Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Kipindi cha nyuma uchunguzi wangu unaonyesha kuwa kulikuwa na ufadhali lakini kadri siku zinavyozidi kwenda na wanawake warefu wanazidi kuadimika.

Uchunguzi wangu unaonyesha wewe zamani ulikuwa mfupi kwa kimo cha ukuaji, sasa umri umeongezeka, umekua mpaka unawaona wakubwa kwako ni wadogo. Hata hivyo na mimi ni MCHUNGUZI HURU
 
Last edited by a moderator:
Hao wanakua wamekuja ku spend tu dar au wanasoma vyuoni lakini wanaishi mikoani. Na pia ndo maana akasema asilimia 70, kwa maana sio wote ila asilimia kubwa.

makubwa?mbona mimi mrefu na niko dar so huwa unapita unawauliza kama ni wakazi wa dar au wametoka mikoani?anywayz ni sawa wako wachache
 
makubwa?mbona mimi mrefu na niko dar so huwa unapita unawauliza kama ni wakazi wa dar au wametoka mikoani?anywayz ni sawa wako wachache

e eh, mdada, chiswahili chigumu wajameni. ndo maana kasema asilimia 70 kwasababu kuna silimia 30 ya watu warefu ukiwemo na wewe unaangukia hapo. weye kabila gani, labda niongee kikwenu ndo tunaweza kuelewana, mweh. lol
 
ndo tatizo la kuwa mrefu kama kojo la asubuhi, huwezi kupata size yako nenda MOI wakupunguze fito hizo

vipi, lile tatizo ulilokkuwa linakusumbua wanawake kukukataa shauri ya ufupi limepungua?!!
 
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU

mkuu hivi ulishapona kile kipigo kutoka kwa MWANA JF aliyekuvamia na mob yake?
 
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU
Mkuu Mchunguzi huru, neno uhaba (scarcity) linatokana na demand, hitaji. Jee kuna mahitaji yoyote ya wanawake warefu?!, has height ya mwanamke have to do with anything zaidi ya kuwa masuper modo pekee?!.

Kwenye mambo yetu yale, the shorter the height, the shorter the ..and the tighter!. The longer the heigh, the longer the ...and the loose the tightness! ndio manna wale wa maeneo ya wafupi, Tanga line, Moro, Mtwara etc ni balaa!.

Pili ili kuhalalisha upungufu, lazima kupatikane uthibitisho kuwa siku za nyuma wanaake warefu walikuwepo wengi, lakini siku za karibuni wamepungua, hivyo kumetokea upungufu kutokana na mahitaji!, supply and demand!.

Pasco
 
Wanayo lakini inakua fupi pia. Sasa ukitaka kuzama mzima mzima, ndio wanapiga kelele, we unasema nampa mambo unaongeza na juhudi kumbe unamuumiza mtoto wa watu masikini. lol
Umeshawahi kula mbunye ya angalau mmoja wao?
 
makubwa?mbona mimi mrefu na niko dar so huwa unapita unawauliza kama ni wakazi wa dar au wametoka mikoani?anywayz ni sawa wako wachache
Kweli kiswahili ni kigumu kuliko kiyunani? Wewe ni kati ya wale 30% HMS aliyosema...
 
Last edited by a moderator:
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU

Mbona una wasi wasi kama unaoga nje mchana!
 
Nadhani tatizo linaanzia kwa wanaume wanaotoa mbegu fupi fupi za wanawake. Kumbuka wanawake huwa wana kawaida ya kufanana zaidi na baba zao.
 
Hata sisi wanawake warefu tunashangaa hatuoni wanaume warefu humu jijini..!
 
Hata sisi wanawake warefu tunashangazwa kuona jiji hili limejaa wanaume wafupi kila kona..!!
 
e eh, mdada, chiswahili chigumu wajameni. ndo maana kasema asilimia 70 kwasababu kuna silimia 30 ya watu warefu ukiwemo na wewe unaangukia hapo. weye kabila gani, labda niongee kikwenu ndo tunaweza kuelewana, mweh. lol

wajameni na mimi naona hiyo asilimia 30 kaipunja sana angeongezaongeza.....bhasi sawaaaa tumefunga mjadala
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Back
Top Bottom