Ushauri wa bure, acha kutumia ugoro wewe bado kijana mdogo, unaandika upuuzi mtupu...
Mimi pia ni mrefu na nipo dar
ntaku pm mama.
Mbona warefu wengi ..tembea usiku maeneo ya salenda utawaona
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.
Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.
MCHUNGUZI HURU
Ukiona mtu kaandika upuuzi then ukachangia basi ujue wewe ni mpuuzi mara mbili ya mleta maada.
MCHUNGUZI HURU