, hujavaa. ***** utalia wewe. Unless una an excellent skilled profession ndio utamake much. Uzuri mifano ipo mcheck Le Mutuz Hahahaha